
Daraja dogo la mbao chakavu lawatesa wanakijiji Hai
Hai. Wananchi wa Kijiji cha Kyuu, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka kujenga daraja dogo katika eneo la Mto Kishenge, Kitongoji cha Maiputa, ili kuwawezesha kuendelea na shughuli mbalimbali za kijamii na kimaendeleo bila vikwazo. Ombi hilo limetolewa wakati wa ziara ya Ofisa Tarafa wa Masama, Nswajigwa Ndagile, alipotembelea eneo…