Geay awatoa hofu Watanzania kuhusu Olimpiki

MUDA mfupi baada ya kuwepo kwa taarifa kwamba mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay huenda asikimbie katika mashindano ya Olimpiki yanayotarajiwa kuanza wiki hii nchini Ufaransa, mwenyewe ameibuka na kuwatoa hofu Watanzania. Taarifa za awali zilizonukuliwa na Mwanaspoti kutoka kwa baadhi ya viongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) zilidai kwamba mwanariadha huyo ni…

Read More

Rais Dkt. Samia Afungua Skuli ya Maandalizi Dkt. Samia Suluhu Hassan, Makunduchi Kusini Unguja, Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kufungua Skuli ya Maandalizi Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa shamrashamra za Tamasha la Kizimkazi katika eneo la Makunduchi, Shehia ya Tasani Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 20 Agosti, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan…

Read More

Matokeo ya robo ya mwisho 30 Juni 2024

JUMLA ya wateja imeongezeka kwa asilimia 8.6% hadi milioni 155.4. Upenyaji wa wateja wa data unaendelea kuongezeka, na kusababisha ongezeko la 13.4% la wateja wa data hadi milioni 64.4. Matumizi ya data kwa kila mteja yaliongezeka kwa 25.1% hadi GB 6.2, huku upenyezaji wa simu mahiri ukiongezeka kwa 4.7% hadi kufikia 41.7%.  Ukuaji wa wateja…

Read More

Jinsi baiskeli ilivyomsaidia kupambana na fisi kwa saa tatu

Sengerema. Bahati Kanfumu, mkazi wa Kijiji cha Kabusuli, Kata ya Nyamatongo, wilayani Sengerema, Mkoa wa Mwanza ameeleza jinsi alivyonusurika kushambuliwa na kundi la fisi. Akizungumza jana Agosti 11, 2024, amesema wakati akielekea kutafuta mahitaji ya familia asubuhi, alikutana na kundi hilo la fisi linalosadikika kuwaua watu wawili. Amesema alilazimika kushuka kutoka kwenye baiskeli aliyokuwa akiendesha…

Read More

Gamondi ayaona mabao Zanzibar | Mwanaspoti

YANGA inaondoka saa 3:00 asubuhi ya kesho Alhamisi na itatumia masaa mawili tu kufika Unguja, Zanzibar tayari kwa mchezo wa marudiano wa raundio ya pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE ya Ethiopia, lakini kuna mazoezi flani wameyafanya ndani ya siku mbili yamemfanya kocha Miguel Gamondi kusema sasa mabao yatafungwa. Kama ulifika mazoezini Yanga…

Read More

Aliyemzushia kifo binti aliyebakwa adakwa

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata na linamuhoji Amos Lutakulemberwa Lwizamiaka 54 mkazi wa Tegeta Wazo Kinondoni kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii kuwa binti anayedaiwa kubakwa na kulawitiwa na vijana wanadaiwa kutumwa na afande, amefariki. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo…

Read More