Wasiotumia mizani ya kidigitali wapewa ole

Dodoma. Vyama vya ushirika kote nchini vimeagizwa kutumia mizani ya kidigitali wakati wa kupima mazao ya wakulima, ikiwa ni hatua ya kuondoa udanganyifu na kulinda maslahi ya wazalishaji hao. Agizo hilo limetolewa mwishoni mwa wiki na Mrajisi wa Vyama vya Ushirika, Dk Benson Ndiege, kupitia waraka aliowaandikia wenyeviti na wajumbe wa bodi wa vyama vya…

Read More

WANAWAKE 10,000 WANUFAIKA NA MRADI WA KUJENGA UWEZO KIUCHUMI

Wanawake wajasiriamali kutoka mikoa mbalimbali nchini wamejengewa uwezo kupitia mradi wa Women Creating Wealth (WCW) unaotekelezwa na Shirika la Graca Machel Trust, ukiwa na lengo la kuwawezesha kujikwamua kiuchumi na kukuza mitaji yao ya kibiashara. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika mahafali ya wahitimu wa mradi huo, Mratibu wa Women Creating Wealth (WCW), Angaja…

Read More

Mwanamke auawa kikatili Shinyanga, mumewe asakwa

Shinyanga. Sintofahamu imetawala katika Kijiji cha Songambele, Kata ya Salawe mkoani Shinyanga kufuatia kifo cha mwanamke aliyekutwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake akiwa na majeraha sehemu mbalimbali za mwili. Marehemu ametambuliwa kuwa ni Mariam Mafumba (40), ambaye inadaiwa alikutwa amekufa asubuhi ya Machi 23, 2026, huku mwili wake ukiwa na dalili za kupigwa kwa…

Read More

GAVU ASHUSHA NEEMA YA VIFAA KWA SKULI ZA JIMBO LA CHWAKA

NA MWANDISHI WETU, CHWAKA Katika kuboresha sekta ya elimu  Mwakilishi wa Jimbo la Chwaka Mhe. Issa Gavu leo Machi 25,2026 amekabidhi vitabu kwa ajili ya kujisomea pamoja na vifaa mbali mbali vya elimu, lengo ikiwa ni kuleta mabadiliko katika kukuza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi wa skuli  zote la Jimbo hilo. Akikabidhi msaada huo Mwakilishi…

Read More

Aucho: Waislamu tuendelee na mema

KIUNGO wa Singida Black Stars, Khalid Aucho, ametoa wito kwa waumini wa Kiislamu kuendeleza mema waliyoyafanya katika mwezi mtukufu wa Ramadhan hata baada ya kumalizika kwa mfungo huo. Akizungumza na Mwanaspoti, Aucho alisema kumalizika kwa Ramadhan kusiwe sababu ya watu kurejea kwenye matendo mabaya, bali waendelee kuishi kwa misingi ya swala na toba. “Kumaliza mfungo…

Read More

Ndugu waliombaka mwanamke kwa zamu watupwa jela maisha

Mbeya. Yametimia. Hii ni baada ya Mahakama ya Rufani Tanzania kubariki adhabu ya kifungo cha maisha jela kwa ndugu wawili wa kuzaliwa, waliotiwa hatiani kwa kosa la kumbaka kwa zamu mwanamke mwenye umri wa miaka 48. Kwa hukumu hiyo ya Mahakama ya Rufani, ndugu hao wawili, Furaha Mwasumbe na Nwaka Mwasumbe, wamefikia mwisho wa kupigania…

Read More