Wafanyabiashara Kariakoo wafunga Barabara ya Lumumba Dar

Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara wanaodai majina yao kutokuwamo kwenye orodha ya watakaorejea Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamegoma kuondoka katika Barabara ya Lumumba, kwenye ofisi ndogo za Makao Makuu ya CCM. Wamechukua uamuzi huo wa leo Alhamisi, Julai 11, 2024 baada ya kufika Viwanja vya Mnazi Mmoja kuhakikiwa upya na kueleza…

Read More

CEFZ yajipanga  kutambulisha mbio  za vikwazo  Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital  Mwalimu wa kujitolea katika taasisi isiyo ya kiselikali ya Creative Education Foundation Zanzibar (CEFZ), Laura Bjorn amesema kuwa ana mpango wa kuutambulisha mchezo mpya wa mbio za vikwazo ‘Obstacle Sports Adventure Racing’ visiwani humo. Laura, raia wa Denmark anayeishi Zanzibar ameyasema hayo baada ya kuhudhuria mafunzo ya wakufunzi wa mchezo…

Read More