
INEC yataka usawa kwa vyama vyote ikionya ajira za kupeana ndugu, jamaa
Unguja. Tume Uhuru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewataka waratibu na wasimamizi wa uchaguzi kujiepusha kuwa vyanzo vya malalamiko kwa vyama vya siasa na wadau wa uchaguzi wakati wakiendesha shughuli hiyo. Pia, imeonya ajira za watendaji wa vituo zizingatie kuajiri watendaji wenye weledi, wanaojitambua, wazalendo waadilifu na wachapakazi na kuachana na upendeleo kwa ndugu na…