Conte amewasikia, atuma salamu ya kibabe

KUMEKUWA na mijadala mbalimbali juu ya kiwango cha kiungo mkabaji mpya wa Yanga, Balla Mousa Conte aliyetua klabuni hapo kutoka CS Sfaxien ya Tunisia, lakini kumbe mwenyewe amesikia kila kitu kinachoendelea na kuamua kutoa kauli ya kibabe akituma salama mapema. Kiungo huyo amesema licha ya presha kubwa ndani ya kikosi hicho hasa eneo analocheza hana…

Read More

Jeshini kuna vita ya majirani CECAFA Kagame Cup

MIAMBA miwili ya soka la Sudan na Somalia, Al-Hilal Omdurman na Mogadishu City, itakuwa vitani leo Alhamisi kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni, kutupa karata zao za kwanza katika mashindano ya Kombe la Kagame. Hii ni mara ya kwanza kwa timu hizi kukutana kwenye michuano hiyo mikongwe ya klabu za Afrika Mashariki na Kati,…

Read More

Dk Nchimbi: Tutaimarisha demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari

Shinyanga. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika kipindi cha miaka mitano ijayo watasimamia vyema uhuru wa vyombo vya habari. Pia, chama hicho kikipata ridhaa ya wananchi katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano ya Oktoba 29, 2025 kitasimamia kukuza demokrasia ili Watanzania wafanye siasa bila hofu wala mashaka. Dk…

Read More