TANZANIA IMEJENGWA KWA MISINGI IMARA YA AMANI NA UZALENDO-MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waumini wa dini ya kiislam alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika baraza la Maulid Kitaifa linalofanyika, Korogwe mkoani Tanga, Septemba 05, 2025. ……………………. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imejengwa kwa misingi imara ya amani, uzalendo na maadili mema ambayo yameasisiwa na viongozi wa Taifa hilo. Amesema…

Read More

Karia atangaza hali ya hatari kwa marefa Bara 

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia ametangaza hali ya hatari kwa waamuzi watakaochezesha Ligi msimu ujao. Akifunga semina ya waamuzi hao iliyokuwa ikifanyika makao makuu ya TFF, Karia amesema, msimu ujao utakuwa wa tofauti ambapo watahakikisha wanasimamia umakini. Karia, aliyeambatana na Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), Nassoro Idrissa, amesema…

Read More

Amani uchaguzi mkuu yatawala Baraza la Maulid

Dar es Salaam/Tanga. Viongozi wa dini na Serikali wamewahimiza wananchi kudumisha amani na wajitokeze kwa wingi kupiga kura kuwachagua viongozi watakaowaletea maendeleo. Wito huo umetolewa na viongozi mbalimbali wa dini na Serikali wakati wa kuadhimisha Maulidi ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW), huku wakiwatakapia  kuepuka vitendo vya dhihaka dhidi ya viongozi. Kwa Tanzania Bara, Baraza…

Read More

Angalizo watumiaji mafuta ya kujikinga na miale ya jua

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya ya ngozi wametoa tahadhari kufuatia ongezeko la kasi la biashara ya bidhaa za kukinga miale ya jua, maarufu kama ‘sunscreen’, wakisisitiza kuwa kuna umuhimu wa ngozi kupata miale ya jua kwa kiwango cha kutosha kila siku. Biashara ya bidhaa hizo imeonekana kushamiri kwenye maduka ya vipodozi na mitandaoni ambapo…

Read More

DKT NCHIMBI "UTAFITI MAENEO YA MADINI KUONGEZEKA KWA 50%"

Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama Cha Mapindizi (CCM). Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi amesema Serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, endapo kama Itaingia Madarakani kwa mara nyingine itahakikisha inatenga maeneo mengine ya kutosha kwa ajili ya Wachimbaji Wadogo, ikiwa ni pamoja na kuongeza kiwango cha Utafiti kwenye maeneo ya Madini kutoka asilimia…

Read More

TDS yaitibulia City FC Abuja Tanzanite Pre-Season

TDS imeitibulia City FC Abuja katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya michuano ya Tanzanite Pre-Season International baada ya leo Septemba 5, 2025 kuichapa bao 1-0. City FC Abuja iliingia katika mchezo huo uliofanyika kuanzia saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, ikiwa tayari imefuzu nusu fainali, lakini…

Read More

Jaji Mkuu awaondolea mapumziko majaji, mahakimu Zanzibar

Unguja. Kutokana na mchakato wa wagombea urais na uwakilishi kutakiwa kula viapo mahakamani, Jaji Mkuu wa Zanzibar, Khamis Ramadhan Abdalla ameagiza watendaji wote wa mahakama kuwa kazini hata siku za sikukuu na mapumziko ya mwishoni mwa juma. Hatua hiyo inalenga kuwapatia fursa wagombea wanaosaka nafasi hizo kufika mahakamani kula viapo mbele ya majaji na mahakimu….

Read More