Wasiotumia mizani ya kidigitali wapewa ole
Dodoma. Vyama vya ushirika kote nchini vimeagizwa kutumia mizani ya kidigitali wakati wa kupima mazao ya wakulima, ikiwa ni hatua ya kuondoa udanganyifu na kulinda maslahi ya wazalishaji hao. Agizo hilo limetolewa mwishoni mwa wiki na Mrajisi wa Vyama vya Ushirika, Dk Benson Ndiege, kupitia waraka aliowaandikia wenyeviti na wajumbe wa bodi wa vyama vya…