Wachungaji wanaotumia sauti kubwa kuhubiri hatarini

Dar es Salaam. Baadhi ya wahubiri wanapotekeleza majukumu yao ya kuhubiri neno la dini wamekuwa wakibadili sauti, huku wengine wakitumia nguvu kuzungumza. Watumishi hao wa Mungu hufanya hivyo kwa muda mrefu pasipo kujua iwapo kuna athari za kiafya wanazoweza kupata. Daktari bingwa wa koo katika Hospitali ya St Bernard, Daniel Massawe, anasema kubadilisha sauti kwa…

Read More

TANZANIA YAPATA HESHIMA KUANDAA TUZO ZA UTALII KIMATAIFA

  Tanzania imepewa heshima ya kuwa mwenyeji wa hafla ya kutangaza washindi wa Kanda ya Afrika na Bahari ya Hindi, iitwayo “Africa & Indian Ocean Gala Ceremony” itakayofanyika tarehe 28 Juni, 2025 jijini Dar es Salaam. Aidha, Bodi ya Utalii Tanzania kama Taasisi yenye jukumu la kutangaza Utalii nchini ndio itaratibu hafla hiyo. Akizungumza na…

Read More

Rais Samia: Kufutwa mashirika kumeleta kelele

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema uamuzi wa Ofisi ya Msajili wa Hazina kufuta na kuchanganya baadhi ya mashirika ambayo hayaonekani kufanya vizuri umesababisha kelele nyingi. Jambo hilo amesema linasababishwa na watu kuogopa mageuzi yanayofanyika katika mashirika ya umma licha ya kuonekana kufanya vizuri katika baadhi ya maeneo. Rais Samia ametoa kauli hiyo…

Read More

Wakulima kunufaika na masoko ya mazao

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) amesema Serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) itaanza kununua mazao ya wakulima kuanzia Julai 15 hadi 20 mwaka huu katika vituo vya ununuzi ambavyo vitatangazwa hapo baadae. Mhe Bashe ameyasema hayo tarehe 5 Juni, 2024 jijini Dodoma katika Hafla ya Utiaji Saini Randama za…

Read More

Mbuzi hashikiki Moshi, bei yapaa yafikia Sh500,000

Moshi. Mbuzi hashikiki. Ndivyo wafanyabiashara wa nyama ya mbuzi mjini Moshi mkoani Kilimanjaro, wanavyoelezea hali ya soko katika msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka, baada ya bei ya mnyama huyo kupanda kwa kasi akiuzwa kati ya Sh400,000 hadi Sh500,000 kwa mmoja mwenye uzito wa kilo 25 hadi 30. Kupanda kwa bei hiyo kumeibua…

Read More

LHRC yataka Katiba mpya, uwajibikaji wa vyombo vya dola

Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa wito wa kushughuliwa vikwazo dhidi ya haki za binadamu nchini na kuzingatiwa kwa mikataba ya kimataifa na kikanda ambayo nchi imeridhia. Katika taarifa yake ya maadhimisho ya Siku ya Haki za Binadamu Duniani, leo Jumatano, Desemba 10, 2025, LHRC imeeleza changamoto za haki…

Read More

Rais Samia apangua baraza la mawaziri

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewahamisha wizara mawaziri mbalimbali, manaibu katibu mkuu na kuteua mabalozi wapya watano. Pia amemteua Profesa Mohamed Janabi kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Afya na Tiba. Pamoja na nafasi hiyo, Profesa Janabi ataendelea kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili. Uteuzi huo umetangazwa leo Jumapili,…

Read More