
Uhakiki anuani za makazi kufanyika Mbeya, wananchi 481,000 kufikiwa
Mbeya. Zaidi ya wananchi 481,000 jijini Mbeya wanatarajiwa kufikiwa na shughuli ya uhakiki na uhuishaji wa taarifa za anuani za makazi litakalodumu kwa takribani siku 14 kuanzia Septemba 25, 2025. Uhakiki huo unatarajiwa kumaliza kero na changamoto ya wananchi wanaokosa huduma mbalimbali kutokana na kutosomeka katika mfumo ‘data base’ na badala yake kusaidia upatikanaji wa…