KIKOSI CHA DHARURA NA UOKOAJI CHA BARRICK NORTH MARA CHAOKOA WANANCHI WALIOZINGIRWA NA MAJI TARIME

Shughuli za uokoaji wakulima waliozingirwa na mafuriko katika eneo la mashambani kijijini Matongo wilayani Tarime Shughuli za uokoaji wakulima waliozingirwa na mafuriko katika eneo la mashambani kijijini Matongo wilayani Tarime  Faida za kuwepo mwekezaji mwenye uwezo, teknolojia za kisasa na mahusiano mazuri na jamii umedhihirika kutokana na Kikosi cha Dharura na Uokoaji (ERT) kutoka Mgodi…

Read More

ZPL kuongezwa thamani kuitangaza Zanzibar

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema lengo la kuwekeza fedha nyingi kwenye sekta ya michezo ni kuhakikisha inakuwa msingi unaowezesha kukuza vipaji, kuongeza ushindani na kuifikisha Zanzibar katika viwango vya kimataifa. Hayo yalielezwa na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi wakati alipokutana na uongozi wa taasisi ya Tanzania Securities Limited, Ikulu mjini Zanzibar….

Read More

NEMC YAJA NA USAFI KAMPENI 2025

:::::::: Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezindua kampeni mpya ya usafi iitwayo “NEMC Usafi Campaign 2025” yenye lengo la kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu katika usafi wa mazingira na kuhakikisha nchi inakuwa safi, salama na yenye afya kwa wote. Kampeni hiyo ambayo itatekelezwa kwa ushirikiano na Ofisi ya Rais – TAMISEMI,…

Read More

Dk Bashiru avunja ukimya akimwombea kura Samia

Singida. Katibu Mkuu mstaafu wa CCM, Dk Bashiru Ali, amevunja ukimya kwenye kampeni za mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, akieleza namna alivyopokea kijiti cha urais katika mazingira magumu lakini akalivusha Taifa salama. Dk Bashiru ameeleza hayo leo Septemba 9, 2025 kwenye mkutano wa kampeni za Samia,…

Read More

Yanga yarudi na siri kutoka Angola

WAKATI kikosi cha Yanga alfajiri ya leo Jumapili kikiingia Dar es Salaam kikitoka Angola, kuna kitu ambacho kocha wa timu hiyo, Romain Folz anatamba nacho huku mwenyewe anasema bado yupo katika kuijenga timu imara msimu huu. Wakati Folz akiyasema hayo, kuna siri imefichuka huku Yanga ikiwa tayari imefanya mambo makubwa katika mechi mbili za kimashindano,…

Read More

Dk Migiro aeleza ahadi ya CCM kwa wananchi

Unguja. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dk Asha-Rose Migiro, amesema chama hicho kitaendelea kuonesha mshikamano wa kisiasa na kijamii kwa wananchi katika kusimamia utekelezaji wa sera na ilani zake ili kuimarisha maendeleo ya Taifa. Amesema hayo leo, Septemba 8, 2025 wakati akizungumza na wanachama na wapenzi wa CCM katika mapokezi ya kumkaribisha…

Read More

Ndoa ya Gigy Money Yafanyika Lugalo, Mastaa Wahudhuria

Global Publishers March 14, 2026 0 Comments Msanii mwenye hekaheka zake mjini asiyeishiwa vibwanga Gift Stanford ‘Gigy Money’ ambaye kwa sasa amebadili dini na kutumia jina la Rawya, amefunga ndoa na mpenzi wake Licky katika sherehe iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Ndoa hiyo ilifungwa na kuambatana na sherehe fupi iliyofanyika katika Viwanja vya Lugalo Golf…

Read More