
Mgombea urais Chaumma aahidi pensheni kwa wazee wote akiwa rais
Tanga. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi kuanzisha mpango wa pensheni ya kila mwezi kwa wazee wote nchini, iwapo atachaguliwa kuwa rais katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Mwalimu amesema wazee ni rasilimali muhimu kwa taifa na mchango wao haupaswi kusahaulika. Amesema ili kutambua mchango huo, akipatiwa…