Madereva waliamsha mbio za magari ubingwa wa Afrika

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi, jana amezindua rasmi mbio za magari za Mkwawa Rally of Tanzania 2025 zinazofanyika mkoani Morogoro, ambapo madereva kutoka nchi mbalimbali wanachuana kusaka ubingwa wa African Rally Championship (ARC). Uzinduzi huo ulifanyika kwenye viwanja vya mashamba ya mkonge Tungi, Morogoro, ambapo Profesa Kabudi amesema mashindano hayo…

Read More

WASHINDI 40 WA AWAMU YA PILI KAMPENI YA KIDIGITALI ‘’MIAMALA NI FURSA ’’ YA BANK OF AFRICA TANZANIA WAZAWADIWA

Na Mwandishi Wetu WATEJA 40 wa Bank of Africa Tanzania, wamefanikiwa kujinyakulia ushindi wa shilingi 50,000 kila mmoja wao kupitia kampeni ya kupata huduma za kibenki kwa njia ya kijidigitali inayojulikana kama “Miamala ni Fursa, iliyozinduliwa miezi miwili iliyopita. Kampeni hii ya miezi mitatu iliyoanza Juni 4, 2025 imelenga kuhamasisha wateja wa benki kutumia huduma…

Read More

Majaliwa aacha maagizo sita kuboresha elimu ya watu wazima

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa maagizo sita kwa Wizara ya Elimu na Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) yanayolenga kuongeza ufikiaji wa watu wazima wanaohitaji kusoma na kujiendeleza zaidi. Majaliwa ametoa maagizo haya wakati ambao zaidi ya wasichana 13,000 waliokuwa wamekatisha masomo kwa sababu mbalimbali wamefanikiwa kurudi shuleni kupitia…

Read More

Rasmi Fadlu afunuliwa faili la Bajaber

WAKATI mashabiki wa Simba wanasubiri kwa hamu kumuona Mohammed Bajaber akiichezea timu hiyo kwa mara ya kwanza katika mechi za mashindano, kocha wa zamani aliyewahi kumnoa wakati akiwa Polisi Kenya, amempa ‘code’ kocha Fadlu Davids aweze kumfaidi vyema kikosini. Bajaber ni kati ya…

Read More

Hii hapa afya ya pingili za mgongo

Russia. Pingili za mgongo ni mifupa muhimu katika usaidizi wa muundo na shughuli za mwili.  Huunda safu ambayo hutumika kama mhimili wa kati wa mwili na kutoa usaidizi kwenye kichwa, shingo na kiwiliwili. Mpangilio wake huruhusu kupinda na kujipinda kupitia diski za katikati na maungio yake. Mfereji wa pingili hulinda uti wa mgongo na mishipa ya fahamu inayojichomoza…

Read More

Maswali kutekwa mwanafunzi, kuuawa na mwili kuchomwa

Mbeya. Aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe ndaki ya Mbeya, Shairose Mabula ameuawa kikatili kisha mwili kuchomwa moto, tukio lililoibua simanzi na maswali lukuki. Mwili wa mwanafunzi huyo ukitarajiwa kuzikwa kesho Jumamosi, Septemba 20, 2025, baba yake mzazi, Dk Mabula Mahande, amesimulia tukio hilo huku akiliomba Jeshi la Polisi kuongeza nguvu kuwabaini na kuwakamata waliohusika….

Read More