Maboresho mfumo kodi na maendeleo tuyatakayo

………… Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga  Juhudi za kujiletea maendeleo zinategemea sana ufanisi wa ukusanyaji kodi kutoka kwa wananchi. Wizara, taasisi na vitengo mbalimbali wanaweza wakakaa chini kupanga, kujadili na kuja na mipango mingi mizuri ya maendeleo lakini itakapofika kipengele cha namna ya kutekeleza mipango hiyo, maeneo mengi yatahitaji fedha ili kufanikisha. Kimsingi, kodi ni…

Read More

Tanzania yapanda viwango vya CAF, yaipiku Tunisia

Tanzania imepanda kwa nafasi moja katika chati ya viwango vya ubora vya nchi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kulingana na mafanikio ya klabu kwenye mashindano ya Afrika. Chati hiyo inatokana na tathmini ya ushiriki wa miaka mitano wa klabu za nchi husika katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la…

Read More

Vaso Psycho Inawasha Moto wa Ushindi Mkubwa

Global Publishers March 12, 2026 0 Comments Wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni sasa wana sababu mpya ya kutabasamu baada ya kuzinduliwa rasmi kwa Vaso Psycho, mchezo mpya wa kusisimua kutoka Expanse Studios unaopatikana Meridianbet. Mchezo huu umeletwa mahsusi kwa wachezaji wanaopenda burudani ya kipekee na nafasi ya kushinda zawadi kubwa kwa mtindo wa kisasa….

Read More

Barberian FC yanyatia rekodi mbovu Championship

TIMU ya Barberian, inanyemelea rekodi mbovu msimu huu katika Ligi ya Championship, baada ya kikosi hicho ambazo zamani kilikuwa kinafahamika kwa jina la Kiluvya United, kushinda mechi moja tu hadi sasa kati ya 19 ilizocheza, kikiwa mkiani. Katika mechi hiyo moja ambayo kikosi hicho imeshinda msimu huu, ilikuwa ya ushindi wa mabao 2-1, dhidi ya…

Read More

Neema arejea nchini na ubingwa wa Perm Marathon

Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Neema Msuadi amerejea nchini akitokea Russia alikokwenda kushiriki mbio za Perm Marathon. Mbio hizo zilifanyika Oktoba, mwaka huu, jijini Perm ambako Neema alimaliza wa kwanza kwa muda wa saa 2:38:15 na kuwa Mtanzania wa pili kuongoza mwaka huu baada ya Gabriel Geay kufanya hivyo mwezi Februari akishinda Daegu Marathon za…

Read More

Ahoua aendelea kuitesa Fountain, Sowah kama kawa

KINARA wa upachikaji mabao msimu uliopita, Jean Charles Ahoua ameendelea alipoishia kwa kuitesa Fountain Gate baada ya kufunga na kuasisti Simba ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika Ligi Kuu Bara. Msimu uliopita Ahoua dhidi ya Fountain Gate kwenye Uwanja wa KMC, Simba ikiibuka na ushindi wa 4-0 alifunga bao moja na kutoa pasi mbili…

Read More

Mafuriko ya mvua yaziacha kaya 14 bila makazi Moshi

Moshi. Kaya 14 zenye jumla ya watu 39 katika Mtaa wa Viwanda, Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro zimekosa makazi baada ya nyumba zao kuzingirwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha kwa zaidi ya saa sita usiku wa kuamkia Machi 2, 2026. Mbali na kupoteza makazi, familia hizo zinakabiliwa na uhaba wa…

Read More

Mwijage amkosha Maximo Kagame | Mwanaspoti

MIONGONI mwa wachezaji ambao kocha wa KMC, Marcio Máximo anavutiwa na uwezo wao kwenye kikosi hicho ni pamoja na Edson Erick Mwijage ambaye amepachika mabao mawili na kutoa asisti mbili katika mashindano ya Kombe la Cecafa Kagame. Mwijage ambaye ni usajili mpya wa KMC akitokea Kagare Sugar ambayo ilishuka daraja msimu uliopita, amehusika katika mabao…

Read More

Baltasar Engonga ahukumia minane jela

Dar es Salaam. Mahakama nchini Guinea ya Ikweta imemhukumu aliyekuwa mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (NFIA), Baltasar Engonga kwenda jela miaka minane kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kujitajirisha kinyume cha sheria. Ikumbukwe Engonga aligonga vichwa vya habari duniani mwaka jana 2024 baada ya kusambaa kwa kasi kwa kanda za…

Read More