WIZARA YA FEDHA KUSHIRIKIANA NA CHUO KIKUU MZUMBE KUIMARISHA USIMAMIZI WA MALI ZA SERIKALI.

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Wizara ya Fedha, imeahidi kuendelea kushirikiana na Chuo Kikuu Mzumbe (MU) katika nyanja mbalimbali ikiwemo kujengeana uwezo katika masuala ya ununuzi, ugavi na usimamizi wa mali za Serikali ili kuandaa wahitimu waliobobea katika sekta hizo. Hayo yalibainishwa na Kaimu Naibu Katibu Mkuu Huduma za Hazina, Wizara ya Fedha, Bw. Lusius…

Read More

Kilimo ikolojia chatajwa kuongeza usalama wa chakula kwa walaji

Arusha. Matumizi makubwa ya kemikali, mbolea nyingi na dawa za kuulia wadudu yanayofanywa na wakulima nchini, yameelezwa ni chanzo cha uharibifu wa ardhi hali ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa usalama mdogo wa chakula. Matumizi hayo pia yameelezwa kuwa hayampi mkulima uhakika kupata mazao mengi licha ya kutumia dawa nyingi wakati wa kilimo, hivyo kushauriwa kulima…

Read More

Mashabiki Simba, Yanga kuonyeshana umwamba

Mashabiki wa Simba na Yanga watacheza mechi ya kirafiki, Jumapili, Desemba 21, 2025 kwa lengo la kuhamasisha upendo na umoja baina yao. Mechi hiyo itachezwa katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam kuanzia saa 10:00 jioni na hakutakuwa na kiingilio kwa mashabiki. Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amewaomba mashabiki wajitokeze kwa…

Read More

MAGAMBA FOREST WALKATHON AND ADVENTURE SEASON III KUFANYIKA DESEMBA 17 HADI 20 MWAKA HUU

Na Oscar Assenga, LUSHOTO. MATEMBEZI Maalumu ndani ya Hifadhi ya Misitu ya Mazingira Asilia Magamba (Magamba Forest Walkathon and Andventure Season 111) yenye lengo la kutangaza na kuhamasisha utalii zinatarajiwa kufanyika Desemba 17 -20 katika mji wa Lushoto mkoani Tanga huku maandalizi yakielezwa kukamilika kwa asilimia 85. Akizungumza na Mtandao huo Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi…

Read More