MAMBO MATANO YANAYOMPA SAMIA USHINDI WA HESHIMA KWENYE UCHAGUZI MKUU
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewasihi Watanzania kujitokeza kwa wingi Oktoba 29, 2025 kuipigia kura CCM ili kukipa chama hicho ushindi wa heshima. Ikiwa umebaki mwezi mmoja kuelekea uchaguzi mkuu, Rais Samia ameweka alama nyingi katika uongozi wake ambazo zinatarajiwa kuwa turufu kubwa kwake kuzoa kura za urais…