SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KUHUSU SUALA LA UHABA WA FEDHA ZA KIGENI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akizungumza wakati wa kikao na ujumbe kutoka Ubalozi wa Uingereza nchini ukiongozwa na Balozi Mpya wa Uingereza Nchini, Mheshimiwa Marrianne Young, ulipofika ofisini kwa Waziri wa Fedha jijini Dodoma kwa ajili ya kujiambulisha, ambapo pamoja na mambo mengine wamejadiliana masuala mbalimbali ya ushirikiano katika kukuza…