Vikosi vya jeshi Burkina Faso vimewauwa raia 223 – DW – 25.04.2024
Ripoti ya Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch, HRW iliyochapishwa Alhamisi, imeeleza kuwa mauaji hayo ya watu wengi yalifanyika Februari 25 kwenye vijiji vya kaskazini vya Nondin na Soro, na takribani watoto 56 walikuwa miongoni mwa waliouawa. Shirika hilo limeutaka Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika kupeleka wachunguzi na…