Mawazo kinzani mkakati wa KKK ukianza kutekelezwa

Dar es Salaam. Kutengenezwa kwa Mkakati wa Kisayansi wa Kujenga Umahiri wa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa watoto wa elimu ya awali na wanafunzi wa darasa la kwanza na la pili umeibua mjadala miongoni mwa wataalamu wa elimu, wakiwamo wale wanaoonesha wasiwasi kuwa unaweza kuwa mkakati mwingine mzuri kwenye makaratasi bila kutatua changamoto halisi…

Read More

TLS yawasihi viongozi kukaa kimya kilichotokea Oktoba 29

Dar es Salaam. Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, amewasihi viongozi wa umma, pale ambapo hakuna ulazima wa kuzungumza, wakae kimya badala ya kuongea mambo yanayotonesha mioyo ya wananchi kuhusu matukio ya Oktoba 29 mwaka jana. Sambamba na hilo, Mwabukusi ametaka itafutwe namna bora na shirikishi, yenye kuaminika na wote, kumaliza tatizo…

Read More

SERIKALI YAWEKA MIKAKATI KUWEZESHA USHIRIKI WA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KWENYE DIRA YA MAENDELEO 2050.

……………. Na Jackline Minja – WJJWM Dodoma. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali imejipanga kuhakikisha wanawake wajasiriamali wanashiriki kikamilifu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050, hususan katika nguzo za uchumi imara, jumuishi na shindani pamoja na maendeleo ya jamii….

Read More

Aman Josia: Ukimgusa Edgar, hawa watakumaliza

WAKATI Dodoma Jiji ikishuka uwanjani leo kuikabili Mbeya City, kocha mkuu wa timu hiyo, Aman Josiah amesema hawaingii kazini wakimtegemea mchezaji mmoja, Wiliam Edgar bali wapo wengine wenye uwezo wa kumaliza mchezo. Kwa hivi karibuni Edgar amekuwa na kiwango bora akifunga mabao katika mechi mbili mfululizo dhidi ya Yanga walipolala 3-1 na juzi wakati wakiiangusha…

Read More

Mbeya City ni kufa au kupona Ligi Kuu Bara

KIPA wa Mbeya City, Soud Dondola amesema mchezo wao dhidi ya Dodoma Jiji ni kufa au kupona, akieleza kuwa pointi walizopoteza zinatosha na sasa kazi inaanza upya, huku kocha mkuu Mecky Maxime akisisitiza jambo kwa mastaa wake. Mbeya City imekuwa na matokeo mabovu tangu kuanza kwa msimu huu wa Ligi Kuu, ambapo kwa sasa ipo…

Read More

Kocha atozwa faini kwa kumpiga mwamuzi

KOCHA wa timu ya Kundemba inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Zanzibar, Mohammed Seif Mzee, amefungiwa michezo mitatu mfululizo na kutozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kuhamasisha vitendo vya utovu wa nidhamu vya kupigwa kwa mwamuzi, Salum Salum Ali. Uamuzi huo umetolewa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Bodi ya Ligi Zanzibar (ZLB)…

Read More

Standard Chartered Tanzania Yatoa USD 11,500 Kuendeleza Ukuaji wa Ujasiriamali

Standard Chartered Tanzania imeongeza dhamira yake ya kuunga mkono ubunifu wa ndani na uwezeshaji wa kiuchumi kwa kutangaza mchango wa USD 11,500 kwa Challenges Worldwide Tanzania. Challenges Worldwide ni mshirika mkuu wa utekelezaji wa programu ya RISE/E ya Taasisi ya Standard Chartered. Fedha hizi zimeelekezwa mahsusi katika kuimarisha ujuzi wa wajasiriamali wa ndani, huku mkazo…

Read More

RAIS SAMIA KUSHIRIKI MKUTANO WA DUNIA WA SERIKALI 2026 NA UZINDUZI WA GLOBAL AFRICA INVESTMENT SUMMIT

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiondoka nchini kuelekea Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) leo tarehe 02 Februari, 2026, ambapo atashiriki kwenye mkutano wa World Government Summit (WGS 2026) na uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS). Ushiriki wa Tanzania katika WGS 2026 unaakisi utekelezaji wa DIRA 2050…

Read More