Taasisi 78 hatarini kushambuliwa kimtandao

Dar/Arusha. Taasisi 78 za umma ziko hatarini kukumbana na mashambulizi ya kimtandao, kuhatarisha taarifa nyeti pamoja na ufanisi wa utendaji kazi wa taasisi husika endapo zisiporekebisha usalama wao wa mtandao. Hayo yanajiri baada ya ukaguzi uliofanywa na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mwaka wa ukaguzi wa mifumo ya teknolojia…

Read More

Mtoto wa siku moja atupwa kwenye ndoo Moro

Morogoro. Mwili wa mtoto mchanga (Kichanga) umeokotwa leo juni 28, baada ya kutelekezwa daraja la Kasanga Msikitini, Barabara ya Kuu ya Morogoro Iringa Mtaa wa Mgaza Kata ya Mindu Manispaa ya Morogoro na mtu ambaye hakufahamika. Akizungumza na Mwananchi Digital leo juni 28, Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa  Mtaa wa Mgaza Spesioza Sylivestre amethibitisha…

Read More

Kinondoni wamaliza hivi mgogoro soko la Tandale

Dar es Salaam. Baada ya kuibuka vurugu wiki iliyopita katika upangaji wa wafanyabiashara katika soko jipya la Tandale, sasa shughuli hiyo itafanywa na kamati maalum badala ya Mwenyekiti wa soko hilo, Juma Dikwe, kama ilivyokuwa awali. Hayo yamesemwa leo Jumamosi  Agosti 3,2024,  na Ofisa Biashara Mkuu wa Halmashauri ya Kinondoni, Philipo Mwakibete, alipozungumza na Mwananchi…

Read More

Lissu afikishwa mahakamani Kisutu | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Lissu amefikishwa mahakamani hapo leo Aprili 10, 2025 saa 10: 15 alasiri na kuwekwa kwenye mahabusu iliyopo mahakamani hapo. Mwanasiasa huyo alikamatwa jana Aprili 9, 2025 wilayani Mbinga mkoani Ruvuma muda mfupi baada ya kumaliza…

Read More

Prisons Hesabu kali mechi ya Yanga

TIZI linaloendelea huko Tanzania Prisons kwa ajili ya mechi ijayo dhidi ya Yanga limempagawisha kocha mkuu wa timu hiyo, Aman Josiah akitamba kuwa kazi ni moja tu kubaki salama Ligi Kuu. Maafande hao wapo katika nafasi ya 13 katika msmamo kwa pointi 30, ambapo Juni 18 wanatarajia kuikaribisha Yanga katika pambano hilo litakalopigwa kwenye Uwanja…

Read More

Mabehewa 264 ya mizigo yatakayotumika katika reli ya kiwango cha kimataifa – SGR yamewasili Bandari ya Dar

Shirika la Reli Tanzania – TRC linautaarifu umma kuwa mabehewa 264 ya mizigo yatakayotumika katika reli ya kiwango cha kimataifa – SGR yamewasili Bandari ya Dar es Salaam kutoka nchini China Disemba 24, 2024. Zoezi la ushushaji kutoka kwenye Meli litakapokamilika litafuatia zoezi la majaribio ambalo litajikita katika kutembeza mabehewa hayo kwenye Reli yakiwa tupu…

Read More

IAA YAANZA UJENZI KAMPASI YA SONGEA

SHILINGI Bilioni 18, zimetolewa kupitia Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), ili kufanikisha ujenzi Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kampasi ya Songea. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Mheshimiwa Kanali Ahmed Abbas wakati wa hafla ya makabidhiano ya eneo la ujenzi wa IAA kampasi ya Songea kwa Mkandarasi. Kanali…

Read More