WAGOMBEA UBUNGE MAJIMBO YA MKOA WA SONGWE WAJIVUNIA YALIYOFANYWA NA RAIS SAMIA “OKTOBA WOTE TUNATIKI KWA SAMIA”
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe WAGOMBEA ubunge wa majimbo yaliyopitishwa katika Mkoa wa Songwe wametaja mafanikio lukuki yaliyofanywa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka minne na nusu ya uongozi wake huku wakitumia nafasi hiyo kuahidi kwa niaba ya wananchi wakiahidi kumpigia kura Rais Samia katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025. Akizungumza leo…