Faida, Hasara Za Wapendanao Kuambizana Ukweli! – Global Publishers

UKIZUNGUMZA na wanaume wengi kwa sasa, watakuambia wanawake siyo wa kuwaeleza kila kitu katika uhalisia wake. Wanatakiwa kudanganywa kidogo ili mambo yaende. Wanaitumia hiyo kama silaha wakidai kwamba wanawake ni watu ambao wakijua kila kitu wanasumbua. Wanaamini kwamba hata kama ni fedha, mwanaume akimuambia mpenzi wake ana jumla ya kiasi fulani cha fedha basi matumizi yatakayoibuliwa…

Read More

UN Chief Hails ‘mfano wa kushangaza’ wa Papua New Guinea wakati anahitimisha safari ya kihistoria – maswala ya ulimwengu

Akiwa ameshikwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, James Marape, Bwana Guterres aliuliza Maoni Alifanya wakati wa hotuba katika Bunge la Kitaifa Jumatano, ambayo alielezea Papua New Guineans kama “Mabingwa wa Multilateralism na Suluhisho za Kimataifa.” Katibu Mkuu alibaini kuwa, katika ulimwengu ambao “tunaona maadili ya kidemokrasia yakihojiwa,” nchi-ambapo lugha 800 zinazungumzwa-inashikilia upendeleo wa kutatua…

Read More

DKT JINGU AZINDUA KAMATI YA MAKAO YA TAIFA YA WATOTO KIKOMBO.

……………… Na WMJJWM-Dodoma. Serikali inaendelea kuweka mazingira mazuri na rafiki kwa ajili ya ustawi wa watoto nchini kupitia utekelezaji na uimarishaji wa afua mbalimbali hususan watoto waliotokea katika mazingira magumu. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu katika uzinduzi wa Kamati ya makao…

Read More