UZIO WA UMEME HIFADHINI SULUHISHO LA MIGOGORO BAINA YA BINADAMU NA WANYAMAPORI WAKALI

Na Saidi Lufune, Dodoma KATIKA kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu kwa wananchi wanaozunguka hifadhi na mapori tengefu Serikali imeendelea kubuni na kutumia teknolojia mseto ikiwemo uzio wa umeme ili kuimarisha ulinzi na usalama kwa wananchi dhidi ya Tembo wanaoingia katika makazi na mashamba. Hayo yamesemwa Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Maliasili na…

Read More

Ukurasa mpya uwanja wa Yanga

HISTORIA mpya inaenda kuandikwa. Sasa ni rasmi Yanga imepata mzabuni aliyeshinda tenda ya kujenga uwanja wa klabu hiyo baada ya awali kutangaza mchakato huo na kutoa fursa kwa aliye tayari kuomba. Kampuni ya GSM, ndiyo imetangazwa kushinda tenda hiyo ya ujenzi wa uwanja utakaofanyika maeneo ya Jangwani jijini Dar es Salaam, yalipo makao makuu ya…

Read More

MKINGA YAFAIDIKA NA MANUFAA YA KIUCHUMI KUPITIA KAMPASI MPYA

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Daniel Mushi,akizungumza na wadau leo Februari 02, 2026 jijini Dodoma. …. Serikali imeelekeza wadau kuhakikisha uwekezaji unaofanyika karibu na kampasi mpya 16 za vyuo vikuu unazingatia mpangilio wa miji, usalama na viwango vya kitaifa ili kuzuia ujenzi holela na kuhakikisha huduma zinazotolewa zinakidhi…

Read More

Rais Samia kushiriki mkutano wa Dunia Dubai

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushiriki Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit – WGS) 2026 pamoja na uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS), itakayofanyika Dubai, Falme za Kiarabu (UAE). Mkutano wa WGS 2026, unaobeba kaulimbiu ‘Kutengeneza Serikali zijazo (Shaping Future Governments)”, ni jukwaa la kimataifa linalowakutanisha wakuu wa nchi…

Read More

CHATO WAIPIGIA CHAPUO BIMA YA AFYA KWA WOT

…………. “Afya ni taji hakuna aijuae isipokuwa mwenye maradhi” huo ni msemo wa wahenga wakisisitiza umuhimu wa jamii kuthamini utimamu wa mwili pasipo kutazama ukubwa wa gharama. Ukweli huo unaungwa mkono na azma ya Rais Samia Suluhu Hassan, baada ya awamu ya kwanza kutenga zaidi ya bilioni 28 kwaajili ya kuhudumia watu takribani 1,457,602 ambao…

Read More

MAKAMU WA RAIS AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAADHIMISHO SIKU YA SHERIA NCHINI

-SERIKALI IMEENDELEA KUCHUKUA HATUA ZA MAKUSUDI ZA KUIMARISHA UHURU WA MAHAKAMA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kwa kutambua umuhimu wa Mahakama katika ujenzi wa Taifa, Serikali imeendelea kuchukua hatua za makusudi katika kuimarisha uhuru wa Mahakama ili kuiwezesha kutekeleza wajibu wake kikamilifu na kuchochea ustawi na…

Read More

Guede ajiapiza Singida Black Stars

LICHA ya kupoteza mchezo kwa mabao 2-1 ugenini dhidi ya AS Otoho, mshambuliaji Joseph Guede amesema bado wana nafasi ya kufanya vizuri na kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika katika mechi mbili zilizobaki. Singida baada ya kupoteza mchezo huo wa ugenini imeshushwa kutoka nafasi ya pili hadi ya tatu ikisalia na…

Read More

Makamu wa Rais atia neno yaliyotokea Oktoba 29

Dar es Salaam. Makamu wa Rais Dk Emmanuel Nchimbi amesema kitendo cha baadhi ya viongozi wa Serikali, taasisi za kijamii, vyama vya siasa na wanaharakati kuendelea kuzungumzia yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, nje ya mfumo wa kisheria uliowekwa juu ya jambo hilo, ni kutotendea haki taifa. Dk Nchimbi amesema hayo leo Februari…

Read More