Mandonga: Chakula cha buku hadi tv kila chumba

MEI 12, mwaka huu bondia wa ngumi za kulipwa nchini na mpiga debe wa zamani wa Kituo cha Mabasi Msamvu mjini Morogoro, Karim Mandonga ‘Mtu Kazi’ atakuwa akimaliza adhabu yake. Mandonga atamaliza adhabu hiyo iliyotokana na kusimamishwa kupanda ulingoni na Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC), kufuatia kupokea kipigo cha TKO ya raundi sita…

Read More

Upelelezi kesi ya kuporomoka jengo Kariakoo, haujakamilika

Dar es Salaam. Upande wa mashtaka katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili watu sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, umedai kuwa bado unaendelea na uchunguzi. Wakili wa Serikali, Roida Mwakamele ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Alhamisi Juni 12, 2025, wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa…

Read More

Uhuru na usiri ni siri za mafanikio ya ndoa

Ndoa ni muungano mtakatifu unaopaswa kuwa huru na usiotegemea au kuingiliwa na watu wengine. Wakati wa kuapishwa, waliokula kiapo ni wawili tu na si miambili. Hivyo, jukumu la kutunza kiapo chenu ni lenu wenyewe. Si jukumu la watoto wenu, wazazi, marafiki, mashoga, au wengine, hata kama mnawapenda, kuwathamini, au kuwaamini vipi. Ndoa ni kama sehemu…

Read More

Doyo, Itutu kuchuana kurithi mikoba ya Hamad ADC

Dar es Salaam. Doyo Hassan Doyo na Shabani Haji Itutu, ndio wagombea waliojitokeza kuwania uenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) katika uchaguzi utakaofanyika Juni 29, 2024 kwenye Ukumbi wa Lamada, wilayani Ilala, jijini Dar es Salaam. Wagombea hao wa ADC, moja ya vyama vya upinzani nchini wanachuana kurithi mikoba ya Hamad Rashid…

Read More