Wananchi Dar walia bili kubwa za maji bila maji

Dar es Salaam. Katikati ya kilio cha ukosefu wa huduma ya maji safi na salama katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam, kumeibuka changamoto nyingine kwa wananchi kulalamikia kutumiwa ankara kubwa za huduma hiyo, hali inayowaathiri zaidi wa kipato cha chini. Hata hivyo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira…

Read More

Bashungwa: Msitoke Mafia mpaka kivuko kitoe huduma

  WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amempgia simu na kumuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Eng. Aisha Amour na Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kufika mara moja katika Kisiwa cha Mafia kupiga kambi kusimamia matengenezo ya Kivuko cha MV Kilindoni na kuhakikisha hawatoki mpaka huduma ya usafiri…

Read More

CCM hakujapoa, Polepole na Gwajima watajwa

Dar/Dodoma. Ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) bado hakujapoa. Ndivyo unavyoweza kueleza kutokana na yanayoendelea kugonga vichwa vya wadau wa siasa ndani na nje ya chama hicho kikongwe nchini. Leo Julai 26, 2025 CCM itafanya mkutano mkuu wa dharura, ikiwa mara ya kwanza katika historia kutaendeshwa kwa staili tofauti. Mkutano huo ambao utafanyika kwa njia…

Read More

Mamilioni yanayokabiliwa na makazi wakati vurugu zinawalazimisha watu kukimbia mara kadhaa – maswala ya ulimwengu

Watu waliohamishwa hupokea misaada ya chakula nje ya Goma mashariki mwa DR Kongo. Mikopo: WFP/Jerry Ally Kahashi Maoni na Jan Egeland (Oslo, Norway) Alhamisi, Aprili 03, 2025 Huduma ya waandishi wa habari OSLO, Norway, Aprili 03 (IPS) – Jan Egeland ni Katibu Mkuu wa Baraza la Wakimbizi la Norway (NRC) Baraza la Wakimbizi la Norway…

Read More

WAUMINI WAMPELEKA PADRI KITIMA VATICAN WAOMBA UCHUNGUZI WA MWENENDO WAKE

Waumini wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania, Stanslaus Thobias Nyakunga na Elia Phaustine Kabote, wakizungumza kuhusiana na kupeleka Barua kwa Balozi wa Vatican nchini Tanzania juu ya Mwenendo wa Katibu wa TEC Dkt.Charles Kitima jijini Dar es Salaam. Na Mwandishi Wetu WAUMINI wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania, Stanslaus Thobias Nyakunga na Elia Phaustine Kabote, wamewasilisha rasmi…

Read More

Prince Dube aishi kifahari dar, aiponza Yanga

MWANASPOTI linajua vigogo walio karibu na Yanga wamempa maisha ya kifahari staa anayepambana kuvunja mkataba na Azam, Prince Dube lakini klabu imeingia msituni kwa staili ya tofauti. Dube kwa sasa anaishi kwenye jumba moja la kifahari maeneo ya Salasala, Dar es Salaam kilomita chache kutoka kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi. Lakini habari za ndani…

Read More

Serikali kujenga shule maalumu ya wavulana Kanda ya Ziwa

Mwanza. Serikali inatarajia kujenga shule maalumu ya wavulana Kanda ya Ziwa, ambayo itajengwa mkoani Simiyu ikiwa ni mwendelezo wa mkakati wa kuzalisha wataalamu wa Tanzania kupitia elimu ya sayansi. Akizungumza leo, Jumatatu Juni 16, 2025, mara baada ya kuzindua Shule ya Wasichana ya Mkoa wa Simiyu, Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali haitabagua jinsia katika…

Read More

Dk Biteko awaita wawekezaji kutumia fursa Mkoa wa Kagera

Bukoba. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewaomba wafanyabiashara kutambua fursa za uwekezaji zilizopo mkoani Kagera na kuzichangamkia ili kukuza uchumi wa mkoa huo. Akizungumza wakati wa kufungua Kongamono la wafanyabishara katika tamasha la Ijuka Omuka leo Desemba 19, 2024 Dk Biteko amesema anatamani kuona wawekezaji wanazichangamkia fursa za uwekezaji zilizopo…

Read More