
Mkali wa mabao aipa Pamba jeuri
ALIYEKUWA kinara wa mabao wa Kagera Sugar msimu uliopita katika Ligi Kuu Bara, Peter Lwasa amejiunga na kikosi cha Pamba Jiji ya Mwanza kuongeza nguvu katika eneo la ushambuliaji ambalo lilionekana kuwa butu. Lwasa raia wa Uganda alimaliza msimu uliopita akiwa na mabaio manane akishika nafasi ya 11 katika orodha ya wafungaji wa Ligi Kuu…