Orodha Kamili ya Washindi wa Grammy Awards 2026

LOS ANGELES, Marekani — Usiku wa Februari 1, 2026, ulimalizika kwa mwangaza mkubwa katika Grammy Awards, tukio kuu la muziki duniani lililoandaliwa katika Crypto Arena. Staa wa Rap, Kendrick Lamar ameweka rekodi mpya katika Tuzo za Grammy 2026 baada ya kuwa rapa aliyeshinda tuzo nyingi zaidi katika historia, akiwa na jumla ya…

Read More

Kutoka Cape Town hadi London, Deo Kato anakimbia kupinga ubaguzi wa rangi na kudai tena simulizi la uhamiaji – Masuala ya Ulimwenguni

Safari ya maili 8,262 ilimpeleka katika nchi 21, na kubadilisha hali ya ajabu ya kimwili kuwa kitendo chenye nguvu cha uharakati, kilicholenga kukabiliana na ubaguzi wa rangi na kuunda upya jinsi uhamiaji unavyoeleweka. Deo aliyezaliwa nchini Uganda na kukulia Uingereza, alianza kukimbia ili kusimamia afya yake. Baada ya muda, nidhamu hiyo ya kibinafsi ilikua safari…

Read More

Simba yalaani Mangungu kufanyiwa vurugu Benjamin Mkapa

Uongozi wa Simba umelaani vitendo vya vurugu alivyofanyiwa Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Murtaza Mangungu baada ya kumalizika kwa mchezo baina yao na Esperance ya Tunisia, leo Jumapili, Februari Mosi, 2026 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Mara baada ya mchezo huo kumalizika kwa sare ya mabao 2-2, baadhi ya mashabiki wa klabu hiyo…

Read More

Kocha Yanga afichua siri, akisaka rekodi  Uarabuni

ACHANA na matokeo ya ugenini dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika, kocha wa zamani wa Yanga, Sead Ramovic amefichua siri inayombeba Uarabuni. Kocha huyo aliyeinoa Yanga kwa kipindi kifupi akitokea TS Galaxy ya Sauzi, amesema kuna tofauti ya kushangaza kati ya ukocha Afrika Kusini na Algeria, aliko kwa sasa…

Read More

UNDP Tanzania Yawapatia Wanafunzi Wajasiriamali 20 Zaidi ya Shilingi Milioni 70 Kupitia Awamu ya Pili ya Programu ya Youth Ignite Student Founders Fellowship

Wanafunzi wajasiriamali ishirini kutoka vyuo vikuu mbalimbali nchini wamepatiwa zawadi za fedha taslimu zaidi ya Shilingi milioni 70 kufuatia shindano la uwasilishaji wa mawazo ya biashara lililofanyika chini ya mpango wa Youth Ignite Student Founders Fellowship – Awamu ya Pili, unaotekelezwa kupitia Programu ya FUNGUO iliyo chini ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango…

Read More

Kocha Baraza akataa ufaza Pamba Jiji

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Francis Baraza amesema hakuna mchezaji aliyesajiliwa kikosini kula bata, bali kila mmoja anapaswa kutimiza wajibu wake ili kuwa na uhakika wa namba, akisisitiza kuwa hana staa kwenye timu. Pamba Jiji imekuwa na kiwango bora msimu huu baada ya kuvuna pointi 17 ambapo Jumatatu hii, watakuwa uwanjani ugenini kuwakabili JKT Tanzania…

Read More

Moloko aibua shangwe Mbeya Kwanza

BAADA ya Mbeya Kwanza kukamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani Jesus Ducapel Moloko, kocha wa timu hiyo, Maka Mwalwisi, amesema wapinzani wajipange vizuri katika raundi hii ya pili kutokana na ubora wake. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwalwisi, amesema usajili wa Moloko umekuja kipindi sahihi kutokana na mahitaji ya timu hiyo kwa sasa, ambayo…

Read More

Shikangwa, Mukandayisenga wana vita ya ufungaji

NI kama vita ya ufungaji bora hadi raundi ya kwanza inamalizika imeachwa kwa washambuliaji wa kigeni wa watani wa jadi Simba Queens na Yanga Princess. Hadi mzunguko wa kwanza unatamatika Simba Queens inaongoza ligi na pointi 31 kwa tofauti ya pointi 11 na mpinzani wake JKT Queens mwenye 20 ikiwa nafasi ya tatu baada ya…

Read More

Joshua afichua fursa mpya Kenya

BAADA ya aliyekuwa mshambuliaji wa Fountain Gate, Joshua Ibrahim kukamilisha uhamisho wake wa kurejea Tusker FC ya Kenya, nyota huyo amesema ni wakati wa kuangalia fursa nyingine nje ya mipaka ya Tanzania, kama ilivyokuwa pia mwanzoni. Akizungumza na Mwanaspoti, Joshua amesema licha ya ofa nyingi alizokuwa nazo amefikia uamuzi wa kurejea katika Ligi ya Kenya…

Read More