UN yataka usitishaji mapigano kupisha chanjo kwa watoto Gaza – DW – 16.08.2024
Ugonjwa huo umegunduliwa kuwepo katika maji taka ya Ukanda huo. Shirika la afya la Afya duniani WHO limesema kuwa, mashirika ya Umoja wa Mataifa yanataka kutoa chanjo hiyo ya matone kwa watoto wenye umri chini ya miaka kumi kuanzia baadaye mwezi huu. Limeongeza kuwa bila kuwepo kwa usitishwaji wa muda wa mapigano kwa ajili ya kutoa…