ZAIDI YA BILIONI 8 ZATUMIKA KUBORESHA MTANDAO WA BARABARA WILAYANI ARUMERU

📌Wanawake na Vijana  wajengewa uwezo ushirikishwaji wa vikundi  📌Barabara ya Zege yawa Mkombozi kwa wakazi wa Machumba-Nkoarua Arumeru Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini Tanzania (TARURA) imeendelea kuboresha na kukamilisha ujenzi wa barabara mbalimbali katika Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha, hatua inayolenga kurahisisha usafiri na kuchochea maendeleo ya kiuchumi kwa wananchi….

Read More

AIRTEL MONEY YAZINDUA “AIRTEL MONEY NI BUREE” NA NI NAFUU” KUONGEZA UHURU WA KUFANYA MIAMALA AIRTEL MONEY

  Dar es Salaam, Agosti 28, 2025 – Airtel Money Tanzania leo imetangaza uzinduzi wa kampeni mbili kabambe maalum kwa wateja wake wa Airtel Money itakayojulikana kama Airtel Money Ni Buree na Ni Nafuu, ikiwa na lengo la kuendelea kutoa uhuru zaidi kwa wateja wote wanaotumia Airtel Money. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika Makao…

Read More

Waziri Mkuu Asisitiza Amani, Maadili Na Ushirikiano Na Taasisi Za Dini – (Picha +Video)

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini katika kulinda amani, kuimarisha maadili na kuchochea maendeleo ya Taifa. Dkt. Mwigulu amesema hayo leo Jumapili (Machi 15, 2026) wakati akitoa salamu katika Ibada iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mpanda Mjini, Dayosisi ya…

Read More

Hekaya za Mlevi: Zishtukieni sera za ndoto 

Dar es Salaam. Mimi sijui nina uraibu gani. Hata akipita mwendawazimu anayeongea peke yake, nitahangaika hadi nisikie kile anachosema. Mara kadhaa nimekuwa nikiwasikiliza paka wanaolalama usiku wa manane, nikawa nasikia kama wanaongea kama watu. Wakati mwingine niliogopa kwa kudhani nagombaniwa miye, maana mmoja alisema “ni wanguuu” mwingine akajibu “mwongooo”.  Kwa kutaka kujua kila kitu, najikuta…

Read More

I$M BANK TANZANIA YAINGIA UBIA NA PESAPAL KUIMARISHA MALIPO KIDIGITAL KWA BIASHARA

Na Mwandishi Wetu I&M Bank Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Pesapal Tanzania, kampuni yenye leseni ya kutoa huduma za malipo na suluhisho za kidijitali. Taarifa iliyotolewa leo Septemba 10,2025 imeeleza ushirikiano huo huu unalenga kupanua upatikanaji wa huduma salama na za uhakika za malipo ya kidijitali kwa biashara nchini Tanzania.Imesema kupitia ubia huo,…

Read More

The Blood of Sudan Must Never Be Silenced

By Moses Ntandu, Dar es Salaam, Tanzania On the land of Sudan, this month of Ramadan has not arrived with peace or hope. Instead, it has come to a country exhausted by war, torn apart by pain, and immersed in the grief of thousands of families who have lost their loved ones. The capital city,…

Read More