Wakulima wa korosho Lindi wavuna Sh82 bilioni

Lindi. Wakulima wa zao la korosho mkoani Lindi kupitia chama Kikuu cha Ushirika Lindi Mwambao tayari wameshapata fedha zao katika minada mitano iliyofanyika. Akizungumza baada ya kumaliza mnada wa sita wa zao hilo leo Jumanne ,Desemba 16,2025 Kaimu Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Lindi Mwambao, Hassan Dossa amesema kuwa hadi sasa tani 42,000 zimeuzwa…

Read More

Vijana Mara wafunzwa kujikwamua kiuchumi

Musoma. Baadhi ya vijana katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamesema licha ya kuelezwa juu ya uwepo wa fursa nyingi za kiuchumi bado wanakabiliwa na ukosefu wa elimu na namna ya kuzitumia, ili ziweze kuwanufaisha na kuwakwamua kiuchumi. Vijana hao wameyasema hayo leo Jumanne Desemba 16, 2025 mjini Musoma wakati wa kongamano la mabadiliko ya…

Read More

ARURA YAWATAKA WAKAZI WA MANISPAA YA MOROGORO KUACHA KUTUPA TAKA KWENYE MIFEREJI

Farida Mangube, Morogoro. Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Morogoro Mhandisi Emmanuel Ndyamukama  ametoa wito kwa wakazi wa Manispaa ya Morogoro, hususani wafanyabiashara, kuacha mara moja tabia ya kutupa taka kwenye mifereji ya maji, akisema kuwa kitendo hicho kinahatarisha usalama wa miundombinu na maisha ya wananchi hasa tunapoelekea kwenye…

Read More

Offshore, Off Course – Masuala ya Ulimwenguni

Msukumo wa Ulaya wa kuhamisha taratibu za hifadhi kwa nchi za tatu unahatarisha sio tu wakimbizi, bali pia wajibu wake wa kimaadili na kisiasa. Maoni na Judith Kohlenberger (Vienna, Austria) Jumanne, Desemba 16, 2025 Inter Press Service VIENNA, Austria, Desemba 16 (IPS) – Mjadala wa kuleta mageuzi katika mfumo wa hifadhi ya Ulaya umepata kasi…

Read More