Aliyeruka dhamana kesi ya meno ya tembo kutumia miaka 20 gerezani
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu mfanyabiashara Ibrahim Mbwilo, kifungo cha miaka 20 gerezani baada ya kupatikana na hatia katika makosa mawili ambayo ni kujihusisha na nyara za Serikali pamoja na kukutwa na vipande vinane vya meno ya tembo vyenye thamani ya Sh34 milioni, bila kuwa na kibali kutoka kwa Mkurugenzi wa…