Serikali Yasisitiza Ubora wa Maudhui kwa Ajili ya Vijana
Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kuandaa maudhui yatakayowafikia na kuwagusa vijana kwa lugha wanayoielewa. Dkt. Mwigulu amesema bila kutumia njia na lugha rafiki kwa vijana, taarifa muhimu zinaweza zisifikie walengwa au kushindwa kuwavutia. Waziri Mkuu amesisitiza kuwa maudhui yanapaswa kuwa…