REA YAENDELEA KUWAUNGANISHIA UMEME WANANCHI MKOANI MANYARA

::::::;; Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imeendelea kutekeleza miradi ya nishati kwa kuunganisha wateja umeme katika maeneo ya vijijini ili kuboresha na kuhamasisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi mkoani Manyara. Hayo yamebaibishwa leo Agosti 27, 2025 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu,…

Read More

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN : KIONGOZI ANAYEWEKA TANZANIA KWENYE RAMANI YA MAENDELEO YA SEKTA YA MADINI

 Tarehe 13 Oktoba, 2024, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alifunga rasmi Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini yaliyofanyika mkoani Geita. Hafla hii ilikuwa ishara nyingine ya uongozi wa kipekee wa Rais Samia, ambaye ameendelea kuweka mbele maendeleo ya sekta muhimu zinazoweza kuinua uchumi…

Read More

Jamii za Asili ndio mstari wa mbele wa hatua za hali ya hewa – ni wakati wa kusikiliza – maswala ya ulimwengu

Mtu analima vijijini Ghana. Mikopo: Kwa hisani ya Haki za Ardhi Watetezi Inc. Maoni Na Nana Kwesi Osei Bonsu (Columbus Ohio, USA) Jumanne, Oktoba 28, 2025 Huduma ya waandishi wa habari COLUMBUS OHIO, USA, Oktoba 28 (IPS) – Nilitarajia kuhudhuria mkutano wa mwaka huu wa vyama (COP) kibinafsi, kusimama pamoja na viongozi wenzake wa Asili…

Read More

Wasira asimulia jinsi Werema alivyochangia upatikanaji wa rasimu ya Katiba

Dar es Salaam. Mwanasiasa mkongwe nchini, Steven Wasira  amezungumzia mchango wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali  mstaafu, Jaji Frederick Werema katika rasimu ya Katiba iliyopendekezwa mwaka 2014. Wasira ameyasema hayo leo Jumatano Januari 1, 2025 alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa Werema aliyefariki dunia Desemba 30, 2024 akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). Wasira amesema…

Read More

Magdalena arejea nchini, ataja sababu ya rekodi

Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania na bingwa wa marathoni taifa upande wa wanawake, Koplo Magdalena Shauri amerejea nchini akitokea Marekani alikokwenda kushiriki mbio za Chicago Marathon. Mbio hizo zilifanyika Oktoba 12, mwaka huu jijini Chicago, ambapo Magdalena alimaliza wa tatu kwa muda wa 2:18:03 na kuwa Mtanzania wa kwanza kumaliza tatu bora katika mashindano hayo…

Read More