Madhara wanawake wanaotumia steroidi kujenga misuli

Watu wanapofikiria kuhusu watu wanaokwenda vituo vya mazoezini (gym) huku wakitumia steroidi, picha inayokuja akilini mara nyingi ni ya wanamume wanaonyanyua vyuma vizito, kama Arnold Schwarzenegger, au washawishi wa kisasa wa mitandao ya kijamii wanaoonyesha misuli yao. ​Lakini leo taswira hiyo inabadilika. Wanawake sasa wanawakilisha sehemu inayokua ya watu wanaotumia steroidi.  Kitaalamu, steroidi kwa Kiingereza…

Read More

Dk Tulia aahidi miradi ya kipaumbele Uyole

Mbeya. Mgombea ubunge wa Uyole, Dk Tulia Ackson ameahidi kuchimba visima vikubwa katika kata ya Itezi ili kumaliza adha ya maji kwa wananchi wake ikiwa ni miongoni mwa vipaumbele vyake katika jimbo hilo. Vipaumbele vingine alivyojiwekea Dk Tulia ni pamoja na kuimarisha miundombinu ya barabara na kusimamia utoaji mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana…

Read More

Fahamu Faida 7 Muhimu za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Juisi ya karoti ni kinywaji chenye virutubisho vingi muhimu kama vitamini, antioxidants na nyuzinyuzi, ambavyo huchangia kuboresha afya kwa ujumla. Kwa mujibu wa Healthline, juisi ya karoti ina kalori chache na wanga mdogo lakini ina virutubisho muhimu kwa mwili. Kikombe kimoja (takriban gramu 236) cha juisi ya karoti kina wastani wa: Kalori 94 Protini gramu…

Read More

Dk Mwinyi aahidi akiondoka madarakani hataacha madeni serikalini

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, ametaja kinachompa ujasiri wa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo ni kutokana na kufungua akaunti maalumu ya kulipa madeni, akisisitiza kuwa iwapo akiondoka madarakani hataacha deni lolote la Serikali. Dk Mwinyi amesema baada ya kuona kuna haja ya kutekeleza miradi kupitia utaratibu wa mikopo, alifungua akaunti maalumu ambayo kila…

Read More

DC Nyamwese aanika fursa za uwekezaji Handeni

Na Augusta Njoji, Handeni TC MKUU wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, ametoa rai kwa sekta binafsi kuchangamkia fursa za biashara na uwekezaji katika sekta mbalimbali, ikiwamo viwanda vya kuchakata machungwa, ili kuchochea maendeleo ya wilaya hiyo. Akifungua kikao cha Baraza la Biashara la Wilaya kilichofanyika mjini Handeni Septemba 23, 2025, Nyamwese ambaye pia…

Read More

DKT.NCHIMBI AOMBA WANANCHI HANDENI KUICHAGUA CCM KWA KURA NYINGI ILI ISHINDE KWA KISHINDO UCHAGUZI MKUU.

MGOMBEA Urais mwenza kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaomba wananchi wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga kukipigia kura Chama hicho ili kishinde kwa kura nyingi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025. Ametoa ombi hilo alipokuwa akihutubia maelfu ya Wananchi waliofika kumsikiliza,katika uwanja wa Kigoda leo Septemba 15, 2025 wilayani…

Read More

Stone Mosabu feat G Nako – Kuku (Official Music Video)

Global Publishers February 25, 2026 0 Comments Stone Mosabu ameshirikiana na G Nako kuleta wimbo mpya wa muziki wa Kiswahili unaoitwa “Kuku”, na tayari umekuwa gumzo kwa mashabiki wa muziki nchini. Wimbo huu unachanganya beat kali, vibes za kipekee, na maneno yanayofaa kwa kuamsha hamasa katika kila party au sherehe. “Kuku” ni ushuhuda wa ushirikiano…

Read More

Mukrim Miranda kutimkia Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars imejiondoa katika dili la beki wa TMA, Vedastus Masinde baada ya kuanza mazungumzo na Mukrim Miranda wa Dodoma Jiji. Iko hivi. Singida ilikuwa ya kwanza kumfuata Miranda, lakini baadae wakasitisha mazungumzo naye baada ya Pamba Jiji kuingilia dili hilo. Inadaiwa pia Pamba Jiji imesitisha mazungumzo na Miranda na sasa Singida imemrudia tena…

Read More