JKT Queens yaanza kibabe CECAFA Women

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Wanawake, JKT Queens imeanza kwa kishindo michuano ya CECAFA kwa Wanawake ya kuwania tiketi ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa JKU Princess mabao 5-0 kwenye mchezo wa Kindi C. Mechi hiyo imepigwa mchana huu kwenye Uwanja wa Ulinzi Complex  Kenya ambako mashindano hayo yanaendelea kufanyika kuanzia jana hadi…

Read More

Dk Mwinyi awapa jukumu viongozi wa dini ulinzi wa amani

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amewataka viongozi wa dini kutumia majukwaa yao kupaza sauti na kuwakumbusha wanasiasa kuwa katika kipindi cha kampeni ni muhimu kuepuka siasa za chuki, mifarakano, ubaguzi na matusi. Amesema badala ya kueneza maneno ya uchochezi, wanasiasa wanapaswa kueleza kwa uwazi mipango na sera zao kuhusu namna watakavyowahudumia wananchi,…

Read More

Ebola yaibuka tena DRC, yaua watu 16

Kinshasa. Mamlaka za afya za Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zimetangaza mlipuo mpya wa ugonjwa wa Ebola, ambapo hadi sasa umeua watu 16, wakiwepo wahudumu wanne wa afya. Pia zimeeleza kuwa hadi sasa watu 28 wameripotiwa kuambukizwa ugonjwa huo na baadhi yao wanaendelea na matibabu. Maeneo yaliyoathirika zaidi na mlipoko wa ugonjwa huo yanatajwa…

Read More

MGOMBEA URAIS KUPITIA CCM DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AWAJIBU WANAOSEMA CCM INABEBA WATU NA MAGARI KUJAZA UWANJA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Rungwe MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hasan amewajibu wanaosema Chama hicho kinabeba wanachama wake kwenye magari kuwapeleka katıka mikutano ya kampeni zake ambapo amesema siyo shida wala siyo aibu kuwasafirisha wanaokwenda katika mikutano. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya Rungwe mkoani Mbeya wakati wa mkutano…

Read More

Ushindi wa Namungo kwa JKU, waibeba City FC Abuja

KITENDO cha Namungo FC kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya JKU katika mashindano ya Tanzanite Pre-Season Tournament si tu imeifanya timu hiyo kufuzu nusu fainali, bali pia imeibeba City FC Abuja. Ipo hivi; Kabla ya mchezo huo wa Kundi C kuchezwa leo Septemba 5, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani…

Read More

Baresi awaonya mastaa Kagame Cup 2025

WAKATI bingwa wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege akiwa na kibarua kizito kesho Jumamosi cha kucheza dhidi ya APR ya Rwanda katika michuano ya Kagame, kocha wa kikosi hicho, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amewataka wachezaji kutofanya makosa kama ilivyokuwa dhidi ya KMC. Baresi alisema mechi ya kwanza dhidi ya KMC waliyopoteza kwa mabao 3-2 imetoa somo kwa…

Read More

Chaja (USB) zinavyogeuka mawindo ya wadukuzi

Shinyanga. Bila shaka umewahi kusikia kuhusu udukuzi mtandao ambao mara nyingi umekuwa ikihusishwa na mifumo ya intaneti kufika data ambazo mwenyewe hakutaka zifikiwe na mtu mwingine. Na pengine utakuwa umesikia kuhusu hatari ya kutumia WiFi za bure ambazo hazina ulinzi (unencrypted WiFi) na namna zinavyogeuka kuwa mawindo ya wadukuzi wenye nia tofauti. Ukiachana na hiyo,…

Read More

OFISI ZA JAMII FORUMS ZADAIWA KUVAMIWA

 :::::: Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo, amesema Ofisi zao zimevamiwa na kwa kile alichodai kuwa uvamizi ulikuwa na Lengo la kumtafuta yeye Kupitia ukurasa wa Melo amechapisha taarifa inayosomeka “Kuna ‘uvamizi’ usio rafiki uliofanyika muda sio mrefu katika ofisi za JamiiForums, Mikocheni jijini Dar wakinitafuta mimi .. Nalaani vitendo kama hivi, ila umma utaujua…

Read More