
Morocco achora ramani ya kutoboa kundi C Afcon
WAKATI Watanzania wakiendelea kulipigia hesabu ndefu kundi la Taifa Stars katika michuano ya AFCON 2025, kaimu kocha mkuu wa timu hiyo, Hemed Seleman ‘Morocco’ ametoa mtazamo wake na namna watakavyokiandaa kikosi kwenda kushindana na sio kushiriki pekee. Katika michuano hiyo itakayoanza Desemba 21, 2025 hadi Januari 18, 2026 nchini Morocco, Taifa Stars imepangwa kundi C…