Polisi yawashikilia watu 21 wakituhumiwa kwa uhalifu

Unguja. Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi linawashikilia watuhumiwa 21 wakidaiwa kujihusisha na matukio ya wizi, uporaji na unyang’anyi wa kutumia mapanga.  Watuhumiwa wamekamatwa baada ya polisi kufanya oparesheni maalumu ya kuwasaka watu wanaojihusisha na matukio ya uhalifu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 16, 2024 ofisini kwake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi,…

Read More

Ouma: Coastal tutapindua meza mchezo ujao

Licha ya Coastal Union kufumuliwa mabao 3-0 katika mchezo wa awali wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika na Bravos do Marquis ya Angola, kocha mkuu wa kikosi hicho, Mkenya David Ouma amesema bado hajakata tamaa na matokeo hayo akijipanga kupindua meza mchezo wa marudiano. Coastal iliyorejea katika michuano ya kimataifa tangu mwaka…

Read More

Ndege ya jeshi yaanguka shuleni yaua wanafunzi 16

Bangladesh. Watu 19 wamefariki dunia nchini Bangladesh baada ya ndege ya jeshi kamandi ya anga kuanguka katika eneo la Shule na chuo cha Milestone jijini Dhaka, leo Jumatatu Julai 21, 2025. Ndege hiyo ya mafunzo ya kijeshi kwa mujibu wa Al Jazeera imeanguka saa saba mchana wa leo wakati wanafunzi wa shule hiyo iliyopo mtaa…

Read More

Cheki ramani nzima ya ubingwa Yanga ilivyo

MNAHESABU lakini? Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Yanga juzi kupata ushindi wa 21 katika michezo 25 iliyochezwa katikaa Ligi Kuu Bara. Yanga ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa na kuifanya ifikishe jumla ya pointi 65 na sasa inahitaji pointi nane tu ili kutangaza ubingwa mapema. Bao pekee la dakika ya 41 kupitia Joseph…

Read More