Kuzuia Vita vya Nyuklia, Mwisho wa Silaha za Kumaliza na Kukomesha Silaha za Nyuklia – Maswala ya Ulimwenguni

Amani iko mikononi mwetu. Mikopo: www.nuclearabolitionday.org Maoni na Jackie Cabasso (Oakland, California / Basel, Uswizi) Ijumaa, Septemba 26, 2025 Huduma ya waandishi wa habari OAKLAND, California / Basel, Uswizi, Septemba 26 (IPS) – Mnamo 2013, alifadhaika kwa ukosefu wa maendeleo juu ya silaha za nyuklia, Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa ulitangaza Septemba 26 kama…

Read More

Ferry: Hatuna cha kupoteza kesho

Kocha wa Wiliete ya Angola, Bruno Ferry amesema timu yake haina cha kupoteza kwenye mchezo wa kesho ambapo  wataingia na akili ya kubadilisha matokeo. Ferry amesema wanatambua matokeo mabaya waliyoyapata nyumbani kwao ambayo yalitokana na uchanga wa kikosi  kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini wamejipanga kusahihisha makosa. “Baada ya mchezo wa kwanza tuligundua makosa yetu…

Read More

Yanga yashusha jezi mpya kuwakimbia ‘wafyatuaji’

Yanga imesema imeshusha mzigo wa jezi mpya awamu ya pili zitakazokuwa na mabadiliko ili kuwakimbia wahujumu wa mapato wanaofyatua jezi feki. Akizungumzia hilo, Meneja wa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema mwekezaji wa biashara ya jezi za klabu baada ya kumalizika kwa jezi za kwanza ameshtukia uwepo wa uzi feki mwingi sokoni. Kamwe amesema baada…

Read More

Kamwe: Msipoona mafuriko kesho, nipigeni makofi

Msemaji wa Yanga, Ally Kamwe ametoa ahadi nzito kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika, akisema kama Yanga isiposhinda kwa kishindo atakubali kupigwa makofi. Akizungumza klabuni hapo, Kamwe amewatoa wasiwasi mashabiki wa timu hiyo wenye wasiwasi na timu yao akisema mfumo uwanjani umeshakubali. Kamwe amesema wameshajaribu kila kitu kuelekea mchezo huo wa marudiano…

Read More

Folz kuwashushia mziki Waangola Kwa Mkapa

KOCHA wa Yanga, Romain Folz amesema kikosi kipo tayari kwa mchezo wa marudiano dhidi ya Wiliete akidai  atawashushia mziki kamili Waangola katika mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa Kwa Mkapa, kesho. Akizungumza leo, Folz amesema hana presha na lolote juu ya kikosi chake kwa kuwa kipo njia salama na kwamba…

Read More

Uchaguzi Malawi unavyoacha somo kwa mataifa ya Afrika

Dar es Salaam. Demokrasia ya Malawi imepiga hatua. Ndivyo unavyoweza kueleza kutokana na namna nchi hiyo imekuwa ikisimamia na kuratibu chaguzi zake kwa kuwapa wananchi uhuru na haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka na viongozi kuachiana kijiti bila mivutano. Tangu taifa hilo limepata uhuru wake mwaka 1964, limekuwa likibadilisha viongozi kupitia chaguzi za kidemokrasia ambapo…

Read More

Tanzania yasisitiza utatuzi wa migogoro dunaini

New York. Tanzania imelaani kuibuka upya kwa ukiukwaji wa sheria za kimataifa, hali inayochochea matumizi ya nguvu kama njia ya kutatua migogoro. Imeeleza kuwa mwenendo huo si tu unadhoofisha juhudi za kimataifa za kudumisha amani na usalama, bali pia unahatarisha maisha ya raia wasio na hatia katika maeneo ya migogoro. Pia, imesisitiza kuwa matumizi ya…

Read More

Ecobank Tanzania Yazindua Toleo Jipya la ‘Ellevate’ kwa Kuwawezesha Wajasiriamali Wanawake

 Ecobank Tanzania imezindua rasmi toleo lililoboreshwa la mpango wake wa “Ellevate by Ecobank”, likiwa na lengo la kuharakisha ujumuishaji wa kifedha na uwezeshaji wa kiuchumi kwa wanawake wajasiriamali.. Awali, Ellevate ilianzishwa kusaidia biashara ndogo na za kati (SMEs) zinazoongozwa au kumilikiwa na wanawake. Hata hivyo, mpango huu sasa umeboreshwa na kupanuliwa ili kuwafikia wanawake katika…

Read More

Bolt Tanzania Yagawa Discount Inayoitwa “BOLTXSIMBU” Kusherehekea Medali ya Kwanza ya Dhahabu ya Tanzania.

Bolt Tanzania kwa fahari inatangaza kuzindua nambari mpya ya punguzo, SIMBU, kwa heshima ya Alphonce Felix Simbu, aliyefanya historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Dunia ya Riadha. Ushindi wa Simbu umeiweka Tanzania kwenye ramani ya riadha ya kimataifa, sambamba na mataifa yenye nguvu kama Kenya. Huu si ushindi…

Read More