Tengeneza Jamvi Lako la Ushindi Kupitia Meridianbet
JUMATANO ya ushindi na Meridianbet imefika, Timu zote zinawania nafasi ya kufuzu hatua ya 16 bora kwenye michuano ya UEFA mkondo wa pili kuchezawa leo. Wewe unachotakiwa kufanya ni kubashiri na Meridianbet. Atalanta atakipiga dhidi ya Borussia Dortmund ya kule Ujerumani ambapo mechi ya mkondo wa kwanza wlaipokutana, wenyeji walipoteza. Mechi hii ya leo ndio…
Meridianbet Ipo na Wewe, Shinda Samsung A26 Ukiwa Mchezaji wa Super Heli
MERIDIANBET inawapa wapenzi wa michezo nafasi ya kipekee ya kushinda kila wiki. Ukiwa mchezaji wa Super Heli, sasa unaweza kujishindia simu mpya ya kisasa ya Samsung A26, huku ukiendelea kufurahia msisimko wa michezo ya kasino mtandaoni. Hii ni fursa ya kipekee ya kuunganisha burudani na ushindi wa kweli, moja kwa moja kutoka Meridianbet. Kila Jumatatu,…
RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE AWEKA SAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA MAREHEMU KARDINALI PENGO
RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, leo ameweka saini katika kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Dar es Salaam, marehemu Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu jijini Dar es Salaam. Baada ya kuweka saini, Dkt Kikwete…
Mayele afunga baada ya siku 122 akiweka rekodi mpya Misri
MSHAMBULIAJI wa Pyramids FC na timu ya taifa ya DR Congo, Fiston Mayele amemaliza ukame wa siku 122 baada ya juzi kufunga bao la Ligi Kuu ya Misri katika mechi ya ushindi wa mabao 3-1 wa timu hiyo dhidi ya Ghazl El Mahallah. Mara ya mwisho kwa nyota huyo wa zamani wa Yanga kufunga katika…
Mayele afufuka baada ya siku 122
MSHAMBULIAJI wa Pyramids FC na timu ya taifa ya DR Congo, Fiston Mayele amemaliza ukame wa siku 122 baada ya juzi kufunga bao la Ligi Kuu ya Misri katika mechi ya ushindi wa mabao 3-1 wa timu hiyo dhidi ya Ghazl El Mahallah. Mara ya mwisho kwa nyota huyo wa zamani wa Yanga kufunga katika…
Biashara mtandao kurasmishwa Zanzibar | Mwananchi
Unguja. Serikali imesema inatambua umuhimu wa ukuaji wa biashara mtandaoni kama chachu ya maendeleo ya uchumi, upanuzi wa masoko na uongezaji wa ajira. Imesema kwa ufahamu huo, ndiyo sababu imechukua hatua za kimkakati kuhakikisha biashara hizo zinatambulika rasmi na kupewa mazingira bora ya kustawi. Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kutungwa kwa Sera ya Biashara ya…
Rushine apewa kazi maalumu Dabi ya Kariakoo
ZIKIWA zimebaki takriban siku nne kabla ya kushuhudia Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga dhidi ya Simba, katika kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kuna mambo ya kiuongozi yamefanywa kimkakati na benchi la ufundi la timu hiyo. …
Ubabe wa Yanga siku 476 Ligi Kuu ya NBC
LEO jioni kikosi cha Yanga kitashuka kwenye uwanja wa nyumbani wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam kuvaana na JKT Tanzania, huku kikitimiza siku 476 katika Ligi Kuu Bara ikicheza mechi 29 bila kupoteza (unbeaten). Mara ya mwisho kwa Yanga kuonja…
Daktari Yanga afichua majeraha ya Dube, Pacome
BAADA ya sintofahamu ya baadhi ya wachezaji wa Yanga kutokana na kukosekana kwenye baadhi ya mechi, daktari wa timu hiyo, Moses Etutu amezungumzia hali za wachezaji hao huku akimtaja Prince Dube. Yanga Jumapili iliyopita…