WANANCHI WAIPONGEZA TANROADS-MOROGORO KWA KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA WILAYANI MALINYI

Baadhi ya wananchi katika Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameipongeza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kuendelea na kazi ya urejeshaji wa miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imeathiriwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali. Wamesema kuwa mvua zinazoendelea kunyesha katika mkoa huo zimesababisha maji kupita juu ya barabara na…

Read More

Watoto 10 kwa siku wapoteza miguu Gaza

Geneva, Uswisi. Katika hali ya kusikitisha inaelezwa watoto 10 kwa siku wanapoteza mguu mmoja au yote wawili katika vita vinavyoendelea kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas, huko Gaza. Akitoa ripoti hiyo, Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalosaidia wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) Philippe Lazzarini, amesema kwa takwimu hizo karibuni watoto 2,000 wamepoteza miguu…

Read More

KAMISHINA TRA ,MKURUGENZI BANDARI WATEMBELEA BANDARI YA TANGA.

     Na Mwandishi Wetu,Tanga KAMISHINA  Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)  Yusuph Mwenda akiambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Prasduce Mbossa Agosti  26,2024 wametembelea bandari ya Tanga.   Kamishna Mkuu na Mkurugenzi Mkuu wamekubaliana kushirikiana kwa ukaribu zaidi ili kuongeza ufanisi kwenye shughuli za bandari na forodha  zitakazo ongeza mapato ya…

Read More

Mr Manguruwe na Mkaguzi wake waendelea kusota rumande baada ya kukosa dhamana

Mfanyabiashra, Simon Mkondya (40) maarufu kama Manguruwe na Mkaguzi, Rweyemamu John (59) wanaendelea kusota rumande kutokana na kukosa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Manguruwe ambaye Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd na mwenzake walifikishwa mahakamani hapo Novemba 5, 2024 akikabilia na mashtaka 28 ikiwemo utakatishai fedha wa Shilingi Milioni 92.2. Wakili wa…

Read More

…Samia ampa tano | Mwanaspoti

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewapongeza wachezaji wa gofu wa kike wa Tanzania kwa kuendelea kuipeperusha vyema bendera ya nchi nje ya mipaka yake huku akiahidi kuleta kocha wa kigeni kwa ajili ya kuifundisha timu ya Taifa. Hayo yalisemwa na Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Damas Ndumbaro kufuatia mchezaji nyota wa Tanzania, Madina…

Read More

Baraza la afya ya akili nchini mbioni kuundwa

Dodoma. Serikali iko mbioni kukamilisha mchakato wa kuanzisha baraza la afya ya akili na kwa sasa wanakamilisha vitu vichache. Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel ametoa kauli hiyo leo Jumatano Mei 7, 2025 ambapo amesema awali walikuwa na ahadi ya kuanzisha baraza hilo Mei mwaka huu, lakini kuna mambo hayajawekwa sawa. Dk Mollel amesema…

Read More