MAGU YAJIPANGA KUTOA HUDUMA YA MIGUU BANDIA KWA GHARAMA NAFUU

Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza kwa kushirikiana na Taasisi ya Global Peace Network (GPN) pamoja na Tanzania Home Economics Organization- TAHEA), inatarajia kuanza kutekeleza mradi wa utengenezaji wa viungo bandia ikiwamo mikono na miguu ili kuwezesha watu wenye uhitaji wa viungo hivyo kuvipata kwa bei nafuu nchini. Mradi huo ambao…

Read More

ZAIDI YA SH. BILIONI 11 KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 90 SHINYANGA

Msimamizi wa Miradi ya REA Kanda ya Magharibi, Mhandisi Robert Dulle Na Mwandishi wetu – Shinyanga Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa Shilingi Bilioni 11.18 wa kusambaza umeme katika vitongoji 90 utakaonufaisha Kaya 2,970 Mkoani Shinyanga. Msimamizi wa Miradi ya REA Kanda ya Magharibi, Mhandisi Robert Dulle amebainisha hayo Novemba 05,…

Read More

Mamalishe Soko la Kinyasini walia kukosa huduma ya choo, Serikali yatoa neno

Unguja. Mamalishe wa Soko la Kinyasini, lililopo Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, wamelalamikia kukosa huduma ya choo, jambo linalowalazimu kufungiana kanga kujiziba wanapokwenda kujisitiri. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi leo Jumatatu, Januari 13, 2025, Semeni Salumu, mmoja wa mamalishe hao, amesema hali hiyo inawasikitisha kwa kuwa soko hilo linatakiwa kuwa na…

Read More

MAWADENI 147 WANOLEWA KUWAHUDUMIA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM

Na Mwandishi wetu- Dodoma Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Hamis Nderiananga amesema Serikali inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imejenga na kukarabati miundombinu inayozingatia mahitaji maalum ya wanafunzi kuanzia elimu ya awali mpaka vyuo vikuu. Mhe. Nderiananga aliyasema hayo mkoani Morogoro wakati wa ufunguzi wa Mafunzo…

Read More