Chaumma yaahidi boti za mwendokasi Kanda ya Ziwa

Kagera. Mgombea urais wa Chaumma, Salum Mwalimu ameahidi mageuzi ya kiuchumi katika Kanda ya Ziwa ikiwa ni pamoja na uwekezaji wa maboti ya kisasa ya mwendokasi kasi ya Mwanza na Kagera, endapo atachaguliwa kuwa rais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza Septemba 18, 2025, katika mkutano wa kampeni uwanja wa Red Cross, Muleba,  Mwalimu amesema serikali…

Read More

Yusuph Mhilu aongeza mmoja Geita Gold

GEITA Gold ya Championship imemwongezea mkataba wa mwaka mmoja mshambuliaji Yusuph Mhilu kuitumikia timu hiyo msimu ujao wa 2025/2026. Msimu uliopita Mhilu aliifungia timu hiyo mabao 10 na asisti moja, jambo ambalo uongozi wa timu hiyo umeona umuhimu wa kuendelea naye, kutokana na mikakati yao ya kupanda Ligi Kuu. Alipotafutwa Mhilu kuthibitisha hilo alisema baada…

Read More

TANZANIA YAJINADI UIMARISHAJI USAWA WA KIJINSIA NA UPATIKANAJI WA HAKI KWA WANAWAKE MKUTANO WA CSW 70.

Na WMJJWM New York Marekani Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza mshikamano wake na nchi wanachama wa jumuiya ya kimataifa katika kuendeleza ajenda ya usawa wa kijinsia duniani. Akizungumza katika mkutano wa 70 wa kimataifa kuhusu masuala ya wanawake na haki, mwakilishi wa Tanzania katika Mkutano huo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,…

Read More

Mgombea ubunge aonya uvunjifu wa amani kwenye uchaguzi

Mbeya. Mgombea ubunge wa viti maalumu Mkoa wa Mbeya, Suma Fyandomo amewataka wananchi kutokubali kurubuniwa kuingia kwenye vurugu za uvunjifu wa amani kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Fyandomo ametoa kauli hiyo leo Jumanne Septemba 23, 2025 kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za kumnadi mgombea urais, wabunge na madiwani uliofanyika katika Mtaa wa…

Read More

Namungo inavyoanza msimu mpya 2025/26 na malengo makubwa

WAUAJI wa Kusini, Namungo walikuwa na kambi ya wiki mbili jijini Dodoma kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu, ambapo Mwanaspoti lilitinga kujionea namna nyota wa kikosi hicho wanavyojifua. Lakini, unaambiwa kazi haikuishia mazoezini tu, bali kuna mipango na mikakati mizito inasukwa kwa ajili ya kujenga upya ubora katika kupambania nembo ya…

Read More

Tanesco yakamata watano kwa hujuma ya miundombinu Kahama

Shinyanga. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kanda ya Magharibi kwa kushirikiana na maafisa kutoka makao makuu, limewakamata wateja watano wanaodaiwa kuhujumu miundombinu ya shirika hilo kwa njia zisizo halali ikiwemo kuhamisha na kuchezea mita wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Tukio hilo limebainika kupitia operesheni maalum ya ‘Baini wajibika Okoa Mapato (BAOMA), iliyoendeshwa na shirika hilo kwa…

Read More

Tathmini yabaini udhaifu wa kuhesabu kwa wanafunzi wa awali

Dodoma. Tathmini iliyofanywa na Serikali kuhusu stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa wanafunzi wa darasa la awali hadi la tatu imebaini kuwa stadi ya kuhesabu iko chini ikilinganishwa na stadi za kusoma na kuandika. Kwa mujibu wa matokeo ya tathmini hiyo, wanafunzi wengi wanafanya vizuri zaidi katika kusoma, ikifuatiwa na kuandika, huku kuhesabu…

Read More

Gamondi autaka ubingwa Cecafa Kagame Cup

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi ametangaza kuwa lengo kubwa kwenye michuano ya Cecafa Kagame Cup 2025 ni kuipa timu yake ubingwa akiitumia pia kama sehemu ya maandalizi ya mashindano ya kimataifa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara. Gamondi, aliyewahi kuinoa Yanga, ameanza jana, Jumanne safari yake na Singida kwenye mchezo wa Kundi…

Read More