Mashindano ya Kitesurfing kuvutia utalii wa michezo Zanzibar

Zanzibar. Katibu Mkuu Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale wa Zanzibar, Dk Aboud Jumbe amesema mashindano ya Kitesurfing yanatarajia kuwa chachu ya kukuza utalii wa michezo visiwani humo. Dk Jumbe ameyasema hayo Jumamosi Agosti 24, 2024 akihutubia katika mashindano ya ‘Zanzibar Cup Kusi 2024’ yaliyofanyika Kiwengwa visiwani humo huku yakihudhuriwa na washiriki kutoka nchi…

Read More

Madereva Tanga – Horohoro wagoma, kisa hiki hapa

Tanga. Madereva wanaofanya safari zao kutoka Tanga Mjini kwenda wilaya ya Mkinga eneo la Horohoro ulipo mpaka wa Tanzania na Kenya, wamegoma kusafirisha abiria kutokana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Ardhini (Latra) kushusha nauli huku bei ya mafuta ikiwa imepanda. Akizungumza katika Stendi ya Mwembe Mawazo ulipofanyika mgomo huo, leo Mei 2, 2024, Makamu…

Read More

Wagonjwa 36,404 wafikiwa na kambi ya madaktari bobezi

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imesema wagonjwa 36,404 kutoka mikoa 14 wamefikiwa katika huduma za matibabu kutoka kwa madaktari bingwa na bobezi, wanaozunguka wilaya mbalimbali  nchini. Kambi hiyo iliyozinduliwa rasmi Mei 6 2024  na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu imewafikia wagonjwa hao kwa kipindi cha siku 25 hadi kufikia Mei 31 2024 na kumekuwa…

Read More

Dk Mpango: Afrika iimarishe umoja kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

Unguja. Nchi za Afrika zimesisitizwa kuimarisha umoja ili kusukuma mbele ajenda ya pamoja katika kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi. Pamoja na kuimarisha uwezo wa kutafuta rasilimali za ndani, pia zimetakiwa kuacha kutegemea ufadhili kutoka mataifa makubwa, huku zikiendelea kuathiriwa na athari za mabadiliko hayo. Hayo yameelezwa leo Jumatatu Aprili 28, 2025 katika mkutano…

Read More

Serukamba akomalia miradi ya Maendeleo, atoa agizo Mufindi

Mufindi. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya Mufindi kuongeza nguvu katika usimamizi wa miradi ya maendeleo, ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati. Serukamba ametoa maagizo hayo leo Jumatano Juni 26, 2024 kwenye kikao cha Baraza la Madiwani lililojadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka…

Read More

CUF yajipanga kudai Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi

Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF) kimesema wakati Taifa likielekea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, kinatarajia kufanya mazungumzo na vyama vingine vya siasa kuhusu suala la Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi. Uamuzi huo wa CUF umechochewa na madai kwamba miswada iliyopitishwa na Bunge…

Read More

Mpina ateuliwa kuwania urais, akataa gari ya INEC

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimekataa kupokea gari jipya lililotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa kila mgombea wa nafasi ya urais kikisema kiko vizuri katika rasilimali. Tukio hilo limetokea leo Septemba 13, 2025 baada ya Mpina kurejesha fomu INEC, Dar es Salaam za kuomba kuteuliwa kuwania nafasi ya urais katika…

Read More