Wadau wajadili utekelezaji maboresho ya mitaala na sera ya elimu

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kukabiliana na changamoto za upungufu wa miundombinu na walimu ili kuhakikisha utekelezaji wa mitaala iliyoboreshwa unafanikiwa, wadau wa sekta ya elimu nchini wamehimizwa kushirikiana na Serikali katika kuimarisha sekta hiyo. Wito huo umetolewa leo Jumatano, Machi 25, 2026 jijini Dar es Salaam na Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi…

Read More

Vaso Psycho Yazidi Kuvutia Wachezaji Wapenda Ushindi Mkubwa

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Kuna michezo na kisha kuna Vaso Psycho. Huu ndio mchezo mpya kutoka Expanse unaopatikana ndani ya Meridianbet, ukiwa umebeba kila kitu ambacho mchezaji wa kisasa anakitafuta, msisimko, ubunifu na nafasi halisi ya kupiga hela kubwa. Kama unapenda ushindi, basi huu mchezo umeandaliwa kwa ajili yako. Vaso Psycho hauchezi…

Read More

Ufahamu ugonjwa uliokatisha maisha ya Lukuvi

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameuelezea ugonjwa wa mshtuko wa moyo, unaojulikana kwa kitaalamu kama ‘Myocardial Infarction’, kuwa ni hali hatari inayotokea pale damu inashindwa kufika vizuri kwenye misuli ya moyo. Hali hii husababisha sehemu ya moyo kuanza kufa kutokana na uhaba wa oksijeni, jambo linaloweza kusababisha kifo cha ghafla iwapo mtu hawezi kupata…

Read More