DK.SAMIA:TUNAKATA USHINDI WA HESHIMA WA KUWAFUNGA MIDOMO WALE WENGINE

   *Yamefanyika mengi miaka mitano iliyopita na tutafanya mengi zaidi  Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mtwara MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dk.Samia Suluhu Hassan ameendelea kuchanja mbuga kusaka kura za urais katika Uchaguzi mkuu mwaka huu ambapo leo Septemba 23,2025 amepokelewa na maelfu ya wananchi Wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara akitokea mkoani Ruvuma. Dk.Samia Suluhu…

Read More

Safari ya miezi mitatu la saba itumike hivi

Dar es Salaam. Kila mwaka, baada ya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi, maelfu ya watoto nchini hupata likizo ndefu ya takribani miezi mitatu wakisubiri matokeo na nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza.  Kwa mtazamo wa kawaida, kipindi hiki huonekana kama muda wa kupumzika na kujifurahisha baada ya safari ndefu ya kujiandaa kwa mtihani…

Read More

Kilio cha maabara, vifaa kwa wanafunzi wa sayansi

Soma simulizi hii: “Jina langu ni Amina, mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya umma iliyo  mkoani Pwani. Kila Jumatatu asubuhi tunakuwa na kipindi cha Kemia, kipindi ambacho kwa wengi wetu kingepaswa kuwa cha kusisimua, majaribio, mabadiliko ya rangi ya kemikali, na mvuke unaopanda juu ya mitungi ya maabara.  Lakini kwetu sisi,…

Read More

JAMBO GROUP YATANGAZA UDHAMINI DODOMA JIJI FC LIGI KUU

Viongozi wa Jambo Group na Dodoma Jiji FC wakizindua rasmi jezi ya timu hiyo yenye chapa ya mdhamini mpya, Jambo Group ‘Jamukaya’, katika hafla ya kusaini mkataba wa udhamini jijini Shinyanga.Familia mpya ya Jamukaya! Viongozi wa Jambo Group na Dodoma Jiji FC wakipiga picha ya pamoja baada ya kusaini mkataba wa udhamini wa Ligi Kuu…

Read More

Ukonga inavyozalisha mastaa wa kike Dar

KILE kituo cha Ukonga Basketball Academy ndicho kinachoongoza kwa ukuzaji wa vipaji vya wasichana katika Jiji la Dar es Salaam ambapo wengi wao wameonekana kutawala katika timu zinazoshiriki Ligi ya Kikapu mkoani humo (WBDL). Baadhi ya mastaa wa kike wanaotesa katika ligi hiyo ni pamoja na Monalisa Kaijage, Witness Mapunda, Ana Marie na Noela Uwendameno…

Read More