
Risasi yaivua ubingwa Kahama Sixers
Timu ya mpira wa kikapu ya Risasi iliifunga Kahama Sixers kwa pointi 64-61, katika fainali ya Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Shinyanga iliyofanyika kwenye Uwanja wa Pope Leone XV uliopo Kahama. Ushindi umeifanya timu hiyo itwae ubingwa kwa matokeo ya jumla ya michezo 2-1, ambapo katika fainali ya kwanza Kahama Sixers ilishinda kwa pointi…