Makipa wazawa upepo sio mzuri

HIKI kizazi cha sasa cha makipa wazawa kilikuwa na mwanzo mzuri kuanzia kipindi cha miaka ya 2010 ambapo wengi walianza kuibuka wakiwa watoto hasa katika timu za vijana za Tanzania. Kilionekana kina vijana ambao watarithi vyema mikoba ya kaka zao kina Juma Kaseja, Shaaban Kado, Ivo Mapunda, Shaaban Dihile, Mwadini Ally na wengineo ambao umri…

Read More

Kuanzia Agosti marufuku kutumia mkaa, kuni

RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Selemani Jafo kuandaa katazo la kupiga marufuku kwa taasisi zote zinazohudumia watu zaidi ya 100 kutotumia kuni na mkaa kuanzia Agosti mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endele). Rais Samia ametoa agizo hilo leo Jumatano jijini Dar es Salaam…

Read More

Unavyoweza kuwa mtu mwenye bahati maishani

Bila shaka ulishawahi kusikia watu wakisema mtu fulani ana bahati katika maisha yake, hii ni kutokana mambo mengi katika maisha yake yanaonekana kufanikiwa kwa wepesi zaidi kuliko wengine. Binafsi nilikuwa najiuliza ni kitu gani watu wamefanya hadi wanakuwa na bahati kiasi hicho, nami nilikuwa natamani sana hilo lije kutokea siku moja katika maisha yangu, niwe…

Read More

Kennedy aukubali mziki Singida Black Stars

NAHODHA wa Singida Black Stars, Kenedy Juma amesema licha ya ugumu na ushindani uliopo katika Ligi Kuu Bara lakini wamepambana na kuongoza ligi ikiwemo ushindi katika mechi tatu za ugenini, huku akisisitiza kwamba uwepo wa wachezaji wengi wa kikosi kikosini haumpi presha ya namba. Singida Black Stars inaongoza Ligi Kuu Bara baada ya kuvuna pointi…

Read More

‘Uchawi’ wa Ramovic Yanga, upo hapa!

KOCHA wa Yanga Mjerumani Sead Ramovic ni wazi gari limemwakia baada ya kushinda michezo sita mfululizo ya Ligi Kuu Bara, huku ikionekana akibebwa zaidi na nyota watatu, Clement Mzize, Prince Dube na Pacome Zouzoua kutokana na namba walizonazo hadi sasa ndani ya matokeo ya timu hiyo. Ramovic aliyejiunga na Yanga, Novemba 15, mwaka jana akitokea…

Read More