WAGOMBEA UBUNGE MAJIMBO YA MKOA WA SONGWE WAJIVUNIA YALIYOFANYWA NA RAIS SAMIA “OKTOBA WOTE TUNATIKI KWA SAMIA”

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Songwe WAGOMBEA ubunge wa majimbo yaliyopitishwa katika Mkoa wa Songwe wametaja mafanikio lukuki yaliyofanywa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan katika kipindi cha miaka minne na nusu ya uongozi wake huku wakitumia nafasi hiyo kuahidi kwa niaba ya wananchi wakiahidi kumpigia kura Rais Samia katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025. Akizungumza leo…

Read More

Askofu Massawe aonya upofu wa roho

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Isaac Massawe amesema upofu wa roho umewafanya binadamu kujiona wapo juu ya Mungu hivyo kutojali haki za watu wengine. Amesema mwanadamu hupofushwa na tamaa za mwili, mali na madaraka, hivyo kunahitajika mwanga wa kumsaidia kuona kwa usahihi na kutenda yaliyo sahihi. Askofu huyo alitoa kauli…

Read More

Mambo 11 yaliyoibeba sekta ya utalii dhidi ya Uviko-19

Dar es Salaam. Wakati sekta ya utalii duniani ikirejea katika nafasi iliyokuwapo kabla ya ugonjwa wa Virusi vya Korona (Uviko-19), haya hapa mambo 11 yaliyoibeba sekta hii kwa Tanzania. Mambo hayo kwa mujibu wa Ripoti yamechangia kuongezeka kwa mapato ya utalii nchini kwa asilimia 15.7 hadi kufikia dola za Kimarekani bilioni 3.903 (Sh10.15 trilioni) mwaka…

Read More

Hatari wenza kutumiana picha za faragha

Dar es Salaam. Picha iliyotumwa kwa kuaminiwa kama ishara ya upendo, huenda ikageuka silaha ya fedheha, vitisho, visasi na kusababisha maumivu ya kudumu. Katika zama hizi za teknolojia, simu janja na mitandao ya kijamii imekuwa chombo cha kuwasiliana lakini pia imeibua tishio jipya la kisaikolojia na kijamii kusambazwa bila ridhaa kwa picha na video za…

Read More

Kocha Mafunzo ataja sababu kupigwa 3-1

KOCHA Mkuu wa Mafunzo, Salum Ali Haji, amesema sababu ya kupoteza mchezo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) raundi ya 21 dhidi ya KVZ ni wachezaji wake kuumwa na tumbo la kuharisha. Kauli hiyo imekuja baada ya timu hiyo kupokea kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa KVZ katika mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa jana Jumamosi Machi…

Read More

Pamba Jiji yabanwa nyumbani | Mwanaspoti

PAMBA Jiji jana ikicheza kwa mara ya kwanza mechi y Ligi Kuu Bara ikiwa nyumbani ilibanwa mbavu na Watoza Ushuru wa TRA United baada ya kutoka suluhu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. Katika pambano hilo lililokuwa la tatu kwa Pamba na la pili kwa wageni, lilihudhuriwa na mashabiki wachache, huku wenyeji wakishindwa kurudia…

Read More

Katibu UVCCM Pangani aanza ziara ya “Operesheni Samia”

Na Mwandishi Wetu, Pangani Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Pangani mkoani Tanga, Nasri Mkalipa, ameanza ziara ya kuimarisha uhai wa Chama na kusikiliza kero za wananchi, ziara iliyopewa jina la “Operesheni Samia.” Mkalipa ameanza ziara hiyo Machi 24, 2026, katika Kata za Mkalamo na Mkwaja ambapo ameonana na…

Read More