Nangu afichua ishu yote Simba

BEKI mpya wa kati wa Simba, Wilson Nangu bado hajaungana na timu hiyo tangu alipotangazwa kutua hapo, lakini anajua kesho Jumatano katika tamasha la Simba Day itakuwa ni fursa yake kuungana na wenzake na kutambulishwa mbele ya mashabiki na anajua shoo ya tamasha hili ilivyo. …

Read More

Bunge lawaita wananchi kushiriki marathoni

MBUNGE wa Makete na Mwenyekiti wa Bunge Bonanza, Festo Sanga amewataka wananchi kujumuika na wabunge katika mbio za marathoni za Bunge zinazotarajiwa kufanyika Julai 18, mwaka huu. Mbio hizo zinalenga kuchangia damu salama na kuimarisha afya. Marathoni hiyo ambayo ni ya msimu wa tatu inatarajiwa kufanyika katika viwanja vya Jamhuri, Dodoma ikikutanisha wakimbiaji wa kilomita…

Read More

Samia: Tulimhitaji Lukuvi wakati huu wa migongano duniani

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Taifa limepata pigo kwa kumpoteza William Lukuvi, aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) katika wakati nyeti, akieleza kuwa pengo lake litaonekana kutokana na mchango wake katika masuala ya uongozi na ushauri wa kitaifa. Amesema uzoefu na umahiri wa Lukuvi…

Read More

Mzize awakosha Wafaransa Yanga | Mwanaspoti

TAARIFA njema kwa mashabiki wa Yanga kuanzia juzi ni uhakika wa mshambuliaji wa timu hiyo, Clement Mzize kusalia ndani ya kikosi hicho, lakini makocha wawili wa Kifaransa wamefungukia hatua hiyo wakisema mambo mazito. Tuanze na yule Mfaransa Hamdi Miloud ambaye aliachana na timu hiyo msimu uliopita mara baada ya kuwaachia makombe matatu, ameliambia Mwanaspoti, Mzize…

Read More