JIMBONI KWA CHONGOLO NI FULL VIBE WAKIMSURI MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA SULUHU HASSAN

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Makambako  YAANI ni full vibe… ni shangwe tu kwa wananchi wa Makambako!Ndivyo unavyoweza kueleza wakati mamia ya wananchi wakiwa wamejitokeza katika mkutano wa kampeni wa mgombea Urais wa CCM Dk.Samia Suluhu Hassan  Katika mkutano huo ambao unafanyika mapema asubuhi ya leo Septemba 6,2025 wakimsubiri mgombea Urais kupitia CCM Rais Dk.Samia Suluhu Hassan…

Read More

Katwila aachiwa msala Geita Gold

ALIYEKUWA Kocha wa Bigman, Zubery Katwila amejiunga na Geita Gold kwa mkataba wa mwaka mmoja baada ya dili lake la kwenda Coastal Union ya Tanga iliyofanya mazungumzo naye mwanzoni ya kumhitaji kuingia dosari. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo zimelidokeza Mwanaspoti kuwa Katwila amesaini mkataba wa mwaka mmoja na muda wowote kuanzia sasa…

Read More

Melo alaani ofisi za JamiiForums kuvamiwa, Msigwa amjibu

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo amesema kuna uvamizi usio rafiki umefanyika katika ofisi zao zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam na amedai kuwa wavamizi walikuwa wakimtafuta yeye, huku Serikali ikisema haukuwa uvamizi bali ni utaratibu wa kawaida wa mawasiliano na anatakiwa kutoa ushirikiano na asizue taharuki katika jamii. Kupitia mtandao wake…

Read More

Chama aanza vitu Singida Black Stars

NYOTA mpya wa Singida Black Stars, Clatous Chama ameanza vitu na kuibua matumaini kwa kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi ambaye alikosa huduma yake katika mechi ya kwanza ya mashindano ya Kombe la Kagame dhidi ya Ethiopian Coffee kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Baada ya mechi hiyo, Gamondi alieleza wazi kwamba walikosa mtu mwenye…

Read More

Oviedo, Coastal Union kuna kitu kinapikwa

UONGOZI wa Coastal Union uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa beki wa Pamba Jiji, Ally Ramadhan ‘Oviedo’ baada ya nyota huyo kumaliza mkataba, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine mpya wa kukichezea tena kikosi hicho. Nyota huyo wa zamani wa Mashujaa ameshindwa kufikia makubaliano ya kusaini mkataba mpya na Pamba ambapo kwa sasa inadaiwa…

Read More

Maajabu ya Kundi C Kagame Cup 2025

MICHUANO ya Kombe la Kagame imeanza kwa kasi, lakini tofauti na makundi mengine, Kundi C limeonekana kuwa la kipekee baada ya timu zote nne kuanza kwa sare katika mechi za kwanza. Katika mechi ya mapema iliyochezwa juzi Alhamisi, Kator ya Sudan Kusini ililazimishwa suluhu na Al-Ahly Wad Madani ya Sudan, kabla ya Al-Hilal Omdurman kutoka…

Read More

Mbeya City ile siku ndo leo

JIJI la Mbeya leo litakuwa lipo bize kutokana na uwepo wa tamasha la kijanja la klabu ya Mbeya City iliyorejea katika Ligi Kuu Bara msimu huu, ikitoka Ligi ya Championship. Wanakomakumwanya leo ni siku yao na ndio maana wanashangweka kupitia Mbeya City Day kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini humo baada ya awali kufanya shughuli mbalimbali…

Read More

Fountain yanasa beki Mrundi | Mwanaspoti

UONGOZI wa Fountain Gate uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa beki wa kati wa Namungo raia wa Burundi, Derrick Mukombozi, baada ya nyota huyo kuafikiana maslahi binafsi na mabosi wa kikosi hicho. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa kikosi hicho zimeliambia Mwanaspoti, Mukombozi amekubali maslahi binafsi na tayari amepewa mkataba wa…

Read More