VIDEO: Mbowe na wenzake washikiliwa Polisi Songwe
Songwe. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Songwe kwa mahojiano baada ya kile kinachoelezwa kukiuka utaratibu wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa. Akizungumza na Mwananchi leo Novemba 22 Kamanda wa Polisi mkoani Songwe, Augustino Senga amethibitisha kumshikilia kiongozi huyo wa chama kikuu…