Jaji amkumbusha DPP kukagua mahabusu za Polisi

Geita. Jaji Griffin Mwakapeje wa Mahakama Kuu, Kanda ya Geita, amemkumbusha Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP), kufanya ukaguzi wa mara kwa mara kwenye mahabusu za Polisi ili kubaini wanaoshikiliwa kinyume cha sheria. Hatua hiyo ni baada ya jaji kubaini mtoto wa marehemu kushikiliwa mahabusu ya Polisi kwa siku 62 bila kuelezwa kosa lake, licha ya…

Read More

Bado Watatu – 11 | Mwanaspoti

“AFANDE kama ulivyosema alama za dole gumba ni zile zile za kwanza. Hii imethibitisha kwamba muuaji ni mtu yule yule,” Ibrahim akaniambia kabla sijakaa kwenye kiti. Nilipokaa nikamuuliza: “Na zile alama za marehemu mmeshazichunguza?” “Tumezichunguza kujua kama ni mtu ambaye tuna rekodi naye lakini tumepata matokeo ya kushangaza kama yale tuliyoyapata mwanzo ndio maana nimekuita.”…

Read More

Shahidi aieleza Mahakama chanzo jengo la CCM kuchomwa moto

Dar es Salaam. Mkaguzi wa Polisi mwenye namba PF 20122, Jafari Nguli (49) ameieleza Mahakama jinsi alivyobaini chanzo cha moto uliyounguza na kuteketeza jengo la Chama cha Mapinduzi (CCM) Kivule, lililopo Kata ya Majohe, Wilaya ya Ilala. Nguli ambaye alikuwa mpelelezi mkuu katika kesi hiyo, amedai upelelezi wake ulibaini chanzo cha kuchoma jengo hilo kilitokana…

Read More

NCBA Bank Launches “Numbers That Matter – Maisha Ni Hesabu” Campaign in Tanzania

NCBA Bank has officially unveiled its new brand campaign, “Numbers That Matter – Maisha Ni Hesabu”, signaling a renewed commitment to driving impact across Tanzania. The campaign highlights how every decision from financial choices to community actions adds up to meaningful progress for individuals, businesses, and society at large. Speaking at the launch in Dar…

Read More

Wanafunzi msingi wapewa elimu ya usalama barabarani

Dodoma. Wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Msingi Mnadani iliyopo Jijini Dodoma wamepewa elimu ya usalama barabarani ili kujilinda na ajali wakati wa kwenda shuleni na kurudi nyumbani. ‎‎Aidha, wanafunzi hao wamefundishwa  alama muhimu za kuvuka barabara kwa usalama ili wasigongwe na magari kutokana na shule yao kupakana na barabara kuu ya kwenda Wilayani Kondoa. ‎‎Wakizungumza…

Read More

Ripoti za madhara ya dawa, chanjo zafikia 10,000

Mwanza. Idadi ya ripoti za maudhi na madhara yatokanayo na matumizi ya dawa, chanjo, vifaa tiba na vitendanishi nchini imeongezeka kwa kasi, kutoka ripoti 200 mwaka 2020 hadi zaidi ya 10,000 kwa mwaka, kwa mujibu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA). Kwa mujibu wa TMDA, ongezeko hilo linatokana na uhamasishaji uliofanyika kwa watumiaji na…

Read More