MBUNGE WA MBARALI AWEKA MIKAKATI YA MAENDELEO KWA KUSIKILIZA WANANCHI

***** Na Mwandishi Wetu Mbunge wa Jimbo la Mbarali, Bahati Ndingo, amesema ataongoza jimbo hilo kwa kusikiliza wananchi na kuwasemea katika vyombo vya maamuzi ili kutafuta suluhisho la changamoto zinazowakabili. Akizungumza katika mahojiano na mwandishi, Ndingo alisema katika kipindi chake cha ubunge atakuwa daraja kati ya wananchi na Serikali kwa kuhakikisha  maoni, ushauri na mapendekezo…

Read More

Kampeni ya CCM Kawe yaleta kicheko kwa wauza nyama choma, vyakula

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa chakula, vinywaji baridi, nyama choma, na vitafunwa katika viwanja vya Tanganyika Packers wameeleza kufurahishwa na mauzo mazuri kufuatia umati mkubwa wa watu  uliokusanyika kushuhudia uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Maelfu ya wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam wamefurika katika…

Read More

Simba yavamia jeshini, yataka kubeba kocha

BAADA ya kufuzu raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ikiwa chini ya kaimu kocha mkuu, Hemed Suleiman ‘Morocco’ uongozi wa Simba umetuma maombi ya kumhitaji kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally ili kuongeza nguvu benchi la timu hiyo kama kocha msaidizi. Simba iliyofikia makubaliano ya kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo,…

Read More

Unafahamu chimbuko la Siku ya Wanawake Duniani?

Dar es Salaam. Kila mwaka ifikapo Machi 8, dunia huadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Katika nchi nyingi siku hii huambatana na mikutano, maandamano, kampeni za kijamii na tafakuri kuhusu mchango wa wanawake katika maendeleo ya jamii pamoja na changamoto zinazowakabili. Hata hivyo, nyuma ya maadhimisho haya kuna historia ndefu ya mapambano ya kijamii na kisiasa…

Read More

CCM YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA ASKOFU MKUU RUWA’ICHI KUFUATIA KIFO CHA KADINALI PENGO

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi OFMCap, kufuatia kifo cha Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo hilo, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo, aliyefariki dunia Februari 19, 2026, katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) alipokuwa akipatiwa matibabu. Akizungumza Februari…

Read More

Vifaa vya Sh10 milioni kuwainua wakulima wanawake Tabora

Tabora. Wanawake wanaojishughulisha na kilimo mkoani Tabora wamepewa zana za kilimo na pembejeo, pamoja na ufuatiliaji wa kilimo chenye tija, kwa lengo la kuwasaidia kujikwamua kiuchumi. Zana vilivyotolewa ni pamoja na pampu za unyunyiziaji wa dawa, mabomba na pampu za maji kwa ajili ya umwagiliaji pale panapokua changamoto ya upatikanaji wa maji, pamoja na buti…

Read More

Zanzibar kupanda miti milioni tatu mvua za masika

Unguja. Wakati mvua za masika zikiendelea, Zanzibar itatumia fursa hiyo kupanda miti milioni 3.273 itakayooteshwa katika vitalu mbalimbali kisiwani hapa. Kati ya miti hiyo, milioni 2.227 itaoteshwa katika vitalu binafsi, na miche milioni 1.045 itaoteshwa katika vitalu vya serikali. Miche hiyo, inayojumuisha ya matunda na viungo 2,117,458, misitu 637,173, minazi 16,200, mikarafuu 336,703 pamoja na…

Read More