Madaktari watoa taarifa mpya hali ya Papa Francis

Rome, Vatican. Hali ya kiafya ya Kiongozi wa Kanisa Katoliki, Papa Francis, imeendelea kuwa ya wasiwasi baada ya kushindwa kupumua kutokana na makohozi kuziba njia za hewa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Vatican, madaktari walilazimika kutumia mashine kuondoa makohozi hayo na kumuweka tena kwenye mashine ya kumsaidia kupumua. Hata hivyo, licha ya hali…

Read More

Coastal yamnasa straika Mkenya | Mwanaspoti

WAGOSI wa Kaya, Coastal Union, ipo hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa straika Mkenya, John Mark Makwata kutoka Kariobangi Sharks inayoshiriki Ligi Kuu ya Kenya (KPL). Timu hiyo inayoshiriki michuano ya kimataifa msimu ujao, inataka kukamilisha dili hilo baada ya kuvutiwa na mchezaji huyo ambaye msimu uliopita katika Ligi Kuu ya Kenya (KFKPL), alifunga…

Read More

Ni nini kinatokea wakati wanawake na wasichana wa Afghanistan wanaenda nje ya mkondo? – Maswala ya ulimwengu

Wakati ambao wanawake walikuwa tayari wamepigwa marufuku kuhudhuria shule na vyuo vikuu, Radio Femme imechukua jukumu muhimu katika kutoa njia mbadala za elimu. Inatoa jukwaa adimu kwa wanawake na wasichana kujifunza na kuendelea na masomo yao, na walimu wanane wakitoa masomo katika masomo kutoka kwa hesabu hadi sayansi. Lakini basi mnamo tarehe 30 Septemba, bila…

Read More

KILANGO AWAHAMASISHA VIJANA SAME MASHARIKI KUSHIRIKI MKUTANO WA WAZIRI WA MAENDELEO YA VIJANA

 MBUNGE wa Jimbo la Same Mashariki kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anne Kilango, amewasihi vijana wa jimbo hilo kujitokeza kwa wingi katika mkutano wa hadhara wa Waziri wa Maendeleo ya Vijana Joel Nanauka  unaotarajiwa kufanyika leo Disemba 22, 2025, katika viwanja vya Stendi ya Mabasi Ndungu. Akizungumza kuelekea siku hiyo, Kilango alimpongeza Rais wa Jamhuri…

Read More

HOW RELIABLE TRUCKS KEEP THE SECTOR THRIVING

  By Erca Uiso, Marketing Coordinator – CFAO Mobility Tanzania Tanzania’s mining sector is quietly but steadily transforming the nation’s economy. In 2023, the industry contributed 9.1% to the country’s GDP, rising to over 10% by 2024, making it one of the fastest-growing segments of Tanzania’s economy. Gold remains the cornerstone, with exports valued at…

Read More

WADAU SEKTA YA UJENZI WAJENGEWA U UWEZO KUKABILIANA NA MIGOGORO KWA NJIA RAFIKI

Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) imejipanga kupunguza migogoro katika sekta ya ujenzi kwa kuwajengea uwezo wadau mbalimbali jambo ambalo litasaidia upatikanaji wa suluhishi kwa kutumia njia rafiki inayotoa fursa kwa pande mbili kuelewana bila kwenda Mahakamani. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati akitoa mafunzo maalum ya kuwajengea uwezo wa…

Read More

Unaukumbuka ugali wa Yanga? | Mwananchi

Dodoma. Kutokana na baa la njaa katika miaka ya 1974 hadi 1975, Watanzania walilazimika kula ugali uliotokana na mahindi ya njano kutoka Marekani. Ukapewa jina ugali wa yanga. Ugali wa yanga ni moja ya masimulizi ya kipekee katika historia ya Tanzania, ambapo jina hili maarufu lilitokana na uhusiano wa rangi ya njano ya unga huo …

Read More

DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI KUENDELEA NA MKAKATI UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mara. MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema mkakati wa Serikali katika miaka mitano ijayo ni kuendelea kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kufungua fursa mbalimbali za Uwezeshaji wananchi kiuchumi. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Musoma Mjini mkoani Mara ,Mgombea Urais Dk.Samia ameeleza kuwa mengi yamefanywa…

Read More