Aucho: Waislamu tuendelee na mema
KIUNGO wa Singida Black Stars, Khalid Aucho, ametoa wito kwa waumini wa Kiislamu kuendeleza mema waliyoyafanya katika mwezi mtukufu wa Ramadhan hata baada ya kumalizika kwa mfungo huo. Akizungumza na Mwanaspoti, Aucho alisema kumalizika kwa Ramadhan kusiwe sababu ya watu kurejea kwenye matendo mabaya, bali waendelee kuishi kwa misingi ya swala na toba. “Kumaliza mfungo…