Mizani zakwamisha uuzaji pamba, wakulima hawaelewi

Simiyu. Wakulima wa pamba wilayani Meatu mkoani Simiyu, wamelalamikia kusitishwa kwa shughuli za ununuzi wa zao hilo hatua iliyozua sintofahamu na kilio miongoni mwa wananchi wa wilaya hiyo. Hatua hiyo imekuja baada ya malalamiko ya muda mrefu kuhusu mizani zinazodaiwa kupunja wakulima kwa makusudi hivyo kupelekea Wakala wa Vipimo (WMA) kuchukua mizani kwa ajili ya uchunguzi….

Read More

VIDEO: Mke asimulia upande wa pili maisha ya Mkama Sharp

Dar es Salaam. “Nilimfahamu Mkama Sharp mwaka 1984 nikimuona stendi ya daladala ya Sabasaba (sasa Msimbazi A) nikiwa nasoma Chuo cha Biashara Kisutu. Pamoja na wenzangu tulipotoka shule tulikuwa tukisema huyu askari ni mkorofi.” Ndivyo anavyoanza simulizi, Arafa Hamis aliyekuwa mke wa Mkama Sharp, ambaye Desemba 11, 2024 Gazeti la Mwananchi liliandika kuhusu historia yake….

Read More

Dk Kijo Bisimba: Wazazi wa miaka hii wanachoka sana

Dar es Salaam. “Ni kweli harakati za kutafuta maisha zinachosha, lakini sikubaliani na namna wazazi wa miaka hii wanavyochoka kiasi kwamba wanakosa muda wa familia. Watoto wanaachwa chini ya uangalizi wa watu wengine ambao huenda hawana wajualo kuhusu malezi. “Unakuta wazazi wako Dar es Salaam wanachukua msichana wa kazi kutoka mkoani, hawamfahamu wala kujua malezi…

Read More

Hamasa kuhusu Kamala ‘Kamala-mania’ yafika Ulaya – DW – 27.07.2024

“Ni hali ya kustaajabisha” – ndivyo alivyokiita Amy Porter, msemaji wa Muungano wa chama cha Democratic nje ya Marekani, Democratic Abroad, DA, kile kilichotokea nchini Marekani wiki moja iliyopita. Tangu uamuzi wa rais Joe Biden kukabidhi kijiti cha uongozi kwa makamu wa rais Kamala Haris, Porter anasema muungano huo, unaokiwakilisha chama cha Democratic ulimwenguni kote,…

Read More

Baraza la Usalama lilitoa muhtasari juu ya changamoto za ulinzi wa amani huko Lebanon, Syria – Masuala ya Ulimwenguni

Naibu Katibu Mkuu wa Operesheni za Amani Jean-Pierre Lacroix aliungana na Meja Jenerali Patrick Gauchat, Mkuu wa Shirika la Usimamizi wa Udhibiti wa UN (UNTSO) ambaye anasimamia kwa muda kikosi cha Umoja wa Mataifa huko Golan, FUNGUA. Kwa sasa Bw. Lacroix yuko nchini Lebanon, ambako kuna kikosi cha Umoja wa Mataifa nchini humo UNIFILhufuatilia mpaka…

Read More

Wavuvi waendelea na kazi licha ya tishio la Kimbunga Hidaya

Lindi/Mtwara. Wakati kukiwa na tishio la Kimbunga Hidaya, baadhi ya wavuvi mikoa ya mwambao wa pwani wameonekana wakiendelea na kazi zao kama kawaida. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa kimbunga hicho kikiwa na upepo mkali na kuwatahadharisha watumiaji wa bahari kuwa makini ili kuepuka madhara. Akizungumza na Mwananchi Digital…

Read More

Niffer, wenzake 239 kizimbani kwa uhaini

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Jenifer Jovin (26), maarufu Niffer na wenzake 239 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na kesi ya uhaini inayotokana na maandamano ya kupinga uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Niffer, aliyekamatwa mapema kabla ya siku ya kupiga kura na wenzake hao waliokamatwa siku ya kupiga kura Oktoba 29, 2025 katika…

Read More