JOKATE AONGOZA MAELFU YA VIJANA KOROGWE.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM, Ndugu Jokate Urban Mwegelo (MNEC) ameongoza Maelfu ya Vijana Korogwe katika Matembezi ya Amani ya maandalizi ya Mapokezi ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anayetarajia kuanza Ziara yake ya kikazi Mkoani Tanga tarehe 23 Februari, 2025….

Read More

Shein, Karume Wasisitiza Elimu ya Muungano kwa Vijana

Rais Mstaafu wa Zanzibar wa Awamu ya Saba Dk. Ali Mohamed Shein amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni alipomtembelea nyumbani kwake Zanzibar, Disemba 10,2025 ambaye aliambatana na viongozi mbalimbali kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais. Rais Mstaafu wa Zanzibar wa Awamu ya Saba…

Read More

Pamba sasa mambo yameiva | Mwanaspoti

KIPA mkongwe kwenye Ligi Kuu Bara, Shaban Kado amesema maandalizi yanayofanywa na Pamba Jiji ni ishara ya timu hiyo kutaka kufanya vizuri kwenye michuano hiyo na kutotaka mazoea ya timu zinazopanda daraja kushuka mwishoni mwa msimu. Kado ambaye ni msimu wake wa pili Pamba Jiji baada ya kuipandisha Ligi Kuu na kuongezewa mwaka mmoja, alisema…

Read More

Mhagama atishia kibarua cha Mkongomani Dodoma Jiji

KIPA wa Dodoma Jiji, Mkongomani Alain Ngeleka huenda asiwe tena sehemu ya kikosi cha timu hiyo kwa msimu ujao, baada ya ujio wa Castor Mhagama kutoka KenGold, huku ikielezwa kuwa ishu ya nidhamu inaweza pia kuchangia kuondolewa kikosini. Hivi karibuni, nyota huyo alisimamishwa katika timu hiyo kwa tuhuma za utovu wa nidhamu, ingawa taarifa ambazo…

Read More

Ezekiel Chobanka ataka watatu Ceasiaa

KOCHA mpya wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema anahitaji nyota wapya wanne ili kukiongezea nguvu kikosi hicho. Chobanka alisajiliwa msimu huu akitokea Alliance Girls ambako alidumu kwa takriban misimu saba akiibua nyota kama Aisha Masaka anayekipiga Brighton ya Uingereza, Aisha Mnunka (Simba Queens). Akizungumza na Mwanaspoti, Chobanka alisema ni ngumu kwa kocha kuwafahamu wachezaji kwenye…

Read More

Dabo hataki kurudia makosa msimu

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amefunguka hataki kurudia makosa ya msimu uliopita katika michuano ya kimataifa na kusema ndio sababu iliyomfanya awaite mapema kambini mastaa wa timu hiyo ili kutengeneza muunganiko baada ya sajili mpya na kuiweka timu freshi kabla ya kuliamsha 2024-2025. Msimu uliopita Azam licha ya kumaliza nafasi ya pili katika…

Read More

Zitto ashtakiwa kwa andiko la IPTL

Dar es Salaam. Mfanyabiashara Harbinder Sethi amemfungulia mashtaka kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akimtuhumu kumdhalilisha kwa kuchapisha taarifa za uongo, kashfa na zenye madhara dhidi yake. Shtaka hilo la Sethi katika Mahakama Kuu ya Tanzania limetokana na chapisho la Zitto katika ukurasa wake wa X (zamani Twitter) akifafanua kuhusu sakata la IPTL kwa…

Read More

NYASA YAKUSANYA MAPATO KWA ASILIMIA 124.91

Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma imevuka lengo la ukusanyaji mapato,baada ya kufanikiwa kukusanya mapato ya zaidi ya shilingi bilioni 2.17 sawa na asilimia 124.91 katika kipindi cha mwaka 2023/2024. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Khalid Khalif kwenye kikao cha Baraza la madiwani cha kujadili taarifa ya Hesabu za mwisho za…

Read More