Mtaalamu wa Video Tabora United asepa

UONGOZI wa Tabora United umeachana rasmi na aliyekuwa mtaalamu wa utathimini wa viwango vya wachezaji na mchambuzi wa video ‘Video Analyst’, Brian David Aswani raia wa Kenya kwa kile kilichoelezwa kuamua kuondoka mwenyewe kikosini humo. Licha ya uongozi wa Tabora kutotaka kuweka wazi juu ya suala hilo, ila Mwanaspoti linatambua mtaalamu huyo ameondoka kwa kile…

Read More

Ligi Kuu Bara, Mzize na Ahoua wote mtegoni

SI uliona ushindani wa wachezaji ulivyokuwa msimu uliopita katika Ligi Kuu Bara na mwisho wa yote wale wa kigeni walitawala sehemu kubwa mbele ya wazawa? Ngoma ya msimu huu imeanza kwa kasi ya ajabu, huku wazawa wakiamka. Msimu uliopita kinara wa mabao alikuwa mchezaji wa kigeni, Jean Charles Ahoua, raia wa Ivory Coast, anayecheza Simba…

Read More

Kipa Pamba awapiga mkwara Diarra, Moussa Camara

KIPA wa Pamba Jiji, Yona Amos aliyemaliza nafasi ya nne kwa makipa waliokuwa na ‘clean sheets’ nyingi baada ya Moussa Camara wa Simba, Diarra Djigui na Patrick Munthari amesema msimu wa 2025-26 ataendelea alipoishia mipango ni kuongeza namba. Kipa huyo aliyeshika namba mbili ya makipa wazawa waliofanya vizuri msimu uliopita akiwa na clean sheet 11,…

Read More

DB Lioness Vs Polisi Stars hapatoshi

Timu ya DB Lioness ilitinga nusu fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (WBDL), baada ya kuifunga timu ya ngumu ya Polisi Stars kwa michezo 2-1. Robo fainali hiyo iliyohudhuriwa na watazamaji wengi, ilifanyika kwenye Uwanja Donbosco, Oysterbay. Kwa matokeo hayo, timu ya DB Lioness itacheza na Jeshi Stars katika nusu fainali,…

Read More

Apewa figo na dada yake, akosa Sh50 milioni kuipandikiza

Moshi. Licha ya dada yake kukubali kumchangia figo, maisha ya kijana Dickson Sambo aliyeishi miaka minane akisafishwa damu kutokana na tatizo la figo, bado yako kwenye hatihati. Kijana huyo mkazi wa Mbokomu, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro ambaye figo zake zote mbili zilifeli miaka minane iliyopita, ameshindwa kupandikizwa ogani hiyo kutokana na kukosa Sh50 milioni…

Read More

Beki wa zamani Simba, Yanga afariki dunia

HABARI zilizotufikia hivi punde ni kwamba beki wa zamani Tukuyu Stars, Simba na Yanga, Seleman Mathew amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Amana, Ilala jijini Dar es Salaam. Beki huyo wa zamani alikuwa katika kikosi cha Tukuyu Stars ‘Wana Banyambala’ kilichotwaa ubingwa wa Ligi ya Tanzania Bara mwaka 1986 kabla ya kupita katika…

Read More