MAANDAMANO CHADEMA: Polisi Dar yakamata waandishi wawili wa Mwananchi

Dar es Salaam. Polisi jijini Dar es Salaam wamewakamata waandishi wa habari wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa nyakati tofauti wakati wakiripoti maandamano ya amani yaliyoitishwa na Chadema. Hata hivyo, mmoja ameshaachiwa. Mpaka sasa jeshi hilo linamshikilia Lawrence Mnubi ambaye ni mpiga picha jongefu (videographer) wa Mwananchi, aliyekuwa eneo la Msimbazi akitimiza…

Read More

WENYEVITI WA VIJIJI/VITONGOZI HALMSHAURI YA MTAMA WAPIGWA MSASA

Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji 601 kutoka kwenye kata 20,vijiji 93 halmashauri ya Mtama Mkoani Lindi wamepatiwa mafunzo maalum ya uongozi bora yenye lengo la kuwajengea uwezo katika kutekeleza majukumu yao ya kuwatumikia wananchi. Mafunzo hayo yanayotolewa na Ofisi ya Rais Tamisemi kwa kushirikiana na wakufunzi kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa cha Jijini Dodoma…

Read More

Bashungwa aagiza kukamatwa kwa mkandarasi anayejenga daraja la Mpiji chini – Dar

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kinondoni (OCD), Mohamed Senkondo, kumshikilia Meneja Mradi wa Kampuni ya China Railway Seventh Group (CRSG), anayetekeleza ujenzi Daraja la Mpiji Chini (mita 140) pamoja na barabara unganishi (km 2.3), ahojiwe ili kuanza kuchukuliwa hatua kwa kuchelewa kuanza ujenzi wa daraja hilo na barabara unganishi….

Read More

Huduma za mawasiliano zapaa 2025 lakini simu janja bado

Wakati idadi ya laini za simu nchini ikifikia milioni 90.1 katika mwaka ulioishia Machi 2025, asilimia 24 pekee ya watu ndio wanaotumia simu janja. Kuwapo kwa matumizi madogo ya simu janja yasiyoendana na kasi ya ukuaji wa matumizi ya mtandao kunatajwa kuacha watu wengi nyuma, jambo ambalo linapaswa kufanyiwa kazi. Katika hilo wananchi wanataja kupunguzwa…

Read More

Ubomoaji holela Kariakoo unavyoathiri kiafya wananchi

Dar es Salaam. Wakati ubomoaji usiofuata sheria ukikoleza hatari za kiusalama katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam, afya za wananchi wanaofanya shughuli zao au kwenda maeneo hayo nazo ziko shakani. Kutokana na mazingira ya eneo la Kariakoo lenye maghorofa kila mtaa, wakati wa ubomoaji wa majengo yaliyopo katikati, inakuwa ngumu linaloathiri afya za wananchi….

Read More