Nyanya zenye dawa zakutwa sokoni, watalaamu waonya
Kama ukifika sokoni umekuwa ukizikimbia nyanya zilizobonyea au kupondeka maarufu masalo, jiulize mara mbili, huenda hizo ndio salama zaidi kwa afya yako.
Kama ukifika sokoni umekuwa ukizikimbia nyanya zilizobonyea au kupondeka maarufu masalo, jiulize mara mbili, huenda hizo ndio salama zaidi kwa afya yako.
Mgombea Udiwani wa Kata ya Maganzo, Hamza Yusuph Tandiko. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kampeni za Uchaguzi Mkuu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimeendelea kushika kasi, ambapo Mgombea Udiwani wa Kata ya Maganzo, Jimbo la Kishapu mkoani Shinyanga, Hamza Yusuph Tandiko, ameendelea kunadi Ilani ya CCM ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030 akisisitiza kuwa ni…
Geita. Naibu Waziri Mkuu Doto Biteko amesema mageuzi ya teknolojia na usimamizi madhubuti katika sekta ya madini, yameiwezesha serikali kukusanya sh3.8 trilioni katika kipindi cha miaka minne, sawa na asilimia 96 ya lengo la Wizara ya Madini. Akizungumza wakati wa kufunga monyesho ya nane ya kitaifa ya teknolojia ya madini Dk Biteko amesema mabadiliko hayo…
Dodoma. Askofu wa Jimbo Katoliki Zanzibar, Augustino Shao amesema amani ya kweli haiwezi kupatikana bila haki, akisisitiza kwamba mioyo ya watu wengi inavuja kwa kukosa haki licha ya kuonekana wametulia. Askofu Shao amesema hayo leo leo Jumapili Septemba 29, 2025 wakati akihubiri kwenye misa ya Sakramenti ya Kipaimara, katika Parokia ya Kivule, Jimbo Kuu Katoliki…
Mbeya. Mgombea ubunge wa Mbarali, Bahati Ndingo, amewaomba wananchi kumpa ridhaa kwa kipindi kingine ili akatatue changamoto ya ubovu wa barabara, huduma ya maji safi na nishati ya umeme vijijini. Amesema huduma hizo zitachochea kukua kwa shughuli za kiuchumi kwa wananchi, hususan wakulima wa zao la mpunga, kusafirisha kutoka mashambani kwenda sokoni. Ndingo amesema hayo…
Moshi. Mgombea udiwani wa Kata ya Karanga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Deogratius Mallya, ameahidi kushughulikia changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kwenda shuleni kwa kuhakikisha ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika kata hiyo, akitachaguliwa kuwa diwani. Akizungumza leo, Septemba 28, wakati wa uzinduzi wa kampeni zake uliofanyika katika kata hiyo, Mallya amesema shule…
Dar es Salaam. Kila kimoja kati ya vyama tisa vya siasa nchini kimetangaza vipaumbele vyake vya utekelezaji ndani ya siku 100 endapo kitapewa ridhaa na wananchi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Miongoni vipaumbele vilivyotajwa na vyama hivyo ni kupatikana kwa Katiba mpya, kudumisha maridhiano ya kitaifa, demokrasia jumuishi, elimu bure kwa ngazi zote…
Dar es Salaam. Dar es Salaam. Wakati Chama cha Wananchi (CUF) kikiibua tuhuma dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kukusanya kadi za mpiga kura, chama hicho tawala kimeibuka kikisema hakuna ukweli wowote dhidi ya madai hayo. Malalamiko hayo yametolewa leo Jumapili, Septemba 28, 2025 na Mgombea Ubunge wa Newala Vijijini, Mneke Saidi, alipozungumza na waandishi…
Rukwa. Mwenge wa Uhuru umepokewa leo Jumapili Septemba 28, 2025 katika Kijiji cha Kizi, Kata ya Paramawe mkoani Rukwa ambako utakimbizwa kwa kilomita 653.1, huku ukizindua miradi saba ya maendeleo, kuwekea mawe ya msingi miradi 15 na kukagua mingine 12. Shughuli za mapokezi ya Mwenge huo ukitokea mkoani Katavi, zimehudhuriwa na viongozi wa Serikali, vyombo…
Arusha. Wanafunzi kutoka Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru (TICD) kupitia kikundi chao cha Skyverse Solution, wameibuka washindi wa mashindano ya ujasiriamali na ubunifu ya Afrinnovate Youth Challenge baada ya kubuni mashine ya kubangua karanga. Ubunifu huo umetajwa kuwa mkombozi kwa wakulima wadogo wa karanga, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakitumia nguvu na muda mwingi…