Ahadi ya gridi ya taifa ya maji ilivyoanza kutekelezwa siku 100 za Rais Samia
Dar es Salaam. Wakati siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan madarakani zikikaribia kutimia, sekta ya maji nchini imeanza kuonesha mwelekeo mpya, kutokana na ahadi ya mkuu huyo wa nchi ya kuanzisha utekelezaji wa gridi ya taifa ya maji. Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, Rais Samia aliahidi kuanzisha gridi ya…