SERIKALI YAENDELEA KUIBORESHA ELIMU YA WATU WAZIMA

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema kuwa Serikali itaendelea kuiboresha Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) ili kuwezesha Watanzania walio nje ya mfumo rasmi wa elimu kupata fursa ya kujifunza na kuongeza ujuzi. Akizungumza wakati wa kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya TEWW, Prof. Mkenda alisema Serikali inajivunia mafanikio…

Read More

Aliyeanza na mtaji wa elfu mbili, apewa Sh5 milioni, kiti mwendo

Sengerema. Baada ya dhiki, faraja. Ndivyo ilivyokuwa kwa mkazi wa Sengerema aliyepata ulemavu wa kudumu baada ya kudondokewa na kifusi mgodini, lakini akaanza kujiajiri kwa kushona viatu kwa mtaji wa Sh2,000. Mwananchi huyo alikuwa miongoni mwa walioudhuria mkutano wa hadhara wa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi uliofanyika…

Read More

Shahidi aeleza alivyokamata vielelezo kesi ya Malisa

Moshi. Shahidi wa pili wa upande wa Jamhuri katika kesi ya makosa ya kimtandao inayomkabili Mchungaji Godfrey Malisa, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi jinsi alivyoenda kupekua nyumbani kwa Malisa na kukusanya vielelezo vinne ambavyo ni simu, kompyuta (laptop) mbili pamoja na chaja moja ya laptop. Shahidi huyo, Mkaguzi wa Polisi, Nickson Mwamnyasi wa Kituo…

Read More

Masoud: Zanzibar inahitaji mabadiliko | Mwananchi

Dar es Salaam. Mtiania wa urais Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kupitia chama cha ACT- Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema Zanzibar inahitaji mageuzi ya kiuchumi, kijamii na kisiasa, ambayo yanamsukuma kuwania nafasi hiyo. Othman ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, amesema hayo leo Agosti 23, 2025 alipozungumza na wahariri wa vyombo…

Read More

DKT NCHIMBI "UTAFITI MAENEO YA MADINI KUONGEZEKA KWA 50%"

Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama Cha Mapindizi (CCM). Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi amesema Serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan, endapo kama Itaingia Madarakani kwa mara nyingine itahakikisha inatenga maeneo mengine ya kutosha kwa ajili ya Wachimbaji Wadogo, ikiwa ni pamoja na kuongeza kiwango cha Utafiti kwenye maeneo ya Madini kutoka asilimia…

Read More