Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, ametuma ujumbe wa wazi kwa vyama vya siasa kujipanga kikamilifu kwa uchaguzi huu badala ya kusubiria matokeo na kulalamika baadaye. Hili linahusiana na ukweli kwamba vyama vya upinzani, hususan CHADEMA, vimekuwa vikitumia muda…

Read More

ZAIDI YA WAGENI 2000 KUSHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA WAHASIBU WAKUU WA SERIKALI BARANI AFRIKA

Na.Vero Ignatus,Arusha Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano mkuu wa kimataifa wa wahasibu,wakaguzi wa hesabu,wataalam wa masuala ya fedha,Tehama,vihatarishi na kada nyingine wakiwemo walioajiriwa serikalini,kampuni binafsi pamoja na waliopo katika ajira binafsi. Akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Aicc Jijini Arusha Mhasibu Mkuu wa serikali CPA Leonard Mkude amesema kuwa mkutano huo…

Read More

TRA: Tutakusanya kodi bila migogoro na walipaji

Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Mamalaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amesema wataendelea kukusanya kodi kwa manufaa ya Taifa bila kuingia migogoro na walipakodi. Katika kufanikisha hilo amesema kama mamlaka wanaendelea kuimarisha mazingira ya ulipaji kodi kwa kujenga uhusiano na walipakodi nchini pamoja na kuboresha mazingira ya mfumo wa ulipaji kodi. Mwenda ameyasema…

Read More

Kilwa, Ruangwa waomba kujengewa daraja lililosombwa na mafuriko

Kilwa. Wanachi wanaoishi katika Wilaya za Kilwa na Ruangwa wameiomba Serikali kuwasaidia kurejesha mawasiliano ya miundombinu ya daraja la Mto Mbwemkuru linalounganisha wilaya hizo lililoathiriwa na mvua kubwa zilizonyesha mkoani Lindi. Akizungumza jana Septemba 15, 2024 wakati Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya alipotembelea madaraja yaliyoathiriwa na mvua hizo mkoani Lindi, mkazi wa Ruangwa, Abdallah…

Read More

Zile 10 za Chikola zapata ugumu

NYOTA wa Tabora United, Offen Chikola amekiri ameanza kupata shaka ya kutimiza ndoto zake za kufunga mabao 10 msimu huu ili kuweka rekodi binafsi katika Ligi Kuu Bara iliyopo ukingoni. Mshambuliaji huyo, alisema kwa sasa anakuna kichwa ili kuona anazitumia mechi nne zilizosalia za timu hiyo kufunga mabao matatu na kukamilisha hesabu ya mabao 10,…

Read More