Serikali Yasisitiza Ubora wa Maudhui kwa Ajili ya Vijana

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kuandaa maudhui yatakayowafikia na kuwagusa vijana kwa lugha wanayoielewa. Dkt. Mwigulu amesema bila kutumia njia na lugha rafiki kwa vijana, taarifa muhimu zinaweza zisifikie walengwa au kushindwa kuwavutia. Waziri Mkuu amesisitiza kuwa maudhui yanapaswa kuwa…

Read More

Bajana atua jeshini na mzuka

BAADA ya kuagana na uongozi na wechezaji wenzake wa Azam FC,  kiungo Sospeter Bajana ametua JKT Tanzania akiwa na mzuka mwingi, akisema yupo tayari kwa ushindani ndani ya kikosi hicho anachoamini kitamrudisha katika ubora aliokuwa nao awali. Bajana amemalizana na Azam baada ya kuitumikia kwa miaka 15 na msimu ujao atakuwa na kazi jeshini kuitumikia…

Read More

Watoto wenye ulemavu wa kusikia kunufaika na teknolojia

Dar es Salaam. Serikali kwa kushirikiana na wadau wa elimu imeendelea kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha hakuna mtoto anayeachwa nyuma kielimu, baada ya kuanzisha programu maalum ya kujifunzia kwa watoto wenye mahitaji maalumu, hususani wasio na uwezo wa kusikia. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania, Dk Aneth Komba amesema…

Read More

Salum Mwalimu aahidi Tanzania ya ‘maziwa na asali’

Tanga. Mgombea urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu amewaomba Watanzania kumchagua kwa kishindo ifikapo Jumatano Oktoba 29, 2025, ili alitengeze taifa lenye ustawi na neema, akiahidi kuigeuza Tanzania kuwa “nchi ya maziwa na asali’ iwapo atapewa ridhaa ya kuingia Ikulu. Akihutubia wakazi wa Muheza katika viwanja vya Madaba, jijini Tanga kwenye…

Read More

INEC yasisitiza Mpina si mgombea urais

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa Uchaguzi (INEC), imesisitiza msimamo wake kuhusu Luhaga Mpina aliyekuwa akiwania kiti cha urais kupitia chama cha ACT – Wazalendo kwamba  hajapitishwa kuwa mgombea wa kiti hicho. Kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Tume hiyo leo Jumatatu Septemba 22, 2025, INEC imesema ACT – Wazalendo hakina mgombea wa urais…

Read More

UNDP, UINGEREZA WATOA ZAIDI YA TSH MILIONI 70 KUIMARISHA BIASHARA BUNIFU ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU TANZANIA

Mpango huo unatekelezwa na UNDP kupitia Mradi wa FUNGUO kwa ushirikiano na Serikali ya Uingereza kupitia FCDO. Ushirikiano huo unalenga kuimarisha mfumo wa ubunifu nchini kwa kuwaunganisha wanafunzi na ushauri elekezi, fursa za ufadhili pamoja na mazingira yatakayosaidia mawazo yao kukua na kuwa biashara endelevu. Kabla ya kutangazwa kwa washindi, timu za wanafunzi zilipata mafunzo…

Read More