
Dk Nchimbi anavyotumia utani wa Wangoni, Wasukuma kuzisaka kura
Maswa. Kushinda uchaguzi wowote ni mbinu na mikakati. Mgombea humpasa kuwa mbunifu ili jamii au kundi analotaka kulifikishia ujumbe ili limuchague unapaswa kujipanga vyema. Siasa ni sanaa ya kushawishi, kupanga, kuelewana na kuongoza watu kwa ustadi na hekima. Lengo upate unachokitaka. Hii ni kwa sababu siasa, haitegemei tu kanuni au sheria, bali pia ustadi wa…