RAIS wa Yanga, Hersi Said amesema wana mambo matatu magumu kipindi hiki cha usajili wa dirisha kubwa ambayo wanatakiwa kuyazingatia ili kufikia mafanikio msimu ujao.

STRAIKA wa Mashujaa, Chrispin Ngushi amesema anajivunia kuendelea kuaminiwa na makocha katika timu alizopita kwa kumpa nafasi kuonyesha uwezo wake, huku akiitaja mechi dhidi ya

JOTO la fainali za michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), linazidi kupanda taratibu ambapo Burkina Faso imetaja wachezaji 25 watakaoshiriki

Dodoma. Wanachama watatu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamefungua shauri katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma, wakiomba kibali cha kufungua shauri la jinai kwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe

Lindi. Jeshi la Polisi Mkoa Lindi, limemuachia Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe baada ya kumkamata kwa muda kwa tuhuma za

Kassim Nyaki, NCAA. Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) inatumia fursa ya mkutano wa pili wa mabaraza huru ya Habari Afrika unaofanyika jijini

Iringa. Soko la Mashine Tatu lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, limeanza kufanyiwa usafi baada ya kuungua Julai 12,2025 huku Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia

Lindi. Abdallah Mwenda (70) mkazi wa Mchinga Manispaa ya Lindi amekutwa amefariki kando ya fukwe ya Bahari ya Hindi baada ya kutorudi nyumbani kwao tangu

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema suala la amani ya Tanzania lisichukuliwe kama hewa inayopatikana bila kulipiwa