
Straika Zambia afariki dunia | Mwanaspoti
STRAIKA wa zamani wa timu ya taifa ya Zambia, Tapson Kaseba amefariki dunia leo mchana katika Hospitali ya Mafunzo ya Chuo Kikuu (UTH), baada ya kuugua kwa muda mfupi. Rais wa Shirikisho la soka Zambia, (FAZ) Keith Mweemba ametangaza kifo cha straika huyo akiandika; “Tumesikitishwa na kifo cha Tapson Kaseba tuliyemfahamu kama mchezaji wa zamani…