Aucho: Waislamu tuendelee na mema

KIUNGO wa Singida Black Stars, Khalid Aucho, ametoa wito kwa waumini wa Kiislamu kuendeleza mema waliyoyafanya katika mwezi mtukufu wa Ramadhan hata baada ya kumalizika kwa mfungo huo. Akizungumza na Mwanaspoti, Aucho alisema kumalizika kwa Ramadhan kusiwe sababu ya watu kurejea kwenye matendo mabaya, bali waendelee kuishi kwa misingi ya swala na toba. “Kumaliza mfungo…

Read More

Ndugu waliombaka mwanamke kwa zamu watupwa jela maisha

Mbeya. Yametimia. Hii ni baada ya Mahakama ya Rufani Tanzania kubariki adhabu ya kifungo cha maisha jela kwa ndugu wawili wa kuzaliwa, waliotiwa hatiani kwa kosa la kumbaka kwa zamu mwanamke mwenye umri wa miaka 48. Kwa hukumu hiyo ya Mahakama ya Rufani, ndugu hao wawili, Furaha Mwasumbe na Nwaka Mwasumbe, wamefikia mwisho wa kupigania…

Read More

Wadau wajadili utekelezaji maboresho ya mitaala na sera ya elimu

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kukabiliana na changamoto za upungufu wa miundombinu na walimu ili kuhakikisha utekelezaji wa mitaala iliyoboreshwa unafanikiwa, wadau wa sekta ya elimu nchini wamehimizwa kushirikiana na Serikali katika kuimarisha sekta hiyo. Wito huo umetolewa leo Jumatano, Machi 25, 2026 jijini Dar es Salaam na Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi…

Read More

Vaso Psycho Yazidi Kuvutia Wachezaji Wapenda Ushindi Mkubwa

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Kuna michezo na kisha kuna Vaso Psycho. Huu ndio mchezo mpya kutoka Expanse unaopatikana ndani ya Meridianbet, ukiwa umebeba kila kitu ambacho mchezaji wa kisasa anakitafuta, msisimko, ubunifu na nafasi halisi ya kupiga hela kubwa. Kama unapenda ushindi, basi huu mchezo umeandaliwa kwa ajili yako. Vaso Psycho hauchezi…

Read More