Malindi yarejea Unguja na pointi tatu za Chipukizi

TIMU ya Malindi kutoka Unguja, imefanikiwa kuvuna alama tatu kwa kuifunga Chipukizi bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa Septemba 27, 2025 kwenye Uwanja Gombani uliopo kisiwani Pemba. Bao hilo lilifungwa na Tchakei Moucheri dakika 15 akimalizia pasi ya Ramadhan Mponda ambapo lilidumu hadi timu hizo zinakwenda mapumziko. Kipindi cha pili kilianza kwa…

Read More

Wadau wa biashara kujadili mifumo ya serikali kusomana

  WADAU zaidi ya 300 waliopo kwenye mnyororo wa urasimishaji biashara nchini, kutoka taasisi za umma, sekta binafsi, taasisi miamvuli, wafanyabiashara, wanazuoni, wajasiriamali na mawakili, wanatarajiwa kujadili fursa, changamoto na mafanikio ya mifumo ya biashara. Anaripoti Restuta James, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa iliyotolewa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), kwa…

Read More

Bajana, Zayd wamkosha Taoussi | Mwanaspoti

KOCHA wa Azam FC, Rachid Taoussi, ameonyesha kuridhishwa na viwango vya viungo wake, Sospeter Bajana na Yahya Zayd, baada ya kuongoza timu hiyo kuibuka na ushindi mkubwa wa mabao 4-0 dhidi ya Iringa SC kwenye mchezo wa raundi ya tatu ya Kombe la Shirikisho (FA). Ushindi huu unakuwa ni wa nane mfululizo kwa Azam FC…

Read More

Mradi wa maji kunufaisha wakazi 12,000 Magu

Magu. Wakazi 12,000 wa Kijiji cha Kabila wilayani Magu, Mwanza wataanza kunufaika na mradi wa maji uliotekelezwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) na shirika lisilo la kiserikali la (AFRIcai), ikiwa ni jitihada za kuwapelekea maji safi na salama wananchi wa eneo hilo. Mradi huo wenye thamani ya Sh215 milioni, unahusisha ufungaji wa pampu…

Read More

JKCI yaendelea kuwa kivutio kwa mataifa ya Afrika

. Madaktari nane Congo kuja kujifunza kuanzia Jumatatu Na Mwandishi Wetu MADAKTARI nane kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, wanatarajiwa kutembelea Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), kwaajili ya kujifunza namna taasisi hiyo ilivyopiga hatua katika tiba ya moyo na uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali kwenye vifaa tiba na wataalamu bobezi. Mkurugenzi wa…

Read More

Mke, mtalaka wanusurika kifo, mauaji ya mume mpya

Arusha. Mahakama ya Rufani iliyoketi Tabora, imewaachia huru Akizimana Buchengeza na Perajia Mawenayo (watalaka) waliohukumiwa adhabu ya kifo, kwa kumuua Augustino Ndisabila (mume mpya wa Perajia) na kumkata uume wake. Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa warufani hao walikuwa mke na mume zamani, ila walitengana. Pia ilielezwa kuwa Perajia na Augustino (marehemu) kabla ya kutengana, walikuwa na…

Read More