MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AWAHAKIKISHIA WANANCHI LINDI KUNUFAIKA NA MRADI GESI YA LNG
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Lindi. MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia amewaambia wananchi wa Mkoa wa Lindi kuwa mradi wa kuchakata Gesi Asilia (LNG)unaokwenda kuwanifaisha wananchi wote wakiwemo mkoa huo. Dk.Samia ameyasema leo Septemba 25,2025 mkoani Lindi mkoani Lindi alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi wa katika mkutano wa kuomba kura kuelekea Uchaguzi…