PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 22,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 22,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 22,2024 Featured • Magazeti About the author
Dodoma. Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umetangaza kuanza ujenzi wa minara mingine 280 katika awamu ya 10 ili kuifungua Tanzania katika mawasiliano hasa maeneo ambayo yalikosa huduma hiyo. Kabla ya kuanza kwa ujenzi wa minara hiyo, tayari UCSAF imejenga minara 758 ambayo utekelezaji wake upo kwa asilimia 97, hivyo ujenzi wa minara mipya utafikisha…
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), kimefanya mafunzo kwa watumishi wa chama na jumuiya zake kuhusu umuhimu wa kujiendeleza kielimu kupitia fursa zinazopatikana kimataifa. Mafunzo hayo yamefanyika Oktoba 3, 2024 katika ukumbi wa ofisi za Makao Makuu ya CCM, Dodoma na kuhudhuriwa na watumishi wa CCM,…
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack leo, Mei 24, 2024 amepokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa mkuu wa Mkoa wa kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, ambapo unatarajia kuweka mawe ya msingi , kuweka ma we ya msingi na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 45.9 Makabidhiano ya Mwenge…
• Stanbic Yatoa Msaada wa madawati 150 na miche ya miti 150 katika Shule ya Msingi Ufukoni. • Mradi unaonyesha dhamira ya Stanbic katika kuboresha elimu kote nchini. • Mpango huu ni sehemu ya dhamira ya Stanbic inayoendelea kwa maendeleo ya jamii. Benki ya STANBIC Tanzania, mnamo tarehe 20 Novemba 2024, imedhihirisha dhamira yake ya…
Unguja. Wakati India ikiwa moja ya mataifa yaliyoendelea katika masula ya afya na teknolojia, kampuni kubwa kutoka nchini humo zimeonesha nia ya kuwekeza Zanzibar katika sekta za viwanda na tiba hususani katika ujenzi wa kituo maalumu cha kutoa matibabu ya kibingwa. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kampuni zaidi ya 20 kutoka nchini humo kufika kisiwani…
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni inayoendelea ya Masta wa Miamala. Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana na semina kwa vijana kutoka taasisi mbalimbali, Mkuu wa kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Stanbic, Emmanuel Mahodanga alisema “Kampeni hii ya miezi mitatu inalenga kuongeza matumizi ya njia mbalimbali za malipo…
Ebrahim Raisi, aliyefariki Jumapili katika ajali ya helikopta, alifanya kazi katika mahakama ya Iran kwa zaidi ya miongo mitatu kabla ya kuapishwa kuwa rais mnamo Agosti 2021. Raisi mwenye umri wa miaka 63 alikuwa na ushawishi mkubwa ndani ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu na, wachambuzi wanasema, alikuwa na uhusiano wa karibu na Kiongozi wa…
Arusha. Wakati ujenzi wa nyumba za waathirika wa mafuriko ya Hanang ukipiga hatua kufikia asilimia 40, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dk Jim Yonazi amesisitiza uwekwaji wa anwani za makazi katika eneo linalojengwa nyumba 108 za waathirika hao. Ujenzi wa nyumba hizo unakuja baada ya wakazi wa eneo hilo…
Moshi. Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kukimbizwa katika Mkoa wa Kilimanjaro kuanzia Juni 28 hadi Julai 4, 2025, ambapo utapitia miradi 52 ya maendeleo yenye thamani ya Sh84.9 bilioni. Akizungumzia mbio hizo za Mwenge leo Alhamisi Juni 26, 2025, ofisini kwake mjini Moshi, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema Mwenge utapokewa katika Uwanja wa…