Rafah kuvuka kufunguliwa tena, ukosefu wa usawa wa kijinsia unazidisha shida ya maji ulimwenguni, watetezi wa haki nchini Colombia – Masuala ya Ulimwenguni

Shirika la Afya Duniani (WHO) na washirika wake waliunga mkono kuhamishwa kwa matibabu kwa wagonjwa tisa watu wazima, wengi wao wakiwa na majeraha ya kiwewe, kwa matibabu ambayo hayapatikani huko Gaza. OCHA alisema wagonjwa 18,000 huko Gaza bado wanahitaji matibabu kwa dharura, wakati timu za Umoja wa Mataifa zinatayarisha msaada kwa watu wanaorejea kupitia Misri….

Read More

TRA United v Yanga mechi za kimkakati

MSAKO wa pointi tatu kwa Yanga unaendelea leo huku ikiwa na wimbi kubwa la mastaa majeruhi ambapo wameongezeka wengine wanne na kufikia sita, baada Clement Mzize na Dickon Job kuwa nje. Yanga inayoongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 36, leo ni mgeni wa TRA United, mechi ikichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid…

Read More

Wanne washikwa mkono gofu kimataifa

WAKATI mashindano ya gofu kwa chipukizi Afrika yakianza jana Jumatatu nchini Kenya, Benki ya NCBA imejitolea kuwadhamini watoto wanne watakaoiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo. Watoto hao wanatarajia kuibeba Tanzania katika mashindano yatakayofanyika kati ya Machi 23 hadi 26 mwaka huu nchini Kenya katika Jiji la Nairobi. Watoto hao wanaoiwakilisha Tanzania ni Ibrahim Juma, Julius James,…

Read More

TPDC INAENDELEA NA UPANUZI WA GESI ASILIA KWA MATUMIZI YA VIWANDANI NA MAJUMBANI

Na Mwandishi wetu – Dodoma  Shirika la Maendeleo la Petroli Tanzania (TPDC) inaendelea kupanua miundombinu ya kusambaza gesi asilia kwa matumizi ya viwandani na majumbani katika Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi, Mtwara, na sasa mpango ni kufika Morogoro, Dodoma, Tanga, Kilimanjaro na Arusha. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji TPDC Mussa Makame akizungumza na…

Read More

Ebola yaibuka tena DRC, yaua watu 16

Kinshasa. Mamlaka za afya za Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zimetangaza mlipuo mpya wa ugonjwa wa Ebola, ambapo hadi sasa umeua watu 16, wakiwepo wahudumu wanne wa afya. Pia zimeeleza kuwa hadi sasa watu 28 wameripotiwa kuambukizwa ugonjwa huo na baadhi yao wanaendelea na matibabu. Maeneo yaliyoathirika zaidi na mlipoko wa ugonjwa huo yanatajwa…

Read More

Wachungaji Wamwombea Rais Trump Ikulu ya Marekani

Global Publishers March 6, 2026 0 Comments Donald Trump amefanyiwa maombi maalum na wachungaji kadhaa katika ofisi ya Oval Office, wakimuombea hekima, uimara na uwezo wa kuliongoza taifa la Marekani. Tukio hilo lilifanyika jana ambapo wachungaji hao walikusanyika ndani ya ofisi hiyo na kumzunguka rais huyo huku wakimuombea kwa pamoja. Baadhi yao walimwekea mikono wakati…

Read More

Peace Solution Tanzania Yajipanga Kulinda Amani ya Taifa

Taasisi ya Peace Solution Tanzania (PST) imeendesha mafunzo kwa maofisa wake jijini Dar es Salaam leo, Septemba 13, 2025, kwa lengo la kuwajengea uwezo kabla ya kwenda kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kuilinda na kuienzi amani ya nchi. Akizungumza katika kikao hicho cha kitaifa, Kamishna Mkuu wa PST, Dkt. Meshack Stanley Chiburwa, alisema kuna baadhi…

Read More