BALOZI DKT. NCHIMBI AFANYA MKUTANO NYAMONGO TARIME VIJIJINI
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi leo Jumapili Agosti 31 ,2025 ameendelea na kampeni zake kwa kufanya mkutano mkubwa katika mji wa Nyamongo, jimbo la Tarime vijijini mkoani Mara. Balozi Dkt.Nchimbi pia aliwanadi wagombea Wabunge wa majimbo ya Mkoa huo akiwemo mgombea Ubunge wa Jimbo…