Rais Samia kushiriki mkutano wa Dunia Dubai

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushiriki Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit – WGS) 2026 pamoja na uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS), itakayofanyika Dubai, Falme za Kiarabu (UAE). Mkutano wa WGS 2026, unaobeba kaulimbiu ‘Kutengeneza Serikali zijazo (Shaping Future Governments)”, ni jukwaa la kimataifa linalowakutanisha wakuu wa nchi…

Read More

CHATO WAIPIGIA CHAPUO BIMA YA AFYA KWA WOT

…………. “Afya ni taji hakuna aijuae isipokuwa mwenye maradhi” huo ni msemo wa wahenga wakisisitiza umuhimu wa jamii kuthamini utimamu wa mwili pasipo kutazama ukubwa wa gharama. Ukweli huo unaungwa mkono na azma ya Rais Samia Suluhu Hassan, baada ya awamu ya kwanza kutenga zaidi ya bilioni 28 kwaajili ya kuhudumia watu takribani 1,457,602 ambao…

Read More

MAKAMU WA RAIS AMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA MAADHIMISHO SIKU YA SHERIA NCHINI

-SERIKALI IMEENDELEA KUCHUKUA HATUA ZA MAKUSUDI ZA KUIMARISHA UHURU WA MAHAKAMA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema kwa kutambua umuhimu wa Mahakama katika ujenzi wa Taifa, Serikali imeendelea kuchukua hatua za makusudi katika kuimarisha uhuru wa Mahakama ili kuiwezesha kutekeleza wajibu wake kikamilifu na kuchochea ustawi na…

Read More

Guede ajiapiza Singida Black Stars

LICHA ya kupoteza mchezo kwa mabao 2-1 ugenini dhidi ya AS Otoho, mshambuliaji Joseph Guede amesema bado wana nafasi ya kufanya vizuri na kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika katika mechi mbili zilizobaki. Singida baada ya kupoteza mchezo huo wa ugenini imeshushwa kutoka nafasi ya pili hadi ya tatu ikisalia na…

Read More

Makamu wa Rais atia neno yaliyotokea Oktoba 29

Dar es Salaam. Makamu wa Rais Dk Emmanuel Nchimbi amesema kitendo cha baadhi ya viongozi wa Serikali, taasisi za kijamii, vyama vya siasa na wanaharakati kuendelea kuzungumzia yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, nje ya mfumo wa kisheria uliowekwa juu ya jambo hilo, ni kutotendea haki taifa. Dk Nchimbi amesema hayo leo Februari…

Read More

Udumavu ulivyoacha makovu ndani ya jamii -2

Iringa. “Nilikuwa nimemshika mtoto, nikahisi moyo wangu haufanyi kazi. Daktari akaniambia uzito wake ni mdogo kulinganisha na umri wake. Sikuwahi kupata taarifa kuhusu tatizo hilo hapo awali.” Ni simulizi ya mama anayekumbuka siku aliyompeleka mtoto wake wa kike wa miezi tisa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa, baada ya usiku wa hofu kutokana…

Read More

CCM Mbeya yaapa kupambana na wanaowabeza viongozi

Mbeya. Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikisherekea miaka 49 tangu kuanzishwa kwake, wanachama wa chama hicho mkoani Mbeya wamesema hawatakubali kubezwa kwa viongozi wake akiwamo mwenyekiti wao, Rais Samia Suluhu Hassan. Wanachama hao wamesema watakuwa tayari kubishana kwa hoja na wanaobeza utendaji wa chama hicho na kuwasilisha kazi zilizofanywa na Rais Samia na kusisitiza kuwa…

Read More

Majaji, mahakimu wakumbushwa kutenda haki

Musoma. Majaji na mahakimu mkoani Mara wametakiwa kutenda haki wakati wa kutimiza majukumu yao, hususan kwenye utoaji wa hukumu wa mashauri mbalimbali, ili kuepuka adhabu ya Mungu pale watakapokwenda kinyume. Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Musoma, Fahamu Mtulya, ametoa wito huo leo, Jumatatu Februari 2, 2026, mjini Musoma kwenye maadhimisho ya Siku ya…

Read More