Leverkusen yarejea katika mbio za ubingwa – DW – 16.12.2024
Bayern Munich watamaliza wakiwa kileleni isipokuwa wakitizama nyuma yao wanawaona mabingwa watetezi Bayer Leverkusen. Bayern wanaongoza na pointi 33, nne mbele ya nambari mbili Levekusen na kwa kutegemea jinsi matokeo yatakavyokuwa wikiendi nijayo, huenda pengo hilo likapungua hadi pointi moja. Matokeo ya mwishoni mwa wiki yaliwafaidi Leverkusen. Vinara Bayern walipoteza pointi tatu ikiwa ni kichapo…