Mbinu shirikishi zatolewa kuinua ufaulu wa somo la hisabati

Dar es Salaam. Wadau wa elimu wamekutana jijini Dar es Salaam kujadili mbinu za kuboresha ufundishaji na ujifunzaji wa somo la hisabati, wakilenga kuwasaidia wanafunzi kulipenda na kufanya vizuri zaidi. Mjadala huo uliandaliwa na Taasisi ya Maendeleo ya Elimu Afrika Mashariki ya Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU-IED, EA) jana Jumatatu, Machi 17, 2025 ukiadhimisha…

Read More

VIWANDA NA VYUO VIKUU KUUNGANISHWA KWA MAFUNZO YA VITENDO

  KATIKA  kuhakikisha mafunzo ya darasani yanaendana na mahitaji halisi ya soko la ajira, Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amekutana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Bi. Suzzane Ndomba, kwa mazungumzo ya namna ya kuwawezesha vijana wahitimu kupata mafunzo ya vitendo sehemu za kazi….

Read More

Aliyekuwa Waziri Mkuu Thailand kutupwa jela mwaka mmoja

Bangkok. Mahakama Kuu ya Thailand imeamuru waziri mkuu wa zamani, Thaksin Shinawatra, kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela, baada ya kubaini hakutimiza ipasavyo kifungo chake cha awali alichotumia muda mwingi hospitalini badala ya gerezani. Katika uamuzi uliosomwa juzi Jumatatu, majaji walisema Thaksin, mwenye umri wa miaka 76, alihamishiwa hospitalini kinyume cha sheria wakati akianza kutumikia…

Read More

Huku kukiwa na mzozo mkubwa nchini Palestina, wasichana wanakabiliwa na hatari zinazoongezeka na dharura ya afya ya akili – Masuala ya Ulimwenguni

Sima Alami, afisa programu wa vijana na vijana katika wakala wa Umoja wa Mataifa wa afya ya ngono na uzazi, UNFPAilichora picha dhahiri inayofafanuliwa na takwimu za kutisha. “Tuna zaidi ya watoto milioni moja huko Gaza ambao wanahitaji huduma za afya ya akili na kisaikolojia,” aliiambia Habari za Umoja wa Mataifa. Kiwango cha kiwewe kinashangaza….

Read More

Waziri Mkuu Azindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia Hanang

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezindua Stendi ya Mabasi ya Dkt. Samia Suluhu Hassan iliyopo Katesh, wilayani Hanang, mkoani Manyara ambayo imejengwa kwa gharama ya sh. bilioni 5.69. Stendi hiyo ambayo ujenzi wake umekamilika na imeanza kutumika, imelenga kuboresha utoaji huduma za usafiri na usafirishaji. Miundombinu iliyopo ni pamoja na jengo kuu la kituo cha…

Read More

TRA yajizatiti huduma kwa wafanyabiashara wadogo

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wadogo na wa kati mkoani Dar es Salaam wametakiwa kuchangamkia dawati la uwezeshaji biashara lililozinduliwa likilenga kuimarisha biashara zao. Dawati hilo limezinduliwa leo Septemba 27, 2025 na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Dawati hilo…

Read More

MAELFU WAJITOKEZA UZINDUZI KAMPENI JIMBO LA ITWANGI

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Itwangi CCM Azza Hillal Hamad akinadi sera kwa wananchi.Wananchi wakiwa kwenye uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu Jimbo la Itwangi mkoani Shinyanga Mgombea Ubunge wa Jimbo la Itwangi CCM Azza Hillal Hamad akinadi sera kwa wananchi, kulia ni Mgeni rasmi Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (MNEC) Munde Tambwe Na…

Read More