VIDEO: Mbowe na wenzake washikiliwa Polisi Songwe

Songwe. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Songwe kwa mahojiano baada ya kile kinachoelezwa kukiuka utaratibu wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa. Akizungumza na Mwananchi leo Novemba 22 Kamanda wa Polisi mkoani Songwe, Augustino Senga amethibitisha kumshikilia kiongozi huyo wa chama kikuu…

Read More

Bajaji, pikipiki vinara kutumia nishati ya umeme

Dar es Salaam. Ripoti ya mwaka 2023 kutoka Africa E-Mobility Alliance (AfEMA) imebainisha ongezeko la idadi ya kampuni na wajasiriamali wanaoingia katika soko la magari ya umeme nchini Tanzania. Ripoti hiyo ilionyesha pikipiki na vyombo vya usafiri vya magurudumu matatu (bajaji) vinavyoongoza kwa kuunganishwa na mifumo ya umeme. Tanzania inaendelea kupiga hatua katika matumizi ya…

Read More

Samia aahidi kumaliza tatizo la maji Buhongwa

Mwanza. Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewaahidi wakazi wa Buhongwa kupata maji saa 24 kwa mwaka mzima baada ya kukamilika kwa ujenzi wa matangi matatu ya kuhifadhia maji yanayojengwa katika eneo hilo na maeneo ya jirani. Samia ameyasema hayo leo Jumanne Oktoba 7, 2025 wakati akihutubia mkutano wa kampeni katika…

Read More

Sababu Yanga kumzuia Mzize | Mwanaspoti

KELELE na tetesi nyingi zilizokuwa zikimuhusisha mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kutakiwa na timu mbalimbali za ndani na nje ya Afrika, zimezimwa rasmi na klabu hiyo baada ya kutangaza itaendelea kuwa naye, huku sababu ya uongozi kufanya uamuzi huo ukibainika. Zilitajwa timu mbalimbali kubwa barani Afrika ikiwamo Zamalek ya Misri, Wydad Casablanca (Morocco) na Kaizer…

Read More

Punguza unene kwa kula kabichi mara tatu kwa siku

Msingi wa utafiti huo ni kuwa kabichi ina madini maarufu kama fibre, asidi na vitamini ambayo yanasaidia kupunguza mafuta mengi ndani ya mwili wa mwanamume. Kula kabichi mara tatu kwa siku kunapunguza unene kupita kiasi miongoni mwa wanaume, wanasayansi wamebaini. Katika utafiti uliochapishwa kwenye jarida la BMJ Open, kabichi iliyotiwa chumvi, kuchachuka na pia kuongezewa…

Read More

Hii hapa sababu, chimbuko na maana ya Wangoni ‘kugalagala’

Songea. Ingawa kugaagaa ‘kugalagala’ wengine wanakuhusisha na mitazamo hasi, kwa kabila la Wangoni ni utaratibu unaobeba tafsiri lukuki zinazoashiria heshima na adabu. Mtindo wa kugalagala chini kwa mujibu wa Wangoni, ni tafsiri halisi ya kiwango cha mwisho cha kushukuru, kuomba radhi na kufurahi. Hata hivyo, kitendo cha kugalagala kimeibua mijadala mitandaoni baada ya Waziri wa…

Read More

Matukio haya yanaishi Euro | Mwanaspoti

MUNICH, UJERUMANI: MICHUANO ya Euro mwaka huu inaanza kesho, ambapo itapigwa Ujerumani, huku jumla ya timu 24 zikitarajiwa kushiriki. Hii inakuwa ni mara ya 17 kwa michuano hii kufanyika huku Hispania na mwenyeji Ujerumani yakiwa ndio mataifa yaliyoshinda mara nyingi zaidi (3), tangu mwaka 1958. Mara zote ambazo michuano hii inapigwa huwa kuna baadhi ya…

Read More

Chino kuizindua Sumu EP nyumbani kwao Ifakara Morogoro

Siku ya leo msanii Chinno ametangaza kurejea nyumbani kwao Ifakara Morogoro ambapo atarejea maalum kwaajili ya uzinduzi EP yake ambayo ameipa jina la Sumu ambayo itakua na jumla ya nyimbo sita pamoja na bonus track Chinno amesema hatoenda peke ake Morogoro anatarajia uwepo wa wasanii wakubwa ambao ni kaka zake akiwemo Marioo kwenda kumsupport kwani…

Read More

SONGEA WAIOMBA SERIKALI KUBORESHA BUSTANI YA WANYAMAPORI RUHILA

Na Mwandishi Maalum,Songea Wanchi wa wilaya ya Songea mkoani Ruvuma,wameishauri Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kuboresha Bustani ya wanyamapori Ruhila Zoo ili kushawishi na kuvutia watu wengi zaidi kwenda kutembelea bustani hiyo ya wanyama. Wamesema,licha ya Mamlaka ya udhibiti wa wanyamapori Tanzania(Tawa) kanda ya Kusini kupeleka wanyama,lakini katika eneo hilo kuna changamoto nyingi…

Read More