Chaumma kuwajengea nyumba bora Watanzania, kuondoa za tembe, makuti
Tanga. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja ameahidi Serikali ya chama hicho itajenga nyumba bora kisha kuzikopesha kwa Watanzania masikini wasio na makazi. Amesema hilo litasaidia kila mtu mwenye hali duni na asiye na makazi kuishi kwenye nyumba bora ambayo watakopeshwa kwa miaka 50 wakilipa kidogo kidogo. Chama…