Udsm, China waanzisha kituo cha elimu ya kidijitali kwa walimu

Dar es Salaam. Katika kuelekea maendeleo ya elimu kwa kutumia teknolojia ya kidijitali, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm) kwa kushirikina na Chuo Kikuu cha  Zhejiang Normal cha nchini China, wamefungua Kituo cha ushirikiano wa elimu ya kidijitali mahususi kwa ajili ya kuwapatia mafunzo walimu. Kituo hicho kitakachoitwa ‘China-Africa Regional Centre for Digital Education…

Read More

Waliokuwa watumishi Kigamboni wapandishwa kizimbani

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Fedha na Mhasibu wa Manispaa ya Kigamboni, Jonathan Manguli (38) na wenzake 12, wakiwamo wafanyabiashara wamefikishwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka 10, yakiwamo ya kuchepusha fedha na kuisababishia Wizara ya Tamisemi hasara ya Sh165 milioni. Washtakiwa wengine waliokuwa watumishi wa manispaa hiyo ni mhasibu Godfrey Martiny (44), mkuu…

Read More

Zaidi ya Ubashiri, Ni Burudani, Ushindi na Teknolojia Mpya – Global Publishers

Bingwa wa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, ameleta promosheni kabambe inayowapa wachezaji wake nafasi ya kipekee ya kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25 kupitia mchezo maarufu wa Aviator. Promosheni hii, ambayo imeanza rasmi tarehe 1 Septemba 2025 na itaendelea hadi 30 Septemba 2025, inalenga kuongeza msisimko kwa wachezaji kwa kuwapa zawadi…

Read More

Mwanahabari mwingine afariki dunia Dodoma

Dodoma. Tasnia ya habari mkoani Dodoma imepata pigo lingine katika kipindi kifupi kufuatia kifo cha mwanahabari, Kadala Komba ambaye amefariki dunia leo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, alikokuwa amelazwa kwa matibabu. Komba amefariki dunia ikiwa zimepita wiki mbili baada ya kifo cha Sharon Sauwa, mwanahabari mwandamizi aliyekuwa anatumikia vyombo vya Kampuni ya…

Read More