Kafulila – ”Kardinali Pengo Aliamini Umoja wa Kitaifa Bila Kujali Upepo wa Kisiasa”

Bakari Mahundu February 26, 2026 0 Comments Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema aliyekuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini, Kardinali Polycarp Pengo, atakumbukwa kama kiongozi wa dini aliyeamini na kusimamia umoja wa kitaifa bila kujali upepo wa kisiasa wa wakati husika. Kafulila amesema Kardinali Pengo…

Read More

JKCI yaja na mkakati kupunguza vifo vya mapema kwa wanaume

Arusha. Wakati ripoti ya kimataifa ya Shirika la Afya Duniani (WHO) ikionyesha wanaume duniani wanaongoza kwa vifo vya mapema, takribani asilimia 13 zaidi ya wanawake kila mwaka, Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imezindua mkakati mahsusi wa kuhamasisha uchunguzi wa mapema wa afya ya moyo ili kupunguza vifo vya mapema, hususan miongoni mwa wanaume….

Read More

Mapungufu ya ufadhili yanatishia karibu watu milioni 2 waliokimbia makazi yao – Masuala ya Ulimwenguni

The onyo inakuja wakati taifa hilo changa zaidi duniani likisalia kuwa miongoni mwa mizozo ya juu zaidi ya wakimbizi, huku takriban watu milioni 10 wakihitaji msaada wa kibinadamu wakiwemo waliorejea waliokimbia vita katika nchi jirani ya Sudan. IOMinahitaji zaidi ya $131 milioni kwa operesheni nchini Sudan Kusini mwaka huu lakini inakabiliwa na a Pengo la…

Read More

Ulega aagiza vibarua kupatiwa vyeti baada ya kumaliza kazi

Iringa. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amewaagiza wahandisi, makandarasi na kampuni zinazotekeleza miradi ya Serikali, kuhakikisha kila fundi au kibarua anayeshiriki katika miradi hiyo anapewa cheti maalumu baada ya kukamilika kwa mradi, kinachoonesha amefanya kazi husika. Agizo hilo amelitoa leo Alhamisi Februari 26, 2026, wakati wa ziara yake katika mradi wa ujenzi wa jengo la…

Read More

TRA yaja na ‘ofisi zinazotembea’ kuongeza wigo wa mapato

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua magari maalumu ya kutolea huduma za kodi maarufu ‘ofisi zinazotembea’ ili kuboresha huduma na kuzisogeza karibu na wananchi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa magari hayo jana Jumatano, Februari 25, 2026 jijini Dar es Salaam, Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar alisema yatasaidia kuongeza wigo wa…

Read More