Kilio cha maabara, vifaa kwa wanafunzi wa sayansi

Soma simulizi hii: “Jina langu ni Amina, mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya umma iliyo  mkoani Pwani. Kila Jumatatu asubuhi tunakuwa na kipindi cha Kemia, kipindi ambacho kwa wengi wetu kingepaswa kuwa cha kusisimua, majaribio, mabadiliko ya rangi ya kemikali, na mvuke unaopanda juu ya mitungi ya maabara.  Lakini kwetu sisi,…

Read More

JAMBO GROUP YATANGAZA UDHAMINI DODOMA JIJI FC LIGI KUU

Viongozi wa Jambo Group na Dodoma Jiji FC wakizindua rasmi jezi ya timu hiyo yenye chapa ya mdhamini mpya, Jambo Group ‘Jamukaya’, katika hafla ya kusaini mkataba wa udhamini jijini Shinyanga.Familia mpya ya Jamukaya! Viongozi wa Jambo Group na Dodoma Jiji FC wakipiga picha ya pamoja baada ya kusaini mkataba wa udhamini wa Ligi Kuu…

Read More

Ukonga inavyozalisha mastaa wa kike Dar

KILE kituo cha Ukonga Basketball Academy ndicho kinachoongoza kwa ukuzaji wa vipaji vya wasichana katika Jiji la Dar es Salaam ambapo wengi wao wameonekana kutawala katika timu zinazoshiriki Ligi ya Kikapu mkoani humo (WBDL). Baadhi ya mastaa wa kike wanaotesa katika ligi hiyo ni pamoja na Monalisa Kaijage, Witness Mapunda, Ana Marie na Noela Uwendameno…

Read More

TEITI YASHIRIKI MAONESHO YA NANE YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MADINI MKOANI GEITA

-Tanzania yaendelea kutekeleza Vigezo vya Kimataifa vya EITI kikamilifu -Uwazi wa Mikataba katika sekta ya uziduaji waanza kutekelezwa. GEITA* Katika maonesho hayo yaliyofunguliwa tarehe 22 Septemba, 2025 na Mhe. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa.Imeelezwa kwamba, tangu Tanzania ijiunge na Asasi ya Kimataifa ya EITI iliyopo nchini Norway, TEITI imeendelea…

Read More

Katibu mkuu mpya TFF anukia, Kidao akichomoka

NDANI ya siku sita kutoka leo, wakati wowote Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), linaweza kuingia kwenye hatua kubwa ya mabadiliko kwa kuteuliwa katibu mkuu mpya. Taarifa kutoka TFF ni, Katibu Mkuu wa sasa wa shirikisho hilo, Wilfred Kidao yuko kwenye hatua za kuachia nafasi hiyo. Inaelezwa, Kidao ameshaandika barua ya kuomba kutoendelea na…

Read More

Hesabu za Ismail Mgunda Mashujaa

MSHAMBULIAJI wa Mashujaa, Ismail Mgunda, amesema matarajio yake makubwa msimu huu ni kuhakikisha anaingia katika orodha ya wachezaji watakaokuwa wanatajwa kwa mabao mengi ndani ya Ligi Kuu Bara. Msimu uliyopita kabla ya kwenda kujiunga na AS Viya ya DR Congo, mshambuliaji huyo alifunga mabao mawili, kitu ambacho anakitamani katika Ligi Kuu inayoendelea kufanya vitu vikubwa….

Read More