Waziri Mkuu Asisitiza Amani, Maadili Na Ushirikiano Na Taasisi Za Dini – (Picha +Video)

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini katika kulinda amani, kuimarisha maadili na kuchochea maendeleo ya Taifa. Dkt. Mwigulu amesema hayo leo Jumapili (Machi 15, 2026) wakati akitoa salamu katika Ibada iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mpanda Mjini, Dayosisi ya…

Read More

Nchi Wanachama wa UN zinakutana kujadili hitaji la haraka la usawa katika NCD na majibu ya afya ya akili – maswala ya ulimwengu

Annalena Baerbock (katikati), rais wa kikao cha themanini cha Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, anashughulikia mkutano wa nne wa kiwango cha juu juu ya kuzuia magonjwa yasiyoweza kufikiwa na afya ya akili (NCDS) inayoitwa “Usawa na Ujumuishaji: Kubadilisha Maisha na Uhai wa Uhai kupitia Uongozi na hatua juu ya Ugonjwa wa Uandishi wa Akili…

Read More

Kocha Laizer aweka mikakati Fountain

BAADA ya mwenendo mbaya wa matokeo ya Ligi Kuu Bara hadi sasa, Kocha wa Fountain Gate, Mohamed Ismail ‘Laizer’ amesema kazi kubwa aliyonayo katika kikosi hicho ni kutengeneza saikolojia ya wachezaji ili wafanye vizuri kwa mechi zijazo. Akizungumza na Mwanaspoti, Laizer amesema wachezaji wa timu hiyo wanatengeneza nafasi nyingi za kufunga, ingawa suala nzima la…

Read More

Aliyekuwa DED Kigoma jela miaka 20

Arusha/Kigoma. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma imewahukumu adhabu ya kifungo cha miaka 20 jela, aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Athuman Msabila na aliyekuwa mhazini wa halmashauri hiyo, Frank Nguvumali baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya kughushi nyaraka na utakatishaji wa fedha. Msabila na washtakiwa wengine 10, wakiwamo maofisa kutoka idara ya fedha…

Read More

VITA MASHARIKI YA KATI: Tujipange, bei ya mafuta kupaa

Dar es Salaam. Mpaka sasa vita vya Mashariki ya Kati vinavyohusisha Marekani na Israel dhidi ya Iran vimegharimu maisha ya watu wengi katika mataifa hayo, lakini kwa Afrika vinang’ata kwa namna yake, ikiwemo kupanda kwa bei na changamoto ya upatikanaji wa mafuta. Tayari bei ya mafuta imepanda hadi kufikia karibu Dola 100 za Marekani jana,…

Read More

Mzazi unamwandaaje mtoto kuwa mchapakazi, kiongozi?

Dar es Salaam. “Mtoto wa leo ndiye kiongozi na mchapakazi wa kesho. Ili kumjenga, tunahitaji uwekezaji wa muda, upendo na malezi yenye mwelekeo sahihi.” Hii ni kauli ya mtaalamu mmoja wa malezi, Chrinstom Haule aliyoniambia wakati nazungumza naye juu ya hoja hii. Haule aliniambia kuwa si lazima iwe na gharama kubwa, bali moyo wa kujitoa…

Read More