SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KUHUSU SUALA LA UHABA WA FEDHA ZA KIGENI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza wakati wa kikao na ujumbe kutoka Ubalozi wa Uingereza nchini ukiongozwa na Balozi Mpya wa Uingereza Nchini, Mheshimiwa Marrianne Young, ulipofika ofisini kwa Waziri wa Fedha jijini Dodoma kwa ajili ya kujiambulisha, ambapo pamoja na mambo mengine wamejadiliana masuala mbalimbali ya ushirikiano katika kukuza…

Read More

Taharuki makaburi zaidi ya 30 yakivunjwa Mbozi

Songwe. Makaburi zaidi ya 30 katika Mtaa wa Majengo, Kata ya Hasanga wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe, yamevunjwa kisha kung’olewa misalaba na urembo wa kwenye malumalu. Mwananchi limefika katika makaburi hayo wakati wananchi wakifanya usafi kwenye makaburi hayo na kushuhudia uharibifu mkubwa katika makaburi hayo yaliyopo eneo la kwa Mzungu. Akizungumzia hilo leo Alhamisi Julai…

Read More

Mastaa Pamba watuhumiwa kubeti Ligi Kuu

WAKATI kukiwa na mijadala kuhusu wachezaji wa ligi mbalimbali za soka nchini Tanzania kuhusika katika michezo ya kubashiri (betting) na kupanga matokeo, kuna jambo limeibuliwa Mkoani Mwanza na kuibua mijadala mingi miongoni mwa wadau. Jambo hilo limehusishwa moja kwa moja na baadhi ya mastaa wa klabu kongwe na maarufu jijini Mwanza ya Pamba Jiji ambayo inashiriki…

Read More

Rais Samia kuongoza Maadhimisho ya Miaka 25 ya TAWJA Arusha

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka 25 ya Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA), yatakayofanyika kwa siku tano kuanzia Januari 19 hadi 23, 2025, kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa jijini Arusha. Mwenyekiti wa TAWJA, Jaji wa Rufani Barke Sehel, alithibitisha hayo leo…

Read More

WAWEKEZAJI BIASHARA YA KABINI WATAKIWA KUWA WAWAZI

Serikali ya Tanzania imetoa wito kwa kampuni zinazojihusisha na biashara ya kaboni nchini kujenga uwazi na kuhusisha jamii kwenye maeneo ya miradi ili wananchi wawe nba ufahamu wa biashara hiyo. Pia, imezitaka kampuni hizo kutimiza ahadi wanazoweka katika biashara ya kaboni ili kuleta manufaa ya kuhifadhi bionuwai na faida kwa jamii. Wito huo umetolewa na…

Read More

Bangladesh yapiga marufuku maandamano – DW – 19.07.2024

Machafuko ya wiki hii yamesababisha vifo vya takriban watu 39, wakiwemo watu 32 waliouawa jana Alhamisi, huku idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka baada ya ripoti za mapigano katika karibu nusu ya wilaya 64 za nchi hiyo. Wanafunzi wameingia barabani tena leo Ijumaa asubuhi kabla ya kuanza maandamano yanayotarajiwa kufanyika baada ya sala ya Ijumaa katika taifa…

Read More

Khan, Whyte wamjaza Tyson | Mwanaspoti

MABONDIA Amir Khan na Dillian Whyte wametoa mtazamo wa pambano la marudiano baina ya mabondia Tyson Fury na Oleksandr Usyk linalotarajiwa kufanyika Desemba, mwaka huu, Saudi Arabia. Kahn anakiri ugumu wa Fury kumpiga Usyk, lakini kama atajiandaa vyema atalipa kisasi kwani ana uwezo wa kumpiga mpinzani wake huyo. Whyte kwa upande wake amemtaka Fury kutojiamini…

Read More

Rais Abdelmadjid Tebboune ashinda muhula wa pili Algeria – DW – 09.09.2024

Katika matokeo ambayo yaliwashangaza waangalizi wachache kimataifa na hata ndani ya Algeria kwenyewe, tume huru ya uchaguzi nchini humo ilitangaza Jumapili kwamba Tebboune ameshinda asilimia 94 ya kura, akiwazidi wapinzani wake, mgombea wa chama cha Kiislamu, Abdelali Hassani Cherif, aliyepata asilimia 3 pekee na msoshalisti Youcef Aouchiche, ambaye aliambulia asilimia 2.1. Maafisa wa uchaguzi wameripoti kuwa…

Read More

Kaya saba zakosa makazi, Mto Kiwira ukiporomosha udongo

Mbeya. Maisha ya wananchi wilayani Rungwe Mkoa wa Mbeya yako hatarini, baada ya maji ya Mto Kiwira kumong’onyoa udongo na kuharibu barabara inayounganisha vijiji Kapugi na Lyenje na nyumba saba, huku nyingine 34 zikiwa hatarini.  Kutokana na hali hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Huniu amewataka wananchi wa kijiji cha Lwenje kuchukua tahadhari na…

Read More