TSL yazindua mifuko miwili kupanua fursa za uwekezaji

Dar es Salaam. Kampuni ya Tanzania Securities Limited (TSL) imezindua mipango miwili mipya ya uwekezaji wa pamoja yenye ubunifu, ikilenga kuimarisha ushirikishwaji wa wananchi katika sekta ya kifedha na kupanua wigo wa fursa za uwekezaji nchini. Akizungumza Machi 3, 2026 jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa bidhaa hizo, Gavana wa Benki Kuu ya…

Read More

DK SAMIA ASEMA SERIKALI ITAKAMILISHA MIRADI ILIYOANZISHWA NA ILE ILIYOAHIDIWA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mchinga MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewaambia wananchi wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi kuwa  iwapo Chama hicho kitapewa ridhaa kuendesha serikali itakwenda kukamilisha miradi iliyoanzishwa na ile iliyoahidiwa kupitia Ilani ya uchaguzi. Dk.Samia ameyasema hayo  leo Septemba 25,2025 alipokuwa akizungumza na wananchi wa Jimbo la…

Read More

Fanya haya kuukwepa ugonjwa wa presha

Dar es Salaam. Ugonjwa wa presha, unaojulikana pia kama shinikizo la damu, ni miongoni mwa magonjwa yanayojenga hatari kubwa kwa afya ya moyo na mishipa. Wataalamu wanasema kuwa presha ya juu mara nyingi haina dalili za haraka, hivyo wengi huishia kugundua wakiwa tayari wameshajikuta kwenye hatari kubwa ya mashambulizi ya moyo au kiharusi. Hata hivyo,…

Read More

Oryx Gas na TCRF waunga mkono jitihada za Rais Samia kwa kufunga jiko la nishati mashuleni

KATIKA kuunga juhudi za Serikali kupitia kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kampuni ya Oryx Gas Tanzania imeshirikiana na Taasisi ya Tanzania Communities Rise Foundation(TCRF) kuhakikisha shule ambazo zinawanafunzi zaidi 100 kuunganisha jiko linalotumia mfumo wa nishati safi ili kuondokana na matumizi ya mkaa na kuni. Akizungumza leo Septemba 19,2025 katika hafla ya uzinduzi wa…

Read More