Watatu walioshtakiwa kumuua bodaboda, wahukumiwa kunyongwa

Arusha. Watuhumiwa watatu kati ya wanne walioshtakiwa kwa mauaji ya dereva bodaboda, Shaban Mwalile, wamehukumiwa adhabu ya  kunyongwa hadi kufa. Mwenzao mmoja aliyekuwa ameshtakiwa nao, alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela baada ya kukiri kosa la kusaidia kuficha taarifa za mauaji hayo, chini ya kifungu cha 213 cha kanuni ya adhabu. Washtakiwa waliohukumiwa kunyongwa ni…

Read More

Kombe la Carabao Larejea kwa Kishindo Jumanne Hii

WIKI hii inafungua pazia la raundi ya tatu ya michuano ya Carabao Cup, ambapo miamba ya soka barani Ulaya wanakutana uso kwa uso kutafuta nafasi ya kusonga mbele. Mashabiki wa soka wanatarajia burudani ya hali ya juu, huku Meridianbet ikiwapa nafasi ya kipekee ya kujishindia fedha kupitia odds kubwa zinazopatikana leo. Katika dimba la Sincil…

Read More

Hizi Hapa Changamoto Za Kuchanganya Mapenzi Na Kazi

NI wiki nyingine ninapokukaribisha msomaji wangu kwenye ukurasa huu, mada tunayoendelea nayo ni ile tuliyoianza wiki iliyopita, ya namna ya kukabiliana na changamoto za kuchanganya mapenzi na kazi. Jambo la msingi unalopaswa kulitambua, siku zote mapenzi na kazi ni vitu ambavyo havitakiwi kuchanganywa, kama unafanya kazi na mwenzi wako, basi mkiwa kazini ni mfanyakazi mwenzako…

Read More

Sh3 bilioni zatengwa kuboresha miundombinu ya elimu Mbarali

Mbarali. Kwa miaka mingi baadhi ya wanafunzi wa shule za sekondari katika Wilaya ya Mbarali, Mkoa wa Mbeya wamekuwa wakilazimika kutembea umbali mrefu kila siku kufuata masomo, hali inayochosha na wakati mwingine kuwakatisha tamaa ya kuendelea na shule. Hata hivyo, hali hiyo huenda ikawa historia baada ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali kutenga zaidi ya…

Read More

Straika Zambia afariki dunia | Mwanaspoti

STRAIKA wa zamani wa timu ya taifa ya Zambia, Tapson Kaseba amefariki dunia leo mchana katika Hospitali ya Mafunzo ya Chuo Kikuu (UTH), baada ya kuugua kwa muda mfupi. Rais wa Shirikisho la soka Zambia, (FAZ) Keith Mweemba ametangaza kifo cha straika huyo akiandika; “Tumesikitishwa na kifo cha Tapson Kaseba tuliyemfahamu kama mchezaji wa zamani…

Read More

Mwanamama mdau wa Usafiri wa Anga Tanzania Atambuliwa Katika Mkutano wa 42 wa ICAO

  Sekta ya anga ya Tanzania imepata kutambulika kimataifa wiki hii wakati Bi. Rosemary Kacungira, Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Equity Aviation, alipoheshimiwa katika Mkutano wa 42 wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) unaoendelea Montreal, Canada. Bi. Kacungira alionyeshwa katika heshima maalumu ikionesha mafanikio yake wakati wa Kikao cha Ufunguzi cha Mkutano,…

Read More