Risasi yaivua ubingwa Kahama Sixers

Timu ya mpira wa kikapu ya Risasi iliifunga Kahama Sixers kwa pointi 64-61, katika fainali ya Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Shinyanga iliyofanyika kwenye Uwanja wa  Pope Leone XV uliopo Kahama. Ushindi umeifanya timu hiyo itwae ubingwa kwa matokeo ya jumla ya michezo 2-1, ambapo katika fainali ya kwanza Kahama Sixers ilishinda kwa pointi…

Read More

Mnigeria arithi mikoba ya Assinki Singida Black Stars

BAADA ya Singida Black Stars kumtoa kwa mkopo aliyekuwa beki wa timu hiyo Mghana, Frank Assinki, uongozi wa kikosi hicho tayari umekamilisha usajili wa Mnigeria Victor Chukwuemeka Collins, ili kurithi mikoba yake kwa mkataba wa miaka miwili. Collins aliyezaliwa Novemba 2, 2024, katika mji mkuu wa jimbo la Enugu, Nigeria, amekamilisha usajili huo kwa mkataba…

Read More

Ibenge: Mbeya City inanipa ramani

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema mechi ya kesho dhidi ya Mbeya City itatoa picha ya ushindani kwa ajili ya Ligi Kuu Bara inayoanza Septemba 17, huku akiweka wazi utakuwa mchezo mzuri kutokana na utayari wa wachezaji wa kikosi hicho. Azam itashuka uwanjani kesho katika pambano la kirafiki la kusindikiza tamasha la Mbeya…

Read More

KIKAO CHA 19 CHA KAMATI YA MIFUKO NA PROGRAMU ZA UWEZESHAJI WAFANYIKA ARUSHA

Kikao cha 19 cha Kamati ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kimefanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa VETA-Njiro kikihusisha wajumbe kutoka taasisi mbalimbali. Kikao hicho kimekusudia kujadili maendeleo ya mifuko na programu za uwezeshaji hapa nchini ikiwemo inayotoa mikopo, dhamana, ruzuku pamoja na programu mbalimbali za uwezeshaji wananchi kiuchumi. Washiriki wa kikao hiki…

Read More

Kuna kitu mbio za Mt Meru

ZIKIFANYIKA kwa mara ya kwanza nchini mbio za nyika na vikwazo chini ya Mlima Meru uliopo Arusha, ni ubunifu wa aina yake utakaobeba michezo, utalii pamoja na afya ya akili na mwili. Zaidi ya kukimbia kwa miguu, pia kulikuwapo na mbio za baiskeli na shindano la pikipiki za Enduro yote yakija na utalii wa vivutio…

Read More

Tuanze kujipanga kwa AFCON 2027

BADO mawazo ya Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) 2024 hayajaisha kichwani japo mashindano yamemalizika na Morocco imechuka ubigwa. Hayahusu sana kisa timu yetu ya taifa ‘Taifa Stars’ iliishia robo fainali maana timu iliyotutoa ndio ilimaliza ikiwa kinara wa mashindano hayo na ni taifa kubwa hasa. Namba ndogo ya…

Read More

DB Lioness Vs Polisi Stars hapatoshi

Timu ya DB Lioness ilitinga nusu fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (WBDL), baada ya kuifunga timu ya ngumu ya Polisi Stars kwa michezo 2-1. Robo fainali hiyo iliyohudhuriwa na watazamaji wengi, ilifanyika kwenye Uwanja Donbosco, Oysterbay. Kwa matokeo hayo, timu ya DB Lioness itacheza na Jeshi Stars katika nusu fainali,…

Read More

Mtibwa kuchomoa wawili Singida Black Stars

MABOSI wa Mtibwa Sugar wanafanya mazungumzo na uongozi wa Singida Black Stars ili kupata saini ya nyota wawili wa timu hiyo kwa mkopo akiwamo, beki wa kushoto Mghana, Ibrahim Imoro na kiungo mshambuliaji kutoka Ivory Coast, Serge Pokou. Imoro aliyejiunga na timu hiyo Julai 1, 2024, akitokea Al-Hilal Omdurman ya Sudan, awali alikuwa anawindwa na…

Read More