Katiba ya Zanzibar inavyokinzana na ya JMT

Kimataifa, Tanzania ni nchi moja inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni mkuu wa nchi, mkuu wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu. Lakini kitaifa, Tanzania ni nchi moja yenye Katiba mbili, Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania na Katiba ya Zanzibar, yenye marais wawili, Rais wa JMT na Rais wa Zanzibar,…

Read More

Refa digidigi aliyemtikisa Motsepe CAF

SIKU njema huonekana asubuhi. Hii ipo kwa refa bwa’mdogo kutoka Libya, Zakaria Ibrahim Al-Ghaithy (15) ambaye alikuwa kivutio katika fainali za Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kwa timu za Shule (ASFC 2024) zilizofanyika mjini Unguja, Zanzibar. Katika fainali hizo zilizomalizika mwishoni mwa mwezi uliopita, Al-Ghaithy alikuwa gumzo kutokana na uwezo wake wa kupuliza kipyenga kwa…

Read More

Hali tete kituo cha mabasi Msamvu, abiria wakisongamana

Morogoro. Kituo cha mabasi Msamvu mkoani Morogoro kuna ongezeko kubwa la abiria, wakiwamo wanafunzi wanaorejea shuleni baada ya likizo kumalizika. Pia nauli zimepaa, hali inayotajwa kuchangiwa na uchache wa magari. Mwananchi Digital imefika kituoni hapo leo Jumatatu, Januari 6, 2025 na kuzungumza na baadhi ya abiria akiwamo Magdalena Olomi, anayesema kumekuwa na tabia ya wasafirishaji…

Read More

Vodacom Tanzania kupitia VTV yazindua filamu ya “NIKO SAWA” inayochochea mazungumzo muhimu kuhusu afya ya akili

Vodacom Tanzania PLC imetangaza uzinduzi wa filamu ya “NIKO SAWA”, filamu ya kipekee ya Kitanzania inayopatikanaw kupitia VTV, programu inayokuwezesha kuangalia tamthilia na filamu mbalimbali kwa njia ya mtandao. Hafla ya uzinduzi wa filamu hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Cinema wa Mlimani City, ikiashiria hatua muhimu katika safari ya Vodacom ya kuwaunganisha Watanzania kupitia…

Read More

Mwenyekiti Chadema Kilimanjaro aachiwa kwa dhamana

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (Chadema) Mkoa wa Kilimanjaro, Gervas Mgonja ameachiwa kwa dhamana. Mgonja alikamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro jana Jumatatu Novemba 25, 2024  kwa tuhuma za kutoa kauli za kuhamasisha wananchi kuvamia makazi ya wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024, mkoani humo. Kwa mujibu wa…

Read More

Asahi Group kununua hisa za Diageo katika EABL

Kampuni ya East African Breweries PLC (EABL) imetangaza kuwa kampuni ya Diageo imekubali kuuza hisa zake zote za EABL na umiliki wake katika kampuni ya vinywaji vikali ya UDV (Kenya) Limited kwa kampuni ya Asahi Group kutoka Japan. Hatua hii inaifanya Asahi kuwa kampuni ya kwanza kubwa kutoka Japan kuingia rasmi na kuwekeza kwa kiwango…

Read More

Heche, Mnyika walivyopangua kifungo madai ya kuidharau Mahakama

Dar es Salaam. Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiwamo Makamu Mwenyekiti – Bara, John Heche na Katibu Mkuu, John Mnyika, wamepangua shauri la madai ya kuidharau Mahakama lililokuwa likiwakabili. Heche na wenzake walikuwa wakikabiliwa na shauri hilo Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, lililofunguliwa na Makamu Mwenyekiti mstaafu wa  Chadema, Zanzibar,…

Read More

Watu 50 pekee kushiriki mazishi ya CDF Ogolla

Kenya. Watu 50 pekee watashiriki kumzika aliyekuwa Mkuu wa majeshi ya Kenya, Jenerali Francis Ogolla, tovuti ya Nation nchini humo imeripoti. Miongoni mwa watu hao atakuwemo Rais wa Kenya, William Ruto, maofisa wa ngazi za juu wa jeshi, maofisa waandamizi wa Serikali na wanafamilia. Hata, hivyo mazishi hayo yameibua gumzo kutokana na kuwa si kawaida…

Read More