
Geay awatoa hofu Watanzania kuhusu Olimpiki
MUDA mfupi baada ya kuwepo kwa taarifa kwamba mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay huenda asikimbie katika mashindano ya Olimpiki yanayotarajiwa kuanza wiki hii nchini Ufaransa, mwenyewe ameibuka na kuwatoa hofu Watanzania. Taarifa za awali zilizonukuliwa na Mwanaspoti kutoka kwa baadhi ya viongozi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) zilidai kwamba mwanariadha huyo ni…