Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia

Mwanza. Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), Mtukufu Aga Khan, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Mtukufu Aga Khan anayefahamika kama Karim Al-Hussaini Aga Khan IV, alifariki dunia jana Jumanne Februari 4, 2025, jijiji Lisbon, Ureno akiwa amezungukwa na familia…

Read More

Michango ya kibinafsi huongeza msaada wa UN kwa Gaza iliyokumbwa na vita – Masuala ya Ulimwenguni

Tangu Oktoba mwaka jana, shirika la Umoja wa Mataifa limekusanya karibu dola za Marekani milioni 150 kutoka UNRWA Uhispania, UNRWA USA, foundations, mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs), mashirika na watu binafsi. Baadhi hata waliongeza mara mbili au mara tatu michango yao, alisema Karim Amer, Mkurugenzi wa Ushirikiano wa shirika hilo, ambaye alizungumza na Habari za…

Read More

MAWAZIRI WATATU WAJADILI MAENDELEO YA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akizungumza kuhusu uendelezaji wa sekta ya madini ili kukuza uchumi wa nchi, wakati akiongoza kikao kilichowahusisha, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb) (kushoto) na Waziri wa Madini Mhe. Antony Mavunde (Mb), uliofanyika Treasury Square, jijini Dodoma.Waziri wa Madini…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA RAIS,MIPANGO NA UWEKEZAJI MAONESHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

WAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene,akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Idara ya Uwekezaji Sekta Binafsi Bw.Aristides Mbwasi mara baada ya kutembelea Banda la Ofisi ya Rais,Mipango na Uwekezaji wakati wa Maonesho  ya Wiki ya Utumishi  wa Umma yanayofanyika  katika Viwanja vya Chinangali  jijini Dodoma. WAZIRI …

Read More