UZIO WA UMEME HIFADHINI SULUHISHO LA MIGOGORO BAINA YA BINADAMU NA WANYAMAPORI WAKALI
Na Saidi Lufune, Dodoma KATIKA kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu kwa wananchi wanaozunguka hifadhi na mapori tengefu Serikali imeendelea kubuni na kutumia teknolojia mseto ikiwemo uzio wa umeme ili kuimarisha ulinzi na usalama kwa wananchi dhidi ya Tembo wanaoingia katika makazi na mashamba. Hayo yamesemwa Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Maliasili na…