CCM YAITISHA MKUTANO KIDIGITALI

…………  Na Ester Maile Dodoma  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitisha mkutano mkuu maalum kwa njia ya mtandao kesho Julai 26 huku ajenda kuu ikitajwa kuwa ni marekebisho madogo ya Katiba. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi na Mafunzo Amos Makala, amesema hayo leo Julai 25, jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi…

Read More

DC Mpogolo azindua vitabu kwenye MwanaClick

Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amesema utunzi wa vitabu unaofanywa na watu mbalimbali nchini ni ushahidi wa wazi wa mapinduzi chanya ambayo Tanzania imeyapitia katika nyanja mbalimbali za maendeleo. Mpogolo amesema kuwa kitendo cha Watanzania kujitokeza kuandika na kuchapisha vitabu ni ishara ya jamii inayozidi kukomaa kielimu, kiutamaduni na kitaaluma,…

Read More

Madhara Mbaya ya Mabadiliko ya Tabianchi Yafichuliwa Katika Mashauri ya Mahakama ya Kimataifa ya Haki – Masuala ya Ulimwenguni

Mahakama ya Kimataifa ya Haki inasikiliza siku 10 za ushahidi ili kutoa maoni ya ushauri juu ya majukumu ya mabadiliko ya hali ya hewa. Credit: ICJ na Umar Manzoor Shah (hague & Srinagar) Jumatano, Desemba 04, 2024 Inter Press Service Mahakama ya Kimataifa ya Haki huko Hague ilisikia kuhusu athari za mabadiliko ya hali ya…

Read More

WAZIRI KOMBO AAGANA NA BALOZI WA MAREKANI

Tanzania itaendelea kutoa ushirikiano kwa Ubalozi wa Marekani nchini na kuahidi kumpatia ushirikiano wa karibu Balozi ajaye katika utekelezaji wa majukumu yake awapo Tanzania pamoja na kuangazia maeneo ya kuongeza wigo wa ushirikiano kwa manufaa ya nchi zote mbili. Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud…

Read More