
DC Nyamwese aanika fursa za uwekezaji Handeni
Na Augusta Njoji, Handeni TC MKUU wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, ametoa rai kwa sekta binafsi kuchangamkia fursa za biashara na uwekezaji katika sekta mbalimbali, ikiwamo viwanda vya kuchakata machungwa, ili kuchochea maendeleo ya wilaya hiyo. Akifungua kikao cha Baraza la Biashara la Wilaya kilichofanyika mjini Handeni Septemba 23, 2025, Nyamwese ambaye pia…