
INEC yataka asasi za kiraia kuzingatia Katiba utoaji elimu ya mpigakura
Dar es Salaam. Wakati mchakato wa uchaguzi mkuu ukitarajiwa kuanza mwezi ujao, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imezitaka asasi za kiraia na taasisi zilizopewa kibali cha kutoa elimu ya mpigakura kuzingatia Katiba, sheria na taratibu zilizowekwa. INEC imesema lengo ni kuhakikisha mchakato huo unakuwa huru, uwazi, haki na kuaminika, kwa kuweka mazingira sawa…