Fikirini yupo fiti kupambania namba TRA
BAADA ya kipa wa TRA United, Fikirini Bakari kukaa nje wiki mbili akiuguza jeraha la taya alilovunjika katika mechi ya kirafiki dhidi ya Yanga wakati wa maandalizi ya msimu huu, kwa sasa amejiunga kambini akipambania namba kikosi cha kwanza.Fikirini alisema kwa sasa anaendelea vizuri, huku akiwa na tahadhari ya kuepuka kugongana na wenzake na anaamini…