MKUTANO WA HALI YA WANAWAKE DUNIANI (CSW 70 WAHITIMISHWA NEW YORK, MAREKANI.

-WAZIRI DKT. GWAJIMA KUANZISHA JUKWAA LA MAJADILIANO ENDELEVU YA KISEKTA KUHUSU MIKUTANO YA WIZARA KIMATAIFA. Na WMJJWM New York Marekani Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema, Serikali kupitia Wizara anayoiongoza itaanzisha Jukwaa endelevu la majadiliano ya Kisekta litakaosaidia kuongeza ufanisi wa ushiriki wa Nchi katika Mikutano…

Read More

DKT. BITEKO AWAPA HEKO WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI

Teknolojia za kisasa za uchenjuaji madini zatajwa kuwa na tija kuliko matumizi ya zebaki Serikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya maendeleo ya sekta ya madini Mwaka 2020/2021 hadi 2024/2025 Serikali yakusanya zaidi ya shilingi tirioni 3.8 kutoka sekta ya madini Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati SERIKALI imeongeza ushirikishwaji…

Read More

Dk Mwinyi : Sera ya nishati kukuza utafiti, teknolojia na uvumbuzi Zanzibar

Unguja. Wakati ikizinduliwa sera ya nishati, imetajwa kukuza uwekezaji katika utafiti, teknolojia na uvumbuzi kwenye maeneo ya nishati safi, matumizi bora na teknolojia za kisasa zinazopunguza gharama na kuongeza ufanisi. Hayo yamebainishwa leo Septemba 11, 2025 na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi wakati wa kuzindua sera hiyo Unguja Zanzibar. Amesema sera hiyo inahamasisha matumizi…

Read More

Mwimbaji wa Injili Irene Robert Afariki Ghafla

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Irene Robert, amefariki dunia leo Machi 20, 2026 baada ya kuugua ghafla. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na mwimbaji mwingine wa Injili, Walter Chilambo, kupitia ukurasa wake wa Instagram, akionesha masikitiko kufuatia kuondokewa na rafiki yake wa karibu. Katika ujumbe wake, Walter…

Read More

Kulipiza kisasi kwa Iran kunaongezeka huku mashambulizi ya Marekani na Israel yakiendelea – Masuala ya Ulimwenguni

© Unsplash/Kamran Gholami Tehran, mji mkuu wa Iran. (picha ya faili) Jumatatu, Machi 02, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Ongezeko la ghasia katika eneo la Mashariki ya Kati limeingia siku ya tatu huku mashambulizi yaliyoratibiwa ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yakiendelea kusababisha hasara ya maisha na uharibifu katika eneo hilo, na kupelekea…

Read More