Mapendekezo saba ya wadau wa demokrasia

Dar es Salaam. Wadau wa demokrasia nchini wametaja hatua zinazofaa kuchukuliwa kuimarisha mifumo ya demokrasia na kupendekeza mambo 7 muhimu ya kufanyiwa kazi likiwamo suala la kuandikwa kwa Katiba mpya. Kauli za wadau hao zimetolewa leo Jumatatu Septemba 15, 2025 katika maadhimisho ya siku ya demokrasia duniani yaliyoandaliwa na Kituo cha Sheria na Haki za…

Read More

Ambulance lagongana na Lori, mgonjwa afariki

Na Mashaka Mhando, Tanga JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linafanya uchunguzi wa ajali mbaya ya barabarani iliyosababisha kifo cha mgonjwa mmoja na kujeruhi watu wengine wanne, baada ya gari la wagonjwa (Ambulance) kugongana uso kwa uso na lori la mizigo. Tukio hilo limetokea leo Machi 1, 2026, majira ya saa 6:10 usiku katika eneo…

Read More

Anayedaiwa kusafirisha vinyonga 164, amwangukia DPP

Dar es Salaam. Mshtakiwa, Eric Ayo anayedaiwa kusafirisha vinyonga 164, nyoka na mijusi,  amemwandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) akiomba kufanya majadiliano ya kukiri makosa yake na apunguziwe adhabu. Ayo na wenzake wawili wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 23/2021 yenye mashtaka matatu yakiwamo ya kuongoza genge la uhalifu na kusafirisha nyara za…

Read More

JKT Queens, JKU kazi inaanza

BAADA ya jana kufunguliwa kwa michuano ya CECAFA ya wanawake kwa kuchezwa mechi mbili za makundi, CBE dhidi ya Rayon Sports na wenyeji Police Bullets dhidi ya Kampala Queens, leo saa 7:00 mchana JKT Queens itaikaribisha JKU Queens Zanzibar kwenye Uwanja wa Nyayo, Kenya.

Read More

MASHIMBA AZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO KATA YA MABWEPANDE

Mgombea udiwani wa Kata ya Mabwepande kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Andrew Mashimba, leo amezindua rasmi kampeni zake kwa kufanya mkutano wa hadhara uliofanyika katika Mtaa wa Mabwepande. Katika mkutano huo, Mashimba alinadi sera na Ilani ya CCM, huku akieleza sababu zinazopaswa kuwashawishi wananchi wa Mabwepande kuendelea kuiamini CCM kuanzia ngazi ya urais, ubunge…

Read More

CCM ilivyopanga upya wawakilishi Zanzibar

Unguja.Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kikihitimisha mchakato wake wa ndani wa kuwapata wagombea watakaopeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu mwaka huu, ni majimbo mawili pekee ambapo wateule walishinda katika kura za maoni, lakini majina yao hayakuteuliwa Zanzibar. Badala yake, majina ya waliokuwa wameshika nafasi ya pili katika mchakato huo ndiyo yameteuliwa kupeperusha bendera…

Read More

FYATU MFYATUZI: Walichagua mbung’o wakidhani mbunge!

Mbung’o, chafuo, au ndorobo au tsetse fly kwa kimasai ni mdudu asababishaye ugonjwa hatari wa malale kwa wanadamu na nagana kwa wanyama. Kama inzi wengine, mbung’o si hatari tu bali mchafu na mwenye kueneza maradhi mbali na kuchafua vyakula. Je, wajua mja aweza kuwa mbung’o? Kuna kisa kilitokea kwenye kaya ya Fyatuko. Katika kisa hiki,…

Read More

RAIS MSTAAFU DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUNUKU TUZO YA CHAKULA BARANI AFRIKA

WANAWAKE wawili wanasayansi, Profesa Mary Abukutsa-Onyango kutoka Kenya na Mercy Diebiru-Ojo kutoka Nigeria wametangazwa kuwa washindi wa Tuzo ya Chakula Barani Afrika kwa mwaka 2025 (Africa Food Prize 2025). Tuzo hiyo yenye thamani ya Dola za Marekani 100,000, ilikabidhiwa rasmi na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye…

Read More

Ecua azua la kuzua Yanga, Mfaransa afunguka

KATI ya wachezaji 11 wapya waliotua Yanga kwa ajili ya msimu wa 2025-2026, kiungo mshambuliaji Celestine Ecua mapema tu ameonekana kuwashtua mabosi wa timu hiyo. Ecua ambaye hivi karibuni akiwa na kikosi cha timu ya taifa ya Chad alifunga bao dhidi ya Ghana kisha kuwapa jeuri kubwa mashabiki wa Yanga, ameshtua kutokana na uamuzi alioufanya…

Read More