Wanne familia moja wafariki dunia, madaraja yakatika

Dar/mikoani. Mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali, zimeendelea kuleta madhara ikiwemo kusababisha vifo vya watu wanne wa familia moja na kukata mawasiliano ya upande mmoja kwenda mwingine. Mwenendo wa hali ya mvua unadaiwa kusababisha vifo vya watu wanne familia moja wanaoishi Mtaa wa Goroka Tuangoma wilayani Temeke, Dar es Salaam waliodondokewa na ukuta wa nyumba…

Read More

Mastraika Mbeya City wanogesha hat trick

WAKATI zikibaki mechi sita kuhitimisha msimu huu wa Ligi ya Championship, washambuliaji wa Mbeya City wamekuwa tishio kufunga mabao matatu kwa mechi moja yaani ‘hat-trick’, tofauti na nyota wengine kutoka timu mbalimbali zinazoshiriki. Hadi sasa jumla ya hat trick nne zimefungwa ikibakisha moja tu kuifikia rekodi ya msimu uliopita zilipofungwa tano huku Mbeya City ikitoa…

Read More

Guterres alaani mauaji ya wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa – DW – 13.09.2024

Mashambulizi hayo ya Jumatano yalilenga shule inayohifadhi familia za Wapalestina waliopoteza makaazi yao pamoja na kaya mbili, na kuuwa dazeni kadhaa. Guterres amesema katika ujumbe uliochapishwa kwenye mtandao wa X kuwa ukiukaji huo wa sheria ya kimataifa unapaswa kukoma sasa. Jeshi la Israel lilithibitisha mashambulizi hayo jana Alhamisi, likisema lilifanya shambulio la usahihi dhidi ya…

Read More

KINANA AWASHAURI VIONGOZI CCM KUZINGATIA MAADILI

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Mapinduzi (CCM) Abdulrahman akizungumza katika ufunguzi wa kongamano la malezi na maadili lililoandaliwa na Jumuiya ya Wazazi Tanzania, mjini Mpanda, Mkoa wa Katavi. (Picha na Fahad Siraj-CCM) Na Mwandishi Wetu   MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Abdulrahman Kinana amewasisitiza wananchi na viongozi mbalimbali hususan wanaotokana na Chama hicho…

Read More

Jeshi la Polisi lathibitisha kumkamata Waziri wa zamani Mwambe

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limethibitisha kumshikilia Waziri wa zamani, Geofrey Mwambe, tangu usiku wa Desemba 7, 2025 alipokamatwa katika eneo la Tegeta, Kinondoni, kwa tuhuma zinazohusiana na makosa ya jinai ambayo bado hayajatajwa, yanayoendelea kuchunguzwa. Taarifa ya polisi iliyotolewa leo Desemba 12, 2025 imeeleza kuwa Mwambe, waziri wa zamani wa katika…

Read More

Rais Samia kuhutubia Taifa kupitia wazee wa Dar kesho

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema kesho Jumanne, Desemba 2, 2025, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atazungumza na wazee wa mkoa huo. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu, ofisini kwake, Chalamila amesema mazungumzo hayo yataanza saa 5 asubuhi katika ukumbi wa mikutano ya Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam….

Read More