Mchengerwa aagiza waganga wa tiba asili wasiosajiliwa wabanwe
Dar es Salaam. Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amesema yeyote atakayejitangaza kutoa huduma za tiba sili awe amesajiliwa. Mchengerwa ametoa maagizo hayo kwenye banda la Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), alilotembelea katika mkutano wake na watoa huduma wa tiba asili unaofanyika Dodoma leo Jumatano, Machi 25, 2026. Waziri huyo amesema lazima watu…