Othman: Nitatekeleza ahadi zangu kabla sijaulizwa

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema masuala yote aliyoahidi Wazanzibari ikiwemo ajira, majibu yatapatikana ndani ya muda mfupi kabla hawajamuuliza utekelezaji wake. Ahadi nyingine ambazo Othman amekuwa akiziahidi katika mikutano yake ya kampeni visiwani humo ni pamoja na masilahi bora kwa wafanyakazi, uwezeshaji, katiba mpya, kurejesha heshima…

Read More

Mjadala tuzo ya Aziz Ki na takwimu za Guede

Tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Aprili ya Ligi Kuu Bara imezua gumzo kwa baadhi ya wadau wa soka nchini kutokana na kuteuliwa Stephane Aziz KI badala ya Joseph Guede ambaye ameonekana kuwa na mchango mkubwa zaidi katika pointi 10 ambazo Yanga imevuna ndani ya mwezi huo. Kwa mujibu wa taarifa ya Bodi ya Ligi…

Read More

Dk Tulia atangaza rasmi nia kugombea jimbo jipya la Uyole

Mbeya. Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk Tulia Ackson ametangaza rasmi nia ya kugombea jimbo jipya la Uyole katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 2025, huku akiwaachia kazi wananchi jijini humo kumchagua mgombea ajaye. Dk Tulia ametangaza hatua hiyo leo Mei 23, 2025 wakati akizungumza na wananchi mbalimbali wakiwamo makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akiambatana…

Read More

Kwa nini COP30 lazima iwe katikati ya watu wa asili ‘na uongozi wa jamii za wenyeji – maswala ya ulimwengu

Maoni na Juan Carlos Jintiach (Napo, Amazonia, Ecuador / New York) Alhamisi, Novemba 06, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAPO, Amazonia, Ecuador / New York, Novemba 6 (IPS) – Viongozi wa ulimwengu wanajiandaa kukusanyika nchini Brazil kwa Cop30 wiki ijayo, watakutana ndani ya moyo wa Amazon – eneo linalofaa kwa kile lazima iwe mabadiliko…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kopunovic yuko kwenye kipimo Pamba

DIRISHA la usajili linazidi kuchangamka na jamaa zetu wa Pamba FC wao wameanza kwa utambulisho wa kocha mkuu Goran Kopunovic kutoka Serbia. Kocha huyo anachukua nafasi ya Mbwana Makata ambaye pamoja na kuipandisha daraja timu hiyo, imeamua kutoendelea naye na kuamua kumchukua kocha huyo wa zamani wa Simba. Kabla ya kujiunga na Pamba FC, timu…

Read More