DC Nyamwese aanika fursa za uwekezaji Handeni

Na Augusta Njoji, Handeni TC MKUU wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, ametoa rai kwa sekta binafsi kuchangamkia fursa za biashara na uwekezaji katika sekta mbalimbali, ikiwamo viwanda vya kuchakata machungwa, ili kuchochea maendeleo ya wilaya hiyo. Akifungua kikao cha Baraza la Biashara la Wilaya kilichofanyika mjini Handeni Septemba 23, 2025, Nyamwese ambaye pia…

Read More

TET, Aga Khan wawekeza katika elimu bora nchini

Dar es Salaam. Wataalamu 29 wa ukuzaji mitaala kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) wamehitimu mafunzo maalumu ya miezi mitatu yaliyoratibiwa na Aga Khan Education Services Tanzania. Lengo la mafunzo hayo ni kuboresha utoaji wa elimu shuleni na kuwawezesha wanafunzi kuchagua masomo yanayoendana na vipaji na uwezo wao binafsi. Mafunzo hayo yalifanyika kwa njia ya…

Read More

Devotha Minja: Chaumma italeta unafuu wa maisha kwa Watanzania

Arusha/Katavi. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amesema anasikitishwa na ugumu wa maisha unaowakabili Watanzania ilhali Taifa limebarikiwa rasilimali nyingi. Akihutubia wananchi wa USA River kwenye mkutano wa kampeni sambamba na kukiombea kura chama chake leo Jumatatu Septemba 22, 2025 Jimbo la Arumeru Mashariki, Minja amesema haiwezekani wananchi…

Read More

DK.SAMIA:TUNAKATA USHINDI WA HESHIMA WA KUWAFUNGA MIDOMO WALE WENGINE

   *Yamefanyika mengi miaka mitano iliyopita na tutafanya mengi zaidi  Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mtwara MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dk.Samia Suluhu Hassan ameendelea kuchanja mbuga kusaka kura za urais katika Uchaguzi mkuu mwaka huu ambapo leo Septemba 23,2025 amepokelewa na maelfu ya wananchi Wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara akitokea mkoani Ruvuma. Dk.Samia Suluhu…

Read More

Safari ya miezi mitatu la saba itumike hivi

Dar es Salaam. Kila mwaka, baada ya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi, maelfu ya watoto nchini hupata likizo ndefu ya takribani miezi mitatu wakisubiri matokeo na nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza.  Kwa mtazamo wa kawaida, kipindi hiki huonekana kama muda wa kupumzika na kujifurahisha baada ya safari ndefu ya kujiandaa kwa mtihani…

Read More