Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 24, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Last updated Sep 11, 2025 Mwanaharakati Charlie Kirk Mwanaharakati Charlie Kirk, mshirika wa karibu wa Rais wa Marekani Donald Trump na mwanzilishi wa Turning Point USA, ameuawa kwa kupigwa risasi katika chuo kikuu nchini Marekani. Gavana Spencer Cox ameuita tukio hilo “uuwaji wa kisiasa.” Kirk, mwenye miaka 31, alikuwa akihutubia wanafunzi…
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini katika kulinda amani, kuimarisha maadili na kuchochea maendeleo ya Taifa. Dkt. Mwigulu amesema hayo leo Jumapili (Machi 15, 2026) wakati akitoa salamu katika Ibada iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mpanda Mjini, Dayosisi ya…
Annalena Baerbock (katikati), rais wa kikao cha themanini cha Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, anashughulikia mkutano wa nne wa kiwango cha juu juu ya kuzuia magonjwa yasiyoweza kufikiwa na afya ya akili (NCDS) inayoitwa “Usawa na Ujumuishaji: Kubadilisha Maisha na Uhai wa Uhai kupitia Uongozi na hatua juu ya Ugonjwa wa Uandishi wa Akili…
BAADA ya mwenendo mbaya wa matokeo ya Ligi Kuu Bara hadi sasa, Kocha wa Fountain Gate, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema kazi kubwa aliyonayo katika kikosi hicho ni kutengeneza saikolojia ya wachezaji ili wafanye vizuri kwa mechi zijazo. Akizungumza na Mwanaspoti, Laizer amesema wachezaji wa timu hiyo wanatengeneza nafasi nyingi za kufunga, ingawa suala nzima la…
Arusha/Kigoma. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma imewahukumu adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela, aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Athuman Msabila na aliyekuwa mhazini wa halmashauri hiyo, Frank Nguvumali baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya kughushi nyaraka na utakatishaji wa fedha. Msabila na washtakiwa wengine 10, wakiwamo maofisa kutoka idara ya fedha…
Dar es Salaam. Mpaka sasa vita vya Mashariki ya Kati vinavyohusisha Marekani na Israel dhidi ya Iran vimegharimu maisha ya watu wengi katika mataifa hayo, lakini kwa Afrika vinang’ata kwa namna yake, ikiwemo kupanda kwa bei na changamoto ya upatikanaji wa mafuta. Tayari bei ya mafuta imepanda hadi kufikia karibu Dola 100 za Marekani jana,…
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa, Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Lucy Shaidi akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Tuzo ya Ubunifu katika Huduma Jumuishi za Fedha (Nestor Espenilla Jr. Financial Inclusion Innovation Award) iliyotolewa na Jumuiya ya Huduma Jumuishi za Fedha (Alliance for Financial Inclusion – AFI). ………. Benki Kuu ya Tanzania…
VICTOR MASANGU,KIBAHA Wafanyakazi wanawake wa kampuni ya SF group ya Jijini Dar es Salaam katika kuadhimisha maadhimisho ya siku ya mwananke duniani wameamua kutoa msaada wa vitu mbali mbali katika shule ya Sekondari Koka pamoja na kufanya matendo ya huruma katika vituo viwili vya kulelea watoto yatima vilivyopo Katika Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha. Katika…
Dar es Salaam. “Mtoto wa leo ndiye kiongozi na mchapakazi wa kesho. Ili kumjenga, tunahitaji uwekezaji wa muda, upendo na malezi yenye mwelekeo sahihi.” Hii ni kauli ya mtaalamu mmoja wa malezi, Chrinstom Haule aliyoniambia wakati nazungumza naye juu ya hoja hii. Haule aliniambia kuwa si lazima iwe na gharama kubwa, bali moyo wa kujitoa…