Wanajeshi wanane wauawa kwenye mlipuko Israel

Gaza. Wanajeshi wanane wa Israel wameuawa katika mlipuko uliotokea kusini mwa Gaza jana Jumamosi Juni 15,2024, Jeshi la nchi hiyo (IDF) limesema vifo hivyo ni mojawapo ya hasara kubwa zaidi katika vita yake na wanamgambo wa Hamas. Kwa mujibu wa IDF, wanajeshi hao wameuawa wakati gari la kivita la Namer walilokuwa wakisafiria kulipuka karibu na…

Read More

WATANZANIA KUANZA KULIPWA FACEBOOK NA INSTAGRAM – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kampuni ya META imeijumuisha Tanzania katika program ya malipo kwa watengeneza maudhui mtandaoni kupitia majukwaa yake ya Instagram na Facebook. Kampuni hiyo imetoa masharti kadhaa kwa watengeneza maudhui ili kukidhi kunufaika na programu hiyo ikiwemo kabla ya kuomba kuunganishwa kwenye programu hiyo, mtengeneza maudhui anapaswa kuwa anazingatia sera za mapato kutoka kwa washirika wa Facebook,…

Read More

Shahidi kesi ya mauaji ya kifamilia alivyogundua mwili wa marehemu uliotelekezwa kichakani

Dar es Salaam. Shahidi wa sita katika kesi ya mauaji ya kifamilia inayomkabili mama anayedaiwa kumuua binti yake akishirikiana na kijana wake wa kiume, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, namna alivyobaini mwili wa marehemu uliokuwa umetupwa kichakani. Washtakiwa katika kesi hiyo inayosikilizwa na Hakimu Mkazi, mwenye mamlaka ya ziada, Mary Mrio ni Sophia Mwenda…

Read More

VIDEO: Saa 4 za mapokezi ya mwili wa Mafuru Dar

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Lawrence Mafuru umewasili nchini na kuhifadhiwa katika Hospitali Kuu ya Jeshi Lugalo. Mapokezi ya mwili huo yamefanyika kwa takribani saa nne tangu ndege ilipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam. Mafuru mtaalamu wa fedha na…

Read More

Itachukuwa miaka 16, dola bilioni 40 kuijenga tena Gaza

Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Abdallah al-Dardari, alisema siku ya Alkhamis (Mei 2) kwamba makisio ya awali ya Mfuko Maendeleo wa Umoja huo yalikuwa yanaonesha kwamba ujezi mpya wa Gaza utapindukia dola bilioni 30 na kwamba unaweza kufikia hadi dola bilioni 40. “Kiwango cha uharibifu ni kikubwa mno na kisichokadirika. Hii ni…

Read More

Wazee watoa neno utunzaji wa uoto wa asili

Mikumi. Uongozi wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi umetakiwa kuzingatia utunzaji wa uoto wa asili kutokana na mabadiliko ya mazingira ukilinganisha na hali ya zamani. Imeelezwa kuwa hatua hiyo itasaidia kulinda mazingira, kuendeleza uchumi na kuboresha maisha ya viumbe vilivyopo ndani na nje ya hifadhi hiyo. Wito huo umetolewa leo Jumanne Agosti 27, 2024 na…

Read More