WASHIRIKI MAADHIMISHO JUMA LA ELIMU KITAIFA, 2025, WAFANYA ZIARA KUTEMBELEA SHULE MKOANI KATAVI

Mratibu Taifa wa TEN/MET, Bi. Martha Makala (katikati) akisaini kitabu cha wageni katika moja ya mikutano na wazazi, walimu, viongozi na wadau wengine wa elimu, kwenye ziara za washiriki wa Juma la Elimu mwaka huu kutembelea shule anuai, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Juma la Elimu (GAWE) 2025. Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi Kitaifa ya Maadhimisho ya…

Read More

Rais Samia azindua mradi wa maji uliokwama miaka 20

Dar/Mwanga. Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza magumu yaliyopitiwa wakati wa utekelezaji wa mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe, akisema kuna wakati ililazimika kusukumana, kusutana na hata kushitakiana na makandarasi. Historia inaonyesha mradi huo wa maji ulitolewa ahadi na Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete Mei 29, 2005 wakati akiomba kura kuingia madarakani kwa kipindi cha…

Read More

Serikali yatoa Sh209 milioni kuwezesha vijana kujiajiri

Unguja. Jumla ya Sh209 milioni zimetolewa kuviwezesha vikundi 18 vya vijana kwa lengo la kuendeleza shughuli za ujasiriamali na biashara, kupitia fedha zinazotolewa na Serikali za mitaa. Vikundi hivyo vyenye wanachama 134 vimepata fedha hizo kupitia asilimia 10, ambapo wanawake ni asilimia nne, vijana asilimia nne na watu wenye ulemavu asilimia mbili. Hayo yamebainishwa na…

Read More

JAFO ALITAKA TENA JIMBO LA KISARAWE,AREJESHA FOMU

    WAZIRI wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo,amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kutetea tena Ubunge katika Jimbo la Kisarawe Dkt.Jafo amerejesha fomu hiyo kwa Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kisarawe Bi.Josephine Mwanga,mapema leo Juni 29, 2025. Zoezi la uchukuaji fomu katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaendelea nchi nzima ambapo…

Read More

Waliotuhumiwa kumuua dereva wa bodaboda wafikishwa kortini

Morogoro. Wakazi wanne wa wa Ifakara wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya mkoani Morogoro kwa tuhuma za mauaji ya dereva wa bodaboda, Shabani Mhawile. Washitakiwa hao ni Denis Swai maarufu kama Nkane, (34), Athumani Mpango (38), Musa Bushiri (28) na Alhaji Likwaya (32). Akiwasomea shitaka hilo la mauaji mahakamani hapo, Wakili wa Serikali, Simon Mpina…

Read More