Shauri la Kikatiba lililofunguliwa na TLS latupwa

Dar es Salaam. Dosari za kisheria katika hati ya kiapo cha rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, kimesababisha shauri la kikatiba lililofunguliwa dhidi ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), kutupwa na mahakama. Uamuzi wa kutupa shauri hilo baada ya kubainika dosari hizo, umetolewa jana Jumatano, Machi 11, 2026 na jopo la majaji…

Read More

La Niña Inafifia, Wataalamu wa WMO Wanaonya Kwamba El Nino Inaweza Kuweka Rekodi Mpya za Joto Ulimwenguni – Masuala ya Ulimwenguni

Shule ya Bula Central mjini Bula, Camarines Sur, Ufilipino, imesalia na mafuriko wiki moja baada ya Tropical Storm Trami kuleta mvua kubwa na upepo mkali katika sehemu kubwa ya nchi mnamo 2024. Mifumo ya hali ya hewa kali kama hii inaonyesha aina ya hatari za hali ya hewa zinazohusishwa na ongezeko la joto la bahari…

Read More

Juhudi za Umoja wa Mataifa zinaunga mkono juhudi za upatanishi, usafirishaji wa mbolea ‘kuokoa maisha’ – Global Issues

Adui ya kibinadamu inaendelea kuongezeka na inazidishwa na idadi ya vifo, majeruhi na uharibifu wa miundombinu ya kiraia, na athari mbaya kwa uchumi wa dunia inaongezeka. Wakati juhudi za Umoja wa Mataifa za kuwaunga mkono raia walioathirika na kupunguza mzozo huo zikiendelea, Katibu Mkuu amesisitiza haja ya kuchukua hatua za haraka ili kupunguza madhara. Athari…

Read More

Chadema yaiambia UN mabadiliko ya kikatiba muhimu Tanzania

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemweleza Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN) kuwa msimamo wa chama hicho ni uchunguzi huru ufanyike ili wale wote waliobainika kuhusika na vurugu za Oktoba 29,2025  zilizosababisha vifo na majeruhi wawajibishwe. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa jana Jumanne  Machi 10,2026 Chadema,…

Read More

Mgombea ubunge Moshi ataja vipaumbele vyake

Moshi. Mgombea ubunge wa Moshi Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ibrahim Shayo maarufu Ibraline, amewaomba wananchi kumpa ridhaa ya kuwatumikia bungeni ili kuhakikisha hoja za maendeleo ya jimbo hilo zinapewa kipaumbele na si masilahi yake binafsi. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo Jumapili Septemba 21, 2025 katika Viwanja vya Netball Reli, Kata ya Njoro,…

Read More

ZAHANATI TATU MPYA KUANZA KUTOA HUDUMA HANDENI MJI

Na Augusta Njoji, Handeni TC HALMASHAURI ya Mji Handeni, mkoani Tanga, imejipanga kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya wananchi, baada ya zahanati tatu mpya kukamilika na kutarajiwa kuanza kutoa huduma mwezi Oktoba mwaka huu. Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Maryam Ukwaju, amesema ujenzi wa zahanati hizo umefanikishwa na serikali kwa kushirikiana na…

Read More