Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy
Michezo

Hersi ataja mambo matatu usajili mpya Yanga

July 14, 2025 Admin

RAIS wa Yanga, Hersi Said amesema wana mambo matatu magumu kipindi hiki cha usajili wa dirisha kubwa ambayo wanatakiwa kuyazingatia ili kufikia mafanikio msimu ujao.

Read More
Michezo

Makocha wamjaza upepo Ngushi, aitaja Simba SC

July 14, 2025 Admin

STRAIKA wa Mashujaa, Chrispin Ngushi amesema anajivunia kuendelea kuaminiwa na makocha katika timu alizopita kwa kumpa nafasi kuonyesha uwezo wake, huku akiitaja mechi dhidi ya

Read More
Michezo

Burkina Faso yataja 25 kuivaa Stars CHAN

July 14, 2025 Admin

JOTO la fainali za michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), linazidi kupanda taratibu ambapo Burkina Faso imetaja wachezaji 25 watakaoshiriki

Read More
Habari

Wanachama CWT wataka kibali cha kuwashtaki viongozi

July 14, 2025 Admin

Dodoma. Wanachama watatu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wamefungua shauri katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma, wakiomba kibali cha kufungua shauri la jinai kwa

Read More
Habari

RAIS DKT.  SAMIA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU CHAMWINO

July 14, 2025 Admin

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe

Read More
Habari

Polisi Lindi wamkamata Zitto, achiwa

July 14, 2025 Admin

Lindi. Jeshi la Polisi Mkoa Lindi, limemuachia Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe baada ya kumkamata kwa muda kwa tuhuma za

Read More
Habari

NCAA YANADI VIVUTIO VYA UTALII MKUTANO WA PILI WA MABARAZA HURU YA HABARI AFRIKA

July 14, 2025 Admin

Kassim Nyaki, NCAA. Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) inatumia fursa ya mkutano wa pili wa mabaraza huru ya Habari Afrika unaofanyika jijini

Read More
Habari

Usafi waendelea Soko la Mashine lililoungua, Chadema watoa pole

July 14, 2025 Admin

‎Iringa. Soko la Mashine Tatu lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, limeanza kufanyiwa usafi baada ya kuungua Julai 12,2025  huku Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia

Read More
Habari

Mvuvi afariki dunia akivua samaki Bahari ya Hindi

July 14, 2025 Admin

Lindi. Abdallah Mwenda (70) mkazi wa Mchinga Manispaa ya Lindi amekutwa amefariki kando ya fukwe ya Bahari ya  Hindi baada ya kutorudi nyumbani kwao tangu

Read More
Habari

Wasira: Amani ienziwe, si hewa ipatikanayo bila kulipiwa

July 14, 2025 Admin

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema suala la amani ya Tanzania lisichukuliwe kama hewa inayopatikana bila kulipiwa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 22 23 24 … 3,752 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.