Mgombea urais aliyepigwa risasi Colombia, afariki dunia

Seneta Miguel Uribe Turbay alipigwa risasi kichwani wakati wa mkutano wa hadhara huko Bogota, Colombia. Taarifa za kifo cha Uribe (39) zimetolewa na mke wake, Maria Claudia, Jumatatu, 11 Agosti 2025, ambaye amesema kifo hicho kimetokana na mumewe kuvuja damu kwenye mfumo wa neva baada ya kupigwa risasi. “Alikuwa anatibiwa hapa kwenye Hospitali ya Wakfu…

Read More

Israel haitaki kusitisha vita – DW – 01.11.2024

Shirika la habari la taifa la Lebanon limeripoti kuwa mashambulizi hayo yamesababisha uharibifu mkubwa katika maeneo yaliyolengwa, huku majengo kadhaa yakigeuzwa vifusi, pamoja na kuzuka kwa moto na kuongeza kuwa mashambulizi pia yalilenga mji wa Aley, ambao upo kusini mashariki mwa mji mkuu, na mwingine Bint Jbeil kusini mwa nchi. Jeshi la Israel limesema linaendelea…

Read More

Vichanga watupwa chooni Njombe,Polisi watoa onyo

Mtoto Mchanga anayekadiriwa kuwa na umri wa siku kadhaa amekutwa ametupwa kwenye shimo la choo katika mtaa wa Idundilanga halmashauri ya mji wa Njombe huku mama yake akiwa bado hajatambulika. Fioteus Ngilangwa ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo ameieleza Ayo TV kuwa alipokea taarifa ya uwepo wa mtoto huyo ndani ya shimo kwenye nyumba…

Read More

Zelensky awasilisha “Mpango wa Amani” kwenye Umoja wa Ulaya – DW – 17.10.2024

Rais Volodymy Zelensky wa Ukraine amelihutubia Baraza la Umoja wa Ulaya mjini Brussels na kuwasilisha ”Mpango wa Ushindi’ wa taifa hilo huku akiwasisitizia washirika wake kwamba Ukraine inahitaji uungwaji mkono thabiti kutoka kwa jumuiya ya kimataifa na hasa katika wakati inapojiandaa kwa ajili ya mkutano ujao wa amani.  Rais Volodymyr Zelensky aliwasili Brussels na kukaribishwa na Rais wa…

Read More

DAWA YA MUME MWENYE GUBU NDANI YA NYUMBA!

Dawa ya mume mwenye gubu ndani ya nyumba By Ngilisho Tv  Ndoa ama mahusiano bila ya mapenzi huwa si hayaendi mbali kwani mapenzi huwa kiini cha umoja na mshikamano. Wapenzi kwenye mahusiano hupaswa kuwajibika na kuelewana kwa wakati wowote ili kuwezesha mahusiano kuwa yenye matamanio. Tulikuwa tumefunga ndoa na mume wangu ambapo mwaka mmoja ulikuwa…

Read More